The dark side of business

You're very right
 
Kuna mtu anaitwa INFROPRENUER amekuwa akikosoa sana huu Uzi Hadi akafungua Uzi wake kupinga utajiri wa kishirikina, nimemwandikia kisa halisi cha kijana alimaliza form four 2022, akafeli MTIHANI wa Taifa kwa kupata div. Four ya 32,... LAKINI Leo anamiliki bajaj MBILI za abiria MPYAAA, kwamba ana MAONI Gani katika kisa hiki, naona kapotea
 
Mzee Fabi kweli ni wise
 
Utafutaji halali unapokumbana na mizengwe inayotishia mafanikio halali, Akili za watu Huwa zinapinduka.... Na ndivyo Maana kama ni fitina za kimwili, watu hutafutana Hadi kieleweke, na kama ni fitina za kiroho, watu pia hupambana mpaka kieleweke, ni katika kupambana huko baadhi ya watu hujikuta wamejisokota na kuwa watumwa wa MATATIZO mengine mazito zaidi kama mtoa Uzi anavyotufahamisha.
Any way, imagine wewe ndiyo Tanzania, umenunua midege mikubwa, miboeing na miairbus, unataka ufanye biashara halali, unapata WAZO ulaya nitapata soko, halafu KABLA HATA HUJAZINDUA SAFARI YAKO HATA MOJA TU, unasikia umepigwa Pini juu kwa juu hakuna KUPELEKEA ndege yako huko, kwa sababu ndege zako hazina viwango🤔🤔🤔 unajiuliza waliotengeneza miboeing na miairbus ya Ethiopia, Kenya na Emirate waliweka viwango TOFAUTI na KWAKO?? Je ukipata WAZO kwamba washindani wako ndiyo wanaokupiga Pini, utakuwa unakosea?
Ingekuwa ni gemu huria hujaenda kwa Mzee Ngurumo kweli?😂😂😂
 
Maisha yankuwaga magumu pale unakuta kile unachotegemea ghafla kinaenda mlama

Alafu unategemewa.

Unaanza kujiuliza umekosea wapi? Utalalamika wee na kuliiaa wee lakini mambo hayabadiliki, kumbe kuna mzizi umeshawekwa.

Ndicho hicho kinalpelekea watu kufanya maamuzi magumu

Maisha yamekuwaa magumu ila pia watu wamezidi kuwa waovu

Sasa usiombe ukutane na maisha magumu yaliyoletwa kwako na mtu muovu.

Utaliaaaa snaaa hadii kukufuru
 
Huyu ni mtoto wa early 20s hajui maisha
 
Umeona eeh? Hapo ndipo utakapoelewa Maana ya msemo wa "Mwanangu kua uyaone"
 
Gundu lipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…