The dark side of business

The dark side of business

Shusha vitu mkuu.
Hawa wanaosema sijui thibitisha uwepo wa shetani achana nao hawa tushawashtukia ni ma-agent wa bwana devil.
simple research kama anataka kujua mengi kuhusu shetani aenda kwa waganga wa kienyeji mbona wapo mitaani tu wazee wa tunguli, Nenda alafu uje hapa tuongee lugha moja.
Hao waganga wa kienyeji watumie huo uganga wao kwa nguvu zako zote wawazidi matajiri wakubwa kama kina Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na wengineo.

Hao waganga ndio makapuku nambari moja maskini choka mbaya wanaishi kwenye vibanda vya udongo.

Halafu wajinga kama wewe unaamini mganga huyo ndio ataweza kukupatia utajiri!!!

Maisha si rahisi hivyo wewe!!
 
Huu ujinga ungefaa kwenye majukwaa mengine.

Like seriously sasa hapa kuna mjadala wa biashara au ujinga tu.

Yaani jukwaa la biashara badała ya kuongelea business objectives, strategies, monitoring of strategies, budgets, marketing.

Tuzungumzie huu upuuzi kama mambo ya biashara.
Leta naww Uzi wako au nenda Kwa dukahuru
 
inaendelea

Ilipoishia......
Ngurumo alinipa maelekezo ya namna ya kuwatoa wale ng'ombe na jinsi wale viumbe watakavyo sababisha ajali na baada ya hapo watakuwa ni mali yangu,watanifata kila mahali na nitakuwa na uwezo wa kuwatuma popote unapotaka.............
Je hao viumbe ni akina nani? na je nitafanikiwa kuwatoa hao ng'ombe.......

Sasa tuendelee
Baada ya ngurumo kunipa maelekezo ya namna ya kuwatoa wale ng'ombe,ilinifikirisha sana,akili yangu ilienda mbali kidogo,ikabidi nimuulize,

"Hiyo ajali ikitokea huyo dereva atanusurika?
Ngurumo:Kama ana kinga anaweza kupona lkn kama hana kinga ni lazima atakufa
"Hii iliniogopesha sana"
Mm:kwani hakuna njia nyingine?maana naona Kama tunaenda kuua mtu asiye na hatia!
Ngurumo:kijana mbona una huruma sana,utajiri utauweza?....hao ng'ombe hawatolewi kwa kuchinjwa,wanatolewa kwa ajali hakuna njia nyingine(alisisitiza mzee ngurumo)
Baadaye kidogo akaniambia wewe hofu yako ni dereva kufa,basi usijali,nitaangalia namna ya kumkinga lkn hiyo ni gharama nyingine,itabidi ulipie...

Ajali nyingi ni za mchongo
Mara nyingi ajali ikitokea tunaishia kumlaumu dereva lkn nyuma ya pazia,ajali nyingi ni platform ya kutolea kafara,ukipanda chombo chochote cha moto,iwe ni basi,meli,treni,ndege hata iwe bodaboda usidharau,fanya sala na ukishuka ushukuru....

Ile siku ikafika
Mzee ngurumo alinipeleka kwa mtu wake ambaye alikuwa ni mfugaji,kwa kuwa alikuwa tayari ameshampanga,tulimkuta anatusubiri
Ngurumo:unaona jinsi ng'ombe wake walivyo wakubwa,ndio maana nikakuleta huku.

Nililipa 1.6M,kila ng'ombe alinicost laki nane,dereva akaja,tukawapakia.

Safari ikaanza
Mimi na mzee ngurumo tulipanda pikipiki,tukatangulia mbele,jamaa anatufata kwa nyuma,moyoni niliwaza kile kinachokwenda kutokea......tulitembea Kama dk 15 hv, ngurumo akatoa kifuko mfukoni kilichokua na unga,tulipofika njia panda akamwaga ule unga na Kuna maneno akayasema...,ilitokea Lori hz tipper za mchanga iko moto vibaya ikaigonga ile canter ubavuni kwa nyuma,kwasababu ya speed ile canter ilienda chini,lile lori likaingia kwny mtaro.
Wakati huo sisi tumepark pikipiki tunaangalia ile ajali,nikawa nawaza kwa mzinga ule sidhani Kama Kuna mtu atatoka salama,nilianza kujiskia vibaya.......
Ngurumo:twende tukacheki Kama wale ng'ombe wamekufa au la!
Watu walikuwa wameshajaa eneo la tukio,mzee ngurumo alienda moja kwa moja kutazama ng'ombe,Mimi nilienda kucheki wale madereva,yule wa Lori alikuwa mzima amekaa chini,yule aliyebeba ng'ombe walimtoa kwny gari wamemlaza chini,dah!nikasema kimoyo moyo"huyu atakuwa ameshavuta.....
Ghafla mzee ngurumo akanishika begani,akaniambia kijana" deal done"(huku akitabasamu)
Mm:mbona sasa yule dereva amekufa?(nilimuuliza kwa huzuni)
Ngurumo:yule hajafa amezimia tu.
Tulifanya mchakato wa kuwapeleka hospitali na kweli yule bwn alikuwa hajafa.

