antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
OK, hizo 7 laws utashusha humu au kwenye uzi mwingine mpya?Nilitaka nimalize uzi kwanza,ndio nishushe nondo za 7 laws
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK, hizo 7 laws utashusha humu au kwenye uzi mwingine mpya?Nilitaka nimalize uzi kwanza,ndio nishushe nondo za 7 laws
Uislam unaegemea kwenye Quran na Sunna, sasa kama hili Issa kuhukumu wanaulimwengu halijaelezwa kwenye hivyo vyanzo viwili basi hakuna muislam mwenye kuitambua dini yake vizuri atakuelewa.Hata wenye uelewa mpana wa uislamu wanakiri Yesu Kristo(Issa bin-mariamu)ndiye atakaye hukumu wana-ulimwengu....na habari nyingi zihusuzo uislamu zipo Kumbukumbu la torati.
HIKI kisa nimekielezea vizuri KULE siyo hapa tafuta Uzi wa infroprenuer anaosema hakuna utajiri wa kichawi utasoma nilichokishuhudia kuleSamahani , lakini hii hoja yako kama kaandika mtoto wa darasa la tatu B. Kwa hiyo mtu aliefeli form four hawezi kumiliki shamba la kahawa au kokoa na kupata hizo bajaji baada ya kuuza hizo kokoa?
Tatizo la uzazi vp lilishafutika?Naomba ushauri Tanzanian Dream ,Binafsi sijawai shiriki maaganoya kiganga , lakini mke wangu aliniambia aliwai kwenda kwa mganga na walichinja kuku, then akanywa damu nadhani kwasababu ya changamoto za uzazi , pia na waliwai vunja nazi, na alipewa dawa za kunywa ,kupaka n.k.. NB: alifanya mm sikuwepo akaja kunambia baada ya 2 month ivi.. na nilikua na mkataza mambo ya waganga lakini alizunguka, Hadi sasi hivi hajafanikiwa.. still nampleka kanisani na kwenye maombi anaenda, lakini sijui kama ametoka kwenye madhabau au la? Kama unachochote cha kunishauri karibu mkuu unisaidie..
Pia nawengine nawakaribisha kwa ushauri.
Nitakapo leta 7 laws nitagusia na issue za protection humo ndaniHili swalii zuriii sana
Mtoa mada saidia hapa pia
Bado halijafutikaT
Tatizo la uzazi vp lilishafutika?
Nadhani 7 laws itamaliza kila kituNapenda unamjibu kila mmoja
Je ambao walianza vizuri bila hzo dark side lakini baadae wakaanza kuporomoka? Wafanye nini?
Lamomy upo? Ulikua kimya sana mpaka nikahis labda we ndo NeemaJana nimemuota hapa nimetoka kuvunja kikoba nataka nikalisalimie kabuli lake 🥹
Pole mkuu.Bado halijafutika
Nadhani uzi mpya itapendeza zaidiOK, hizo 7 laws atashusha humu au kwenye uzi mwingine mpya
Nipo sema niko busy dk za majeruhi hizi tunaparua wateja tufunge hesabu.!Lamomy upo? Ulikua kimya sana mpaka nikahis labda we ndo Neema
Huu uzi ulijikita kuonyesha dark side,labda next time nije na uzi wa light side.Mkuu huoni kwamba hapo umefundisha watu zaidi hiyo dark path na sio the right one??
Kwanini walau usiongeze episode moja ya jinsi ulivyotoka huko na Yesu kukukomboa?? Kwanini usielezee jinsi nuru inafanya kazi??
Haya bn mjukuu wa Mahenge kikubwa mambo yanaendaNipo sema niko busy dk za majeruhi hizi tunaparua wateja tufunge hesabu.!
Halafu tunaelekeana si unajua wakinga tunavyofanana km maboga.! 🥹
Kitambo sanaMtoa mada umesha graduate
Tunasubiri muendelezo jamaaKitambo sana
Nina swali Kwa nini unaandika M-ngu na G-d usiandike full?iraq