The dark side of business

The dark side of business

Kuhusu Kutoa Kafara Ng'ombe ni kweli, huwa wanamaanisha binadamu.
Nakumbuka kama Miaka 18 iliyopita (ilikuwa ni around 2006 au 2007 nakumbuka) baba yangu mdogo alimleta bosi mchimbaji madini kijijini kwetu kuna mahali palikuwa kuna chenga za madini.
Baada ya kufika pale Mwenyeji aliyempeleka akamwambia panahitajika ng'ombe lakini sio ng'ombe huyu wa kawaida bali ni Mtu atolewe Kafara.
Baba mdogo aliposikia habari ya kutoa mtu kafara akakataa.
Hiyo sehemu hadi leo naijua, ipo Mkoa wa Kusini mwa Tanzania.
Sitaki Mtu anihoji inbox kuhusu hiyo sehemu maana nilienda mara moja tu na sitaki kwenda tena sehemu hiyo.
 
Kuna mtu anaitwa INFROPRENUER amekuwa akikosoa sana huu Uzi Hadi akafungua Uzi wake kupinga utajiri wa kishirikina, nimemwandikia kisa halisi cha kijana alimaliza form four 2022, akafeli MTIHANI wa Taifa kwa kupata div. Four ya 32,... LAKINI Leo anamiliki bajaj MBILI za abiria MPYAAA, kwamba ana MAONI Gani katika kisa hiki, naona kapotea
Sasa kwani mtu akifeli form four ndio kwamba hatoweza tena kuwa tajiri?

Aliyekwambia utajiri unapatikana kwa kufaulu form four au kwenda shule ni nani?

Mbona kuna matajiri wengi tu, wengine hata hawajasoma, ila wana Utajiri.

Hivi wewe una utimamu huko kichwani mwako?
 
Kuna mtu anaitwa INFROPRENUER amekuwa akikosoa sana huu Uzi Hadi akafungua Uzi wake kupinga utajiri wa kishirikina, nimemwandikia kisa halisi cha kijana alimaliza form four 2022, akafeli MTIHANI wa Taifa kwa kupata div. Four ya 32,... LAKINI Leo anamiliki bajaj MBILI za abiria MPYAAA, kwamba ana MAONI Gani katika kisa hiki, naona kapotea
inshu yakumiliki bajaji mbili unaona jamaa kafanikiiiwa kias kwamba hio inshu unaileta mpaka huku..?
 
Utafutaji halali unapokumbana na mizengwe inayotishia mafanikio halali, Akili za watu Huwa zinapinduka.... Na ndivyo Maana kama ni fitina za kimwili, watu hutafutana Hadi kieleweke, na kama ni fitina za kiroho, watu pia hupambana mpaka kieleweke, ni katika kupambana huko baadhi ya watu hujikuta wamejisokota na kuwa watumwa wa MATATIZO mengine mazito zaidi kama mtoa Uzi anavyotufahamisha.
Any way, imagine wewe ndiyo Tanzania, umenunua midege mikubwa, miboeing na miairbus, unataka ufanye biashara halali, unapata WAZO ulaya nitapata soko, halafu KABLA HATA HUJAZINDUA SAFARI YAKO HATA MOJA TU, unasikia umepigwa Pini juu kwa juu hakuna KUPELEKEA ndege yako huko, kwa sababu ndege zako hazina viwango🤔🤔🤔 unajiuliza waliotengeneza miboeing na miairbus ya Ethiopia, Kenya na Emirate waliweka viwango TOFAUTI na KWAKO?? Je ukipata WAZO kwamba washindani wako ndiyo wanaokupiga Pini, utakuwa unakosea?
Ingekuwa ni gemu huria hujaenda kwa Mzee Ngurumo kweli?😂😂😂
Kwanza Boeing na Airbus ni kampuni mbili tofauti za utengenezaji ndege.

Boeing ni ya Marekani 🇺🇸,
Airbus ni ya Ufaransa🇲🇫.

Na kuna aina tofauti tofauti za ndege zinazo tengenezwa na makampuni haya. Na kila ndege ina mfumo wake wa ufanyaji kazi tofauti na nyingine.

Kuna aina nyingi sana za ndege za kampuni ya Boeing. Kuna Boeing 777-300ER, Boeing 787-9, Boeing 757-200, Boeing 767, Boeing 747-8, Boeing 737Max.

Pia ndege za kampuni ya Airbus hivyo hivyo, Kuna Airbus A300, Airbus A380, Airbus A 350-900, Airbus 400M Atlas.

Kwa hivyo si kila ndege ya Boeing au Airbus ni ya aina hiyohiyo kwa nchi zote. Unaweza kuwa na ndege za kampuni ya Boeing ila ni aina mbili tofauti.

Na ndege yako inaweza kupigwa marufuku ku operate kulingana na mfumo wa aina hiyo ya ndege.

Kwa mfano Boeing 737Max zilizuiwa ku operate kutokana na mifumo yake yenye hitilafu. Ambapo ndio ilipelekea ile ndege ya Ethiopian Airlines Boeing 737Max kuanguka na kuua watu wote march 2019.

Kwa hivyo ndege za nchi zako kupigwa pin si kwamba eti ni wivu wa kibiashara au sababu za kichawi, kiroho au kishetani. Hapana.

Ni kwa sababu za kiusalama na kiufundi za aina hiyo ya ndege.

Kwa hivyo hakuna mizengwe wala uchawi kwenye ndege.

Usipofuata taratibu, kanuni na sheria za ICAO( International Civil Aviation Organization) lazima ndege zako zipigwe pin.

Do you get the point?
 
Kuna mtu anaitwa INFROPRENUER amekuwa akikosoa sana huu Uzi Hadi akafungua Uzi wake kupinga utajiri wa kishirikina, nimemwandikia kisa halisi cha kijana alimaliza form four 2022, akafeli MTIHANI wa Taifa kwa kupata div. Four ya 32,... LAKINI Leo anamiliki bajaj MBILI za abiria MPYAAA, kwamba ana MAONI Gani katika kisa hiki, naona kapotea
Samahani , lakini hii hoja yako kama kaandika mtoto wa darasa la tatu B. Kwa hiyo mtu aliefeli form four hawezi kumiliki shamba la kahawa au kokoa na kupata hizo bajaji baada ya kuuza hizo kokoa?
 
Back
Top Bottom