The earth is flat and is not rotating

The earth is flat and is not rotating

Chonde chonde wanasayansi msije kuprove vitabu vyetu vya dini vimesema uwongo.
 
Dini ya Kikristo ilizinduliwa na Galileo kuwa dunia sio flat na wakaelewa, ila waislamu bado hawajazinduka, sijui dini za kijadi na wasiokuwa na dini wanamtazamoa gani. Ushauri: unaposhughulikia science usiingize dini au dini usiingize sayansi!

Mkuu Mwanamayu Waislamu hawaihitaji kuzinduka zaidi ya walivyozinduliwa na Quran. Kilichopo ni Mistranslated words au misinterpretation ya baadhi ya maneno kama katika aya alizo Quote mwamele. Lakini General understanding kwa Waislamu na ndio Kauli yenye Nguvu ni kuwa The Earth takes an egg shape/Spherical/geoid. Ironically even the sun and the moon are defined to move in their specific route. Does Science agrees? well time will tell. Kwa muda wako na wengineo mnaweza pitia majibu ya claims kuwa Muslims wanakubali kuwa the Earth is Flat.

1. Does The Quran Say that the Earth is Flat!? - WorldView - counsels - OnIslam.net

2. The Earth is round according to Islam.

3. http://www.islamicbulletin.org/free_downloads/quran/bible_quran_science.pdf

4. Islam Guide: A Brief Illustrated Guide to Understanding Islam, Muslims, & the Quran

5. Consensus that the Earth is round - islamqa.info

6. Reconciling between the view that the Earth is round and the verse “And Allah has made for you the earth wide spread (an expanse)” [Nooh 71:19] - islamqa.info

CC: Nonda, faiza Foxy
 
Last edited by a moderator:
[h=1]GEOIDAL FORM OF THE WORLD[/h]Sun, Moon And Earth | Quran Miracles

earth_form-460x250.jpg



30- He made the earth egg-shaped. (79- The Snatchers, 30)
The Arabic word "dahw" means rotundity like that of the ostrich's egg. The above verse was also interpreted to refer to the shaping of the earth in the form of an ostrich egg. Prof. Dr. Suleyman Ateş, former head of Religious Affairs in Turkey, gives the following definition of the word, based on the famous Arabic dictionary Lisan u'l Arab: "The word 'dahw' means to spread out, giving (something) a round shape." Derived from the same stem, the word "medahi" referred to round stones. Despite the meaning of rotundity concealed in words derived from the word "dahw" there have been translators for whom a spherical earth was difficult to conceive, who had to translate it as "to spread out." The actual shape of the earth does have the shape ofan ostrich egg. Thus the shape of the earth is spheroid with depressions at the poles. The exact figure of the earth which had posed a problem throughout history was pointed out by the Quran, 1400 years ago.
Even the books written a few centuries after the descent of the Quran likened the shape of the earth to a tray. Beliefs according to which the earth rested on the horns of an ox or was supported by a fish reigned over mentalities in the Arabic peninsula and many believed that earthquakes occurred when the fish down below waved its tail. The Prophet had no ocean-going ship to cross the earth from one extremity to the other, that would have supplied him with evidence proving the spheroid shape of the earth, nor had he a spacecraft from which he could have had an overall view of our world that would have provided him a photographic image of it, as he was not equipped with a camera. Our knowledge of the sphericity of the earth, which seems to us as an established fact, was then beyond the comprehension and imagination of the majority. Therefore, the Quran's statement to this effect failed to be grasped.
Thus, at a time when most of the people believed in the shape of earth's figure as a tray supported by an ox or fish, the Quran had beautifully described its actual shape. The fact that ostriches inhabited in the Arabian Peninsula at the time must have permitted those who inquired into this mystery to hold an ostrich egg in their hands and examine it. The geoidal form is a gentle indication of this. The subtlety of the Quran's expressions provides men with evidence.

174- O people! Verily there has come to you an infallible proof from your Lord. We have sent unto you a manifest light. (4- The Women, 174)

 
labda tumuongezee tu kuhusu dunia kuzunguka na vitu vyote vilivyomo ndani.
mfano mzur ni pale nzi anapokuwa anafly ndani ya basi lililo kwenye mwendo, kwa idea ya mleta mada ilibidi nzi asiende sawa na basi na hvyo angejigonga kwenye kioo cha nyuma cha basi. but kama tunavyoshuhudiaga ni kuwa nzi nae huenda sawa na basi bila ya kujigonga.
You just nail it!asipoelewa hapa walimu wake wakapewe pole na pia tunamshauri aishie kujadili hili humu humu tu asijaribu mtaani maana watotowa darasa la tano watamzonga!
 
You just nail it!asipoelewa hapa walimu wake wakapewe pole na pia tunamshauri aishie kujadili hili humu humu tu asijaribu mtaani maana watotowa darasa la tano watamzonga!

Maelezo yenu ni mazuri Sana.kwanini iwe ndani ya gari na sio juu ya gari ?
Au nadharia ya inzi ndani ya gari nje ya gari haifanyi kazi ?
 
