Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavutaji wa mashati hawakosi katika jamii. Mrema na Zitto hawalinganishwi kwa vigezo vyovyote vile. Tunachosema hapa ni kwamba times have changed baada ya "chaguo la Mungu" kuonekana mbabaishaji, mwizi (na amezungukwa na wezi) kama waliomtangulia. But cynics will always be there!
Hotuba ya Kabwe Zitto imeleta mengi mapya masikioni mwa Watanzania,Ambayo hatukuyasikia kwenye hotuba(Hoja) yake kule Dodoma Bungeni,Sio kwamba Mkataba ulisainiwa Hotelini na sio Ubalozini,bali pia Mkuu wa Kaya hakufahamishwa Ukweli kuhusu Mkataba huo.Pamoja na kwamba walikuwa pamoja ktk safari hiyo ya Uk na Japan.
Katika Hotuba yake kwenye sherehe ya Mei Mosi/2006,Jk alisema kwamba Utiaji saini mikataba yote ya madini umesimamishwa na serikali ya awamu ya NNE ili kutoa nafasi kwa Mabingwa wa mikataba kuipitia Upya kwani Mikataba iliyopita ina Utata,Alirudia maelezo hayo ya kusimamisha Utiaji saini Mikataba ya Madini huko Afrika kusini kwenye Seminar ya Madini.Sasa Mkataba huu uliotiwa Saini na Karamagi una utofauti na Mingine?
Kitendo cha Ndg Karamagi(Waziri mfanyabiashara)kutia saini Mkataba wa Uchimbaji Madini huko Kahama kinanipa wasiwasi kuwa kuna Mazingira ya Rushwa.Maelezo ya Zitto ni mwanzo tu wa ukweli mzima wa mambo.Na kama ni kweli Waziri alitia saini Mkataba huo bila Ufahamu wa Rais sioni kwanini Waziri asiwajibike!!
Kaazi kweleikweli..I have fond memories of CHURCHILL HOTEL, LONDON
mwanzo wa mabadiliko unakaribia,
vijana nyuso zao zimekosa matumaini,
wanahitaji kuonyeshwa njia iliyo sahihi nao wako tayari kufuata.
tusiishie Dar peke yake
moto uliowashwa cheche zake zisambae nchi nzima.
Na hapo kutakuwa na nuru ya ushindi.
Huo ndio ungekuwa wakati muafaka wa kutumia ile Helkopta...
Daaamn. Yani Zitto ali-rise on HUMMER?
Yebo Yebo,
Dr. Sla ameipa serikali mpaka tarehe 15 September iwe tayari imeshashulikia mambo ya BOT.
Mbowe kasema kasema watazunguka na helikopta kuwaeleza wananchi kuhusu hilo swala la BOT na Zitto