Baadaye kidogo tulikodi gari nyingine,tukabeba wale ng'ombe,tukaenda kuwazika.

Ngurumo:Sasa kila kitu kipo sawa..naomba urudi nyumbani ikajiandae maana usiku wa leo(ilikuwa alhamisi)wale viumbe watakuja,ila naomba uzingatie haya masharti matatu 1),usimwambie mtu yoyote mambo haya 2)usimguse mwanamke kwa miezi sita na baada ya hapo itakubidi uoe maana zinaa na utajiri havipatani na 3)kila siku ya alhamisi usiku,utakuwa unachoma udi,dukani na nyumbani kwako(mzee ngurumo alimaliza kutoa maelekezo)
Haya masharti sikuyaona Kama yana ugumu wowote ila lile sharti la pili kwa sehemu niliona ni kipengele 😀

Nikarudi home
Nimefika home nimechoka,nikaweka mazingira vizuri kwa ajili ya ugeni wa vile viumbe,nikaingia gheto(bed room)nikachoma udi za kutosha,kwasababu harufu ilikuwa kali ikabidi nitoke nikalale sitting room,nilipitiwa na usingizi mzito,niliamshwa na mlio wa simu,kucheki nani ananipigia,kumbe ni mtu wangu wa dukani,nilimpa maelekezo wakati wa kufunga achome udi za kutosha,baada ya Kama nusu saa aka nitext"boss nimeshachoma na duka tumeshafunga"
Nikacheki saa,ni saa mbili na nusu usiku,ghafla nikaskia mlango unagongwa..........mapigo ya moyo yalianza kunienda mbio,nikajisemea ndio wale viumbe wamekuja...nikawa najiuliza hivi viumbe zipoje,sura zao zipoje?nilijiuliza bila majibu....mlango ulizidi kugongwa....nilisogea pale mlangoni huku natetemeka..........................
******************************
Nilitamani nimpigie mzee ngurumo walau anipe neno moja la kunitia moyo maana nilihisi kuishiwa nguvu......nini kitajiri baada ya kufungua mlango?...........stay there!
Nimeamini ushirikina ni kanuni na masharti.. lkn upande wa mungu kuna kanuni pia... kwa experience yako nijibu, je ukifuata kanuni za kimungu huwezi kuwa na ulinzi au kufanikiwa mkuu? Kama kweli ni kanuni zipi za kuzifuata ?
 
inaendelea

Ilipoishia......
Ngurumo alinipa maelekezo ya namna ya kuwatoa wale ng'ombe na jinsi wale viumbe watakavyo sababisha ajali na baada ya hapo watakuwa ni mali yangu,watanifata kila mahali na nitakuwa na uwezo wa kuwatuma popote unapotaka.............
Je hao viumbe ni akina nani? na je nitafanikiwa kuwatoa hao ng'ombe.......

Sasa tuendelee
Baada ya ngurumo kunipa maelekezo ya namna ya kuwatoa wale ng'ombe,ilinifikirisha sana,akili yangu ilienda mbali kidogo,ikabidi nimuulize,

"Hiyo ajali ikitokea huyo dereva atanusurika?
Ngurumo:Kama ana kinga anaweza kupona lkn kama hana kinga ni lazima atakufa
"Hii iliniogopesha sana"
Mm:kwani hakuna njia nyingine?maana naona Kama tunaenda kuua mtu asiye na hatia!
Ngurumo:kijana mbona una huruma sana,utajiri utauweza?....hao ng'ombe hawatolewi kwa kuchinjwa,wanatolewa kwa ajali hakuna njia nyingine(alisisitiza mzee ngurumo)
Baadaye kidogo akaniambia wewe hofu yako ni dereva kufa,basi usijali,nitaangalia namna ya kumkinga lkn hiyo ni gharama nyingine,itabidi ulipie...

