The dark side of business

Nikuulize kitu mbona kwenye kuandika Mungu au God wew unaandika M-ngu au G-d what's the reason behind?
Nilishaeleza kwenye post za uko nyuma ila unaweza kuingia hapa www.chabad.org pale kwenye search andika why G-d and not God........kufupisha process,naandika M-ngu au G-d kuonyesha heshima na ni lazima nianze na capital later kuonyesha ukuu wake.
 
Episode ya ngap
Sikumbuki episode exactly ila alipost site humu ambapo kwenye hyo site inasema unapotaja jina la Mungu bila sababu maalum tumia code kama anavotumia, waka rejea amri ya Mungu inyoasema "usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako" na badala yake ukilitaja kikamilifu taja mahali patakatifu.
Kama nimebugi atarekebisha.
 
Nashukuru
 
Uko right!jina M-ngu ni sacred linatakiwa litajwe kwenye sacred issues tu kama prayer and worship lkn kwenye mambo mengine ni hekima kutumia codes.
 
Boss hujatujuza namna ya kujikinga biashara zetu zinapoingia kwenye misukosuko ya walimwengu. Ulisema Kuna njia kama Tano za kuutumia nje ya njia za Giza. Tusaidie mkuu, tupe elimu vijana tunaangamia kwa kukosa elim ya kiroho. Please please 🙏🙏🙏
 
Hii ndo mpango mzima broo
 
Huu ndo ukweli
 
Naomba ushauri Tanzanian Dream ,Binafsi sijawai shiriki maaganoya kiganga , lakini mke wangu aliniambia aliwai kwenda kwa mganga na walichinja kuku, then akanywa damu nadhani kwasababu ya changamoto za uzazi , pia na waliwai vunja nazi, na alipewa dawa za kunywa ,kupaka n.k.. NB: alifanya mm sikuwepo akaja kunambia baada ya 2 month ivi.. na nilikua na mkataza mambo ya waganga lakini alizunguka, Hadi sasi hivi hajafanikiwa.. still nampleka kanisani na kwenye maombi anaenda, lakini sijui kama ametoka kwenye madhabau au la? Kama unachochote cha kunishauri karibu mkuu unisaidie..
Pia nawengine nawakaribisha kwa ushauri.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…