Tanzanian Dream
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 274
- 1,771
- Thread starter
- #781
Nilishaeleza kwenye post za uko nyuma ila unaweza kuingia hapa www.chabad.org pale kwenye search andika why G-d and not God........kufupisha process,naandika M-ngu au G-d kuonyesha heshima na ni lazima nianze na capital later kuonyesha ukuu wake.Nikuulize kitu mbona kwenye kuandika Mungu au God wew unaandika M-ngu au G-d what's the reason behind?