Ajali nyingi ni za mchongo
Mara nyingi ajali ikitokea tunaishia kumlaumu dereva lkn nyuma ya pazia,ajali nyingi ni platform ya kutolea kafara,ukipanda chombo chochote cha moto,iwe ni basi,meli,treni,ndege hata iwe bodaboda usidharau,fanya sala na ukishuka ushukuru....

Ile siku ikafika
Mzee ngurumo alinipeleka kwa mtu wake ambaye alikuwa ni mfugaji,kwa kuwa alikuwa tayari ameshampanga,tulimkuta anatusubiri
Ngurumo:unaona jinsi ng'ombe wake walivyo wakubwa,ndio maana nikakuleta huku.

Nililipa 1.6M,kila ng'ombe alinicost laki nane,dereva akaja,tukawapakia.

Safari ikaanza
Mimi na mzee ngurumo tulipanda pikipiki,tukatangulia mbele,jamaa anatufata kwa nyuma,moyoni niliwaza kile kinachokwenda kutokea......tulitembea Kama dk 15 hv, ngurumo akatoa kifuko mfukoni kilichokua na unga,tulipofika njia panda akamwaga ule unga na Kuna maneno akayasema...,ilitokea Lori hz tipper za mchanga iko moto vibaya ikaigonga ile canter ubavuni kwa nyuma,kwasababu ya speed ile canter ilienda chini,lile lori likaingia kwny mtaro.
Wakati huo sisi tumepark pikipiki tunaangalia ile ajali,nikawa nawaza kwa mzinga ule sidhani Kama Kuna mtu atatoka salama,nilianza kujiskia vibaya.......
Ngurumo:twende tukacheki Kama wale ng'ombe wamekufa au la!
Watu walikuwa wameshajaa eneo la tukio,mzee ngurumo alienda moja kwa moja kutazama ng'ombe,Mimi nilienda kucheki wale madereva,yule wa Lori alikuwa mzima amekaa chini,yule aliyebeba ng'ombe walimtoa kwny gari wamemlaza chini,dah!nikasema kimoyo moyo"huyu atakuwa ameshavuta.....
Ghafla mzee ngurumo akanishika begani,akaniambia kijana" deal done"(huku akitabasamu)
Mm:mbona sasa yule dereva amekufa?(nilimuuliza kwa huzuni)
Ngurumo:yule hajafa amezimia tu.
Tulifanya mchakato wa kuwapeleka hospitali na kweli yule bwn alikuwa hajafa.

Baadaye kidogo tulikodi gari nyingine,tukabeba wale ng'ombe,tukaenda kuwazika.

Ngurumo:Sasa kila kitu kipo sawa..naomba urudi nyumbani ikajiandae maana usiku wa leo(ilikuwa alhamisi)wale viumbe watakuja,ila naomba uzingatie haya masharti matatu 1),usimwambie mtu yoyote mambo haya 2)usimguse mwanamke kwa miezi sita na baada ya hapo itakubidi uoe maana zinaa na utajiri havipatani na 3)kila siku ya alhamisi usiku,utakuwa unachoma udi,dukani na nyumbani kwako(mzee ngurumo alimaliza kutoa maelekezo)
Haya masharti sikuyaona Kama yana ugumu wowote ila lile sharti la pili kwa sehemu niliona ni kipengele 😀

Nikarudi home
Nimefika home nimechoka,nikaweka mazingira vizuri kwa ajili ya ugeni wa vile viumbe,nikaingia gheto(bed room)nikachoma udi za kutosha,kwasababu harufu ilikuwa kali ikabidi nitoke nikalale sitting room,nilipitiwa na usingizi mzito,niliamshwa na mlio wa simu,kucheki nani ananipigia,kumbe ni mtu wangu wa dukani,nilimpa maelekezo wakati wa kufunga achome udi za kutosha,baada ya Kama nusu saa aka nitext"boss nimeshachoma na duka tumeshafunga"
Nikacheki saa,ni saa mbili na nusu usiku,ghafla nikaskia mlango unagongwa..........mapigo ya moyo yalianza kunienda mbio,nikajisemea ndio wale viumbe wamekuja...nikawa najiuliza hivi viumbe zipoje,sura zao zipoje?nilijiuliza bila majibu....mlango ulizidi kugongwa....nilisogea pale mlangoni huku natetemeka..........................
******************************
Nilitamani nimpigie mzee ngurumo walau anipe neno moja la kunitia moyo maana nilihisi kuishiwa nguvu......nini kitajiri baada ya kufungua mlango?...........stay there!
Now we are talking big boss, Lez continue!
 
Hao waganga wa kienyeji watumie huo uganga wao kwa nguvu zako zote wawazidi matajiri wakubwa kama kina Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na wengineo.

Hao waganga ndio makapuku nambari moja maskini choka mbaya wanaishi kwenye vibanda vya udongo.

Halafu wajinga kama wewe unaamini mganga huyo ndio ataweza kukupatia utajiri!!!

Maisha si rahisi hivyo wewe!!
#uelewa wako uko chini sana.

_bas hakuna mwalimu mkweli. maana hao walimu ndo wanafundisha watu ambao baadae wanakua madaktari

_utaratibu wakufanikiwa upo katika mfumo wangazi pia mafanikio yanakikomo chake kati yamtu mmoja namwingine

-jiulize kwann hao unaowaita wakina dangote na akina bakhresa mbona hawafiki level zaakina elon musk..? kwaio unatakiwa kujua hata ww najamaa yako mkipewa utajiri sawa baada yamuda lazima kuna mmoja atakua juu mwingine atakua chini.

matajiri wawili hawana tofaut na masikini wawili
 
hivyo vitu vingine hawawezi kukuambia abadani, wewe utaona sijui management sijui kitu gani, e.t.c ! Ili udumu kwenye biashara na mafanikio lazima ujue Siri Za Ulimwengu wa Roho na uwe kwenye upande mojawapo kati wa hizi ( Ulimwengu wa Nuru au Ulimwengu wa Giza). Hakuna biashara inayofanikiwa yenyewe bila kuwa na nguvu zinaendesha hizo biashara.

Naomba nikuulize swali! Je wewe Unamiliki biashara yako kama kampuni?, Real estates? au hata hizi za kawaida?

Kama Bado una long way to go kujua Siri za biashara katika ulimwengu wa roho ili uweze Ku sustain! Na hichi ndicho huwezi kufundishwa Shule.

Usije ukaingia kwenye biashara kichwa kichwa kesho unatembea na boxer siku pale unapoona 50M, 200M zinapokatika kama maji ndani ya 3 months..e.t.c
Kwa miaka kadhaa niliyopo kwenye biashara nimejionea mafanikio ya biashara hayategemei nguvu za giza wala ulimwengu wa nuru

Mchawi wa biashara ni wewe mwenyewe. Wanaoenda kwenye nguvu za giza ni kutojiamini kwao tu. Utaroga sana utafanya maombi sana biashara ikikukataa imekataa chunguza sababu kwanini umeanguka

Nimeona wengi wanafirisika licha ya kuwa wanategemea ulimwengu wa nuru au wa giza

Labda nikuulize swali wanaofunga biashara au kufirisika au ambao biashara zao hazifanyi vizuri sababu huwa zinakuwa nini? Ni kutokuwa na nguvu za ulimwengu wa nuru au wa giza ndio unamaanisha hivyo?
 
Kwa miaka kadhaa niliyopo kwenye biashara nimejionea mafanikio ya biashara hayategemei nguvu za giza wala ulimwengu wa nuru

Mchawi wa biashara ni wewe mwenyewe. Wanaoenda kwenye nguvu za giza ni kutojiamini kwao tu. Utaroga sana utafanya maombi sana biashara ikikukataa imekataa chunguza sababu kwanini umeanguka

Nimeona wengi wanafirisika licha ya kuwa wanategemea ulimwengu wa nuru au wa giza

