"Tunataka huduma za maji na umeme, tunataka barabara ya lami, asilimia 70 ya dhahabu inakwenda sisi tunaachiwa 30, tunakwenda wapi?
HONGERA WANANCHI BUZWAGI KWA KUENDELEZA YALE YA KIGOMA WALIPOMPOKEA KWA JENEZA NA MADEBE MATUPU YA MAJI NA MABANGO PALE RUSSIA MASIKANI
. "Ni kweli kabisa mkataba wa Buzwagi ulitiwa saini nchini Uingereza baada ya kuambiwa kufanya hivyo na Wizara ya Nishati na Madini," alisema Mwanyika.
Alisema ulipowadia wakati wa kusaini mkataba wa mgodi huo, alimpigia simu Waziri Karamagi, lakini yeye alimwambia aende wizarani kwa ajili ya kupata maelekezo. Mwanyika alipokwenda wizarani, aliambiwa waziri alikuwa Uingereza na Rais Kikwete hivyo, wampekekee huko akausaini.
UWONGO!!!
Vilevile, aliwahakikishia wananchi hao wa Kahama kuwa ahadi zote alizotoa wakati wa kampeni zitatimizwa kama vile kuleta maji kutoka Ziwa Victoria ambapo vijiji kumi vitarajia kufaidika.
MRADI WA MAJI WA ZIWA VICTORIA ULIBUNIWA NA KUTEKELEZWA NA AWAMU YA TATU ..TUNAKUMBUKA MZEE..HUU MRADI WAKATI WA KUBUNIWA ILIBIDI MKAPA AMTUME WAZIRI WA MAJI LOWASSA CAIRO KUWAELEZA NIA YETU YA KUUJENGA KINYUME CHA MATAKWA YA CAIRO ..huu mradi umeleta mapinduzi makubwa kwenye HAKI za matumizi ya NILE...kikwete kwa mimi amataka kujipa sifa..KWA KUWA HUU MRADI YEYE AMEUKUTA UNAMALIZIKA HAHITAJI KUUCHUKULIA KAMA MFANO WA AHADI ALIZOTEKELEZA....YEYE AZINDUE TU!!! ALIYEUBUNI NA KUULIPIA NI AWAMU YA TATU..
Alisema majaribio ya maji yanatarajiwa kufanyaika Septemba na baadaye mradi kukamika Desemba mwaka huu.
mh hili la mradi wa MAJI NA LA UWANJA WA TAIFA MPYA USITEGEMEE SIFA KUTOKA KWA WATU MAKINI..WEWE SUBIRI HESHIMA YA UFUNGUZI TU..SANASANA NA WEWE FIKIRIA KUMALIZIA VIWANJA VYA ALI HASSAN MWINYI ,TABORA..CCM KIRUMBA NA AMRI ABEID ARUSHA ILI ANGALAU VIIFIKIE LEVEL YA INTERNATIONAL ILI NA SISI TUANDAE ALL AFRICAN GAMES AU AFRICAN CUP OF NATIONS KABLA HUJASTAAFU....RUDISHA VIWANJA VYOTE KUOKA MIKONONI MWA CCM ZIPEWE HALMASHAURI HUSIKA KWA SABABU VILIJENGWA NA MICHANGO NA KODI ZETU..
HAPA HONGERA..
Ahadi ambayo Rais alitoa ni ujenzi wa shule ambapo awamu yake ilikuta shule 78 na sasa ziko shule 265 yaani shule mpya 187.
SUALA LA UJENZI WA MAJENGO YA SHULE MPYA ZA SEKONDARI ..TUNAMPONGEZA MH RAIS KAMA MOJA YA HATUA MUHIMU ZA UTEKELEZAJI WA ILANI YAKE YA UCHAGUZI..HAPA AWAMU YA NNE WAMEJITAHIDI..SASA TUNATAKA UBORA WA HIZI SHULE..VITABU,MAABARA ,MADAWATI,WALIMU .MAKTABA ets