The bold: Waraka

The bold: Waraka

Pamoja na Yote,hukutakiwa kutembea na Shemeji yako mkuu hapo ndo uliula mkenge,ila komaa Mungu anasamehe.
 
Mimi ni gwajima najibu hivi huyo mke wako sijawahi kumpenda kimapenzi, wala kumtamani nina mke wangu mzuri nampenda sana, maneno mengi unaongea nimekaa kimya kwasababu adui wa ndoa yako ni wewe mwenyewe, tatizo unaropoka sana , mimi ndo nlikutuma ukabake, umebaka umebakuliwa nasingiziwa navunja ndoa loo! Afu wewe uongo unao nitungia mungu wangu atakushughulikia we endelea tu, mimi ni mtumishi wa mungu. Binafsi nakusamehe na iliujue nimekusamehe njoo nikupe hela utoke out na mke wako mkayamalize. Ingekua mimi ni gwajima ningemjibu hivyo.
 
move on with his life sijaona point ya kuendelea kumngangania huyo Flora
Kuna wanawake wako na tv, full ac, full time 4WD...kila ukijiatahidi kumfuta kichwani inagoma...wanaume tunajua hiyo, hivyo usimshangae Imma.
 
Mimi ni gwajima najibu hivi huyo mke wako sijawahi kumpenda kimapenzi, wala kumtamani nina mke wangu mzuri nampenda sana, maneno mengi unaongea nimekaa kimya kwasababu adui wa ndoa yako ni wewe mwenyewe, tatizo unaropoka sana , mimi ndo nlikutuma ukabake, umebaka umebakuliwa nasingiziwa navunja ndoa loo! Afu wewe uongo unao nitungia mungu wangu atakushughulikia we endelea tu, mimi ni mtumishi wa mungu. Binafsi nakusamehe na iliujue nimekusamehe njoo nikupe hela utoke out na mke wako mkayamalize. Ingekua mimi ni gwajima ningemjibu hivyo.
Kumbwe gwamazingaombwe, mi nilifikiri gwaufufuonauzima na ndo anamtumikia mungu fulani hivi wala si Mungu Mwenyezi.
 
Ni aibu sana kwa mtumishi wa Mungu kutenda dhambi kama hii.
The bold Pole sana, hayo ni mapito fanya toba ya dhati Mungu nae atakusamehe maana yeye ni wa Rehema na Neema.
Kasome
KUTOKA 28. Hapo utafahamu kitakacho tokea endapo wataendelea kuto kutii sauti ya Mungu.
 
Last edited by a moderator:
mkuu kwann na wewe usimchome huyo nabii na kumfungulia kesi kuwa anauza madawa ili iwe jino kwa jino
 
Kwi kwi kwi kwi......"Bali mahaba na pesa"
Mkuu kuna watu wanaficha udhaifu wao kwenye maandiko, eti "vita vyetu si vya damu na nyama" wakati imeelezwa mtu kafunguliwa akaunti, kaingiziwa mil 18, kanisani kachangiwa mil 2.3 wakatngaza mil 9. Pia mtu alikuwa anapelekwa hotelini kwa tax na namba ya dreva tax ipo. Hapo utaona ni vita ya pesa na uroda wala si vita ya kiroho..
 
Nimependa aliposema mchungaji mazingaombwe.... na pesa chafu za sembe...kama hayo ni kweli, basi hakuna mtumishi wa Mungu hapo.

We Danganywa Tu Ila Elewa Na Atoe Jibu Kabaka Au Hakubaka, Asitake Kuonewa Huruma Kwakuunganisha Stor Za Uongo, ANGEKUA KWELI ANAJIELEWA ANGEELEZA KWANINI ALIBAKA NA SI POROJO ZAKE IZO
 
mkuu kwann na wewe usimchome huyo nabii na kumfungulia kesi kuwa anauza madawa ili iwe jino kwa jino
Tatizo yeye anaongea tu,ushahidi hana.Wenzake wanaushahidi kuwa alibaka,namuonea huruma ana miaka 32,akipigwa mvua 30 atatoka na miaka 62.Cha kufanya sasa hivi aachane na mitandao,ajikite kwenye kesiyake,pia amwombe Flora hao ndugu zake wafute kesi
 
We Danganywa Tu Ila Elewa Na Atoe Jibu Kabaka Au Hakubaka, Asitake Kuonewa Huruma Kwakuunganisha Stor Za Uongo, ANGEKUA KWELI ANAJIELEWA ANGEELEZA KWANINI ALIBAKA NA SI POROJO ZAKE IZO

Kubaka si sababu ya gwajima kumlala flora
 
ni aibu sana kwa mtumishi wa mungu kutenda dhambi kama hii.
the bold pole sana, hayo ni mapito fanya toba ya dhati mungu nae atakusamehe maana yeye ni wa rehema na neema.
Kasome
kutoka 28. Hapo utafahamu kitakacho tokea endapo wataendelea kuto kutii sauti ya mungu.

usikurupuke na hukumu usizokua na uhakika, jiulize swali je hakujua hayo mpaka amebaka akakamatwa ndo amejua kuandika yote hayo? Nina uhakika kama ni yeye kweli mr mbasha atakua na akili ndogo sana, atadanganya watoto tu si watu wazima.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom