The dark side of business

Hakuna dark side ya Wahindi ni kwamba hao jamaa wana mitaji
Dah
Hao Jamaal ana frem ya futi kadhaa alafu store yake size ya godwn
Hawa Jamaa Wana mtaji mkubwa mnooo
Mfano mzuri Ni Kenya
90% ya viwanda Ni wahindi
9% Somali
1% Kenyans

Viwanda vikunwa vyoooote unavyooona kuanzia kina Kimbo mwenye Jamaa
Yaani wooote wahindi
 
Hi Elon Musk Ni Dini gani
 
Huu ndio ukweli nashangaa wanaokimbilia kusema jamaa wanatoa kafara

Masikini huwa wanaamini sana kwenye ushirikina
 
Mzee wa 0-10,unataka nimalize kila kitu kwny post moja,nitafika tu huko kwa wakabachori!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…