Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Acha kumfundisha uoga wewe,hakuna Mtumishi wa Mungu Sampuli hii huyo ni Wakala wa Shetani.Epuka kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu hata kaka wamefanya mabaya kwako-ila waombee,kumbuka ishu ya Daud na Saul
Kisaikolojia, Imma hawezi kuandika hivyo kwa sasa, huyu ni mtu analiyekaribu na Imma, na aliyesimuliwa na imma. Mi huwa ikifika hapo, nasema ule mstari wa biblia unayosema..Mtu akimwacha mkewe, isipokuwa kwa uzinzi...huwa sitaki kusikia tafsiri yoyote zaidi ya kilichoandikwa.mi nahisi the bold ndo mbasha by the way kaka wanawake sisi UTUONAVYO SIVYO UTUFIKIRIAVYO NA UTUFIKIRIAVYO SIVYO UTUONAVYO we are more than we are.Mwanamke akikuchukia ujue ht ufanyeje ndo imekula kwako.My advice futa vumbi futa machozi lia na mungu wako tu hapo hakuna ndoa tena ninyi s wa kwanza kutengana ktk hii dunia.ULIPOAMBIWA KUA UYAONE SIO MAGHOROFA KAKAAA......HUO NDO UKUBWA FUNGA MKAJA KM ULIBAKA KWELI AU SI KWELI HEBU LIA NA MUNGU AKUPIGANIE KTK UNACHOKIAMINI.
mhh hii kazi kweli kweli
You may not be her LAST,her FIRST,or her ONLY,she loved before she may love again
IF she love you now what else matters!!!!!!!!!
Nimekurupuliwa kule Sports.....Ngoja nikae nitulie nisome...
Epuka kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu hata kaka wamefanya mabaya kwako-ila waombee,kumbuka ishu ya Daud na Saul
Nimependa aliposema mchungaji mazingaombwe.... na pesa chafu za sembe...kama hayo ni kweli, basi hakuna mtumishi wa Mungu hapo.
suppose, she doesn't love him any more,what can he do?
Epuka kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu hata kaka wamefanya mabaya kwako-ila waombee,kumbuka ishu ya Daud na Saul
Nimependa aliposema mchungaji mazingaombwe.... na pesa chafu za sembe...kama hayo ni kweli, basi hakuna mtumishi wa Mungu hapo.
UMEBAKA AU HUKUBAKA?
__nahisi Alieandka Uzi Huu Si Mbasha, Ni Msanii Tu Anaejitafutia Umaarufu Ili Akamate Watu Somewhere.
__VITA VYETU SI VYA DAMU NA NYAMA.
Ungekua Ni Mbasha Kwanini Usifuate Watuhumiwa Ukawaambie? Acha Usanii
Epuka kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu hata kaka wamefanya mabaya kwako-ila waombee,kumbuka ishu ya Daud na Saul
Gwajima hana chembe ya utumishi wa Mungu....Ni tapeli, muuza unga, malaya na muhuni....
Utumishi wa Mungu ni kiini macho...