Labda nikuulize swali wanaofunga biashara au kufirisika au ambao biashara zao hazifanyi vizuri sababu huwa zinakuwa nini? Ni kutokuwa na nguvu za ulimwengu wa nuru au wa giza ndio unamaanisha hivyo?
#kuna wanaoenda kwawaganga kuchukua kinga tu_kuna wengine kinga pamoja na mivuto_
_alafu kuna wengine hawana hata mia ila wanaenda kupewa utajiri moja kwamoja

kwamfano; kuna watu wanatoa kafara ndugu zao then wanageuka kuwa misukule wanaufuga ndani-so hio misukule ndo inawaletea pesa cash (hii ni kwajinsi nilivyofatilia humu jf )
_so mara nyingi wanaofilisika kuna namna mbili au tatu

1) kukosea mashart watakayokuwa wamepewa

2)dawa kuisha nguvu

mtu ambae kachukua tu kinga hasa kujikinga na chuma ulete hawa biashara zao kufeli au kufaulu nikawaida kutokana na mhusika anaendesha vp biashara yake



kwasababu yeye anakua kajikinga tu na wale wahamisha pesa ila kuhusu wateja kuja niyeye na lugha yake na location aliopo na ukubwa wamtaji wake


ila hawa ambao wameweka mandondocha madukani kwao hata awe nalugha mbaya watu watakuja tu
 
ITS CRAZY JINSI WATU WANAVYOTUPIANA MADONGO HUMU.

ILA NINGEPENDA KUWAKUMBUSHA KUWA TUSIPENDE KUAMINI TUNAYOAMINI KUWA NDIO YENYE UHAKIKA 100%

USIMTUKANE MTU ANAYESEMA ANAWEZA KUPATA PESA KWA LUCIFER

USIMTUKANE MTU ANAEKUAMBIA PESA NI MBINU NA JITIHADA YAKO PEKEE

USIMTUKANE MTU ANAYESEMA YEYE ANASALI NA MUNGU ANAMFUNGULIA NJIA ZA PESA.

EBU JIULIZE KAMA WEWE NIMJUAJI WA KUJIAMINI , EBU TAJA SIKU YAKO UTAKAYOKUFA, OK HAUIFAHAMU, NI SIRI KUBWA, HIVYO HIVYO KUNA MAMBO YAPO NA HADI UNAKUFA UTAKAA KUYAJUA.

SO, TUWE OPEN MINDED, TUSIJIFANYE WAJUAJI SANAAAAA
 
Nimeamini ushirikina ni kanuni na masharti.. lkn upande wa mungu kuna kanuni pia... kwa experience yako nijibu, je ukifuata kanuni za kimungu huwezi kuwa na ulinzi au kufanikiwa mkuu? Kama kweli ni kanuni zipi za kuzifuata ?
Pale kwny lengo la uzi nilisema"mafanikio bila giza inawezekana"so naamini unaweza kutoboa kwa kupita light side,ila kanuni za kiroho giving,timing,risk taking, concealment,believing etc zinaleta matokeo bila kujali upo upande gani.
 
Pale kwny lengo la uzi nilisema"mafanikio bila giza inawezekana"so naamini unaweza kutoboa kwa kupita light side,ila kanuni za kiroho giving,timing,risk taking, concealment,believing etc zinaleta matokeo bila kujali upo upande gani.
Okey, Kwa mtu anayepitia changamoto kibiadhara , ni njia ipi kiroho unaweza mshauri ili aweze kujikwamua
 
Hao waganga wa kienyeji watumie huo uganga wao kwa nguvu zako zote wawazidi matajiri wakubwa kama kina Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na wengineo.

Hao waganga ndio makapuku nambari moja maskini choka mbaya wanaishi kwenye vibanda vya udongo.

Halafu wajinga kama wewe unaamini mganga huyo ndio ataweza kukupatia utajiri!!!

Maisha si rahisi hivyo wewe!!
Wapo matajiri wanaamini katika mungu - Mungu akawapa utajiri
Wapo matajiri wanaamini katika shetani(iblis) - iblis kawapa utajiri
Wapo maskini wanaamini katika mungu - Mungu hajawapa utajiri.
Wapo maskini wanaamini katika shetani(iblis) - shetani hajawapa utajiri.
Maana yake ni kuwa si kila aaminiye katika mungu anautaka sana utajiri wengine wanataka mengine tofauti na utajiri the same applied to iblis, Kwa shetani watu wanafuata vingi sio utajiri tu.
Alafu aliekuambia waganga wote maskini ni nani?.. Inaonekana unawajua sana waganga wa kienyeji eee kwanini usiwaulize kuhusu uwepo wa iblis ?
 
Back
Top Bottom