Mfano mzuri ni juu ya meli kama umewahi kupanda meli.
Meli kubwa hata mpira unaweza kuchezwa bila tabu.
Ndege ni ndogo mno ukilinganisha na ukubwa wa dunia.
 
Ikiwa speed sawa na ndege ?



Speed kama ya ndege sio tatizo kama hapatakua na mawimbi na upepo.

Athari yoyote yoyote itasababishwa na upepo na mawimbi lakini sio speed.

Suala ni kuwa dunia ni mviringo wenye umbo la tufe na hakuna ubishi.

Hata wewe ungekua na akili kama Mungu ungeifanya hivyo hivyo ili iweze kuninginia na kuzunguka jua na kujizungusha yenyewe.

Mfano hai wa kuthibitisha kuwa umbo la dunia ni kama tufe ni umbo la mwezi unavyoonekana wakati wa kuandama na wakati unapozama lile umbo la kupinda ( linatokana umbo la dunia kuwa tufe na kivuli chake kuzuia mwezi mzima.
Ingekua ni flat basi mwezi ukiandama ungekua na umbo lililokatwa (|
.Kama umenielewa chukua tochi iweke kwenye meza halafu iibue kama inachomoza kama mwezi uone umbo lake then chukua tochi hiyo hiyo iweke kwenye mpira halafu iibue kama mwezi unaoandama ikiwezekana ipige picha uone mwonekano wa tochi inapochomoza mbele ya tufe.Bila shaka utaona maumbo mawili tofauti kwa kutizama ,umbo la ( kama mwezi mchanga na (| mara tu baada ya kuchomoza.

Tuliza akili yako,ufanye jaribio hilo na utafakari vizuri
 
ni kwanini kila thread lazima mlete ya udini?? hizi promotion zenu peleken kule jukwaa la dini huku ondoeni uchochezi wenu hapa.
 
Speed kama ya ndege sio tatizo kama hapatakua na mawimbi na upepo.

Athari yoyote yoyote itasababishwa na upepo na mawimbi lakini sio speed.

Suala ni kuwa dunia ni mviringo wenye umbo la tufe na hakuna ubishi.

Hata wewe ungekua na akili kama Mungu ungeifanya hivyo hivyo ili iweze kuninginia na kuzunguka jua na kujizungusha yenyewe.

Mfano hai wa kuthibitisha kuwa umbo la dunia ni kama tufe ni umbo la mwezi unavyoonekana wakati wa kuandama na wakati unapozama lile umbo la kupinda ( linatokana umbo la dunia kuwa tufe na kivuli chake kuzuia mwezi mzima.
Ingekua ni flat basi mwezi ukiandama ungekua na umbo lililokatwa (|
.Kama umenielewa chukua tochi iweke kwenye meza halafu iibue kama inachomoza kama mwezi uone umbo lake then chukua tochi hiyo hiyo iweke kwenye mpira halafu iibue kama mwezi unaoandama ikiwezekana ipige picha uone mwonekano wa tochi inapochomoza mbele ya tufe.Bila shaka utaona maumbo mawili tofauti kwa kutizama ,umbo la ( kama mwezi mchanga na (| mara tu baada ya kuchomoza.

Tuliza akili yako,ufanye jaribio hilo na utafakari vizuri

Kwa nini upepo uwe na athari wakati mzunguko WA dunia ni pamoja na angalote na vilivyomo ikiwa ni pamoja na upepo ?
 
Biblia naona jamaa alienda chaka kidogo, pembe nne za dunia haimaanishi dunia ni flat, kwani si kuna north,west,east na south!! Afu anavosema jua na mwezi vikasimama, hiyo ni lugha ya picha tu... Kama haamini dunia ni round akasome kwenye bibllia
Isaya 40:22 "Anakaa kwenye kiti cha enzi juu ya duara ya dunia, nao watu wakaao ndani yake ni kama panzi"

Mkuu... tupo ndani ya dunia.....?
 
Nimezungumzia meli na upepo kwa kukaa juu ya meli . Ukikaa ndani upepo unazuiwa kinachobaki ni hewa inayokwenda na speed ya meli kama ndani ya ndege .
 
Kwa nini upepo uwe na athari wakati mzunguko WA dunia ni pamoja na angalote na vilivyomo ikiwa ni pamoja na upepo ?



Nimezungumzia upepo kwenye Meli ukiwa juu ya meli.

Duna ni mchanganyiko wa ardhi,maji na hewa za aina mbalimbali
 
kama utafiti huu umeufanya ww mwenyewe ndugu yangu big up sana make ni waafrica wachache sana wenye spirit za kuwa watafiti hasa kwenye vitu kama hv,ishu uloileta ni njema na inaleta ufikiriaji mpya kwenye brain zetu mm binafsi siwezi kukupinga wala kukuafiki make dunia yetu hii imejaa na illusions kibao ambazi watu au taasisi chache wanajua ukweli wa hvyo vitu kwa manufaa yao wao wenyewe.naamini kabisa hata hao wanasayansi ambao leo tunatumia ugunduzi wao walianza kama ww na wakafika huko lazima uumize ndonga,mm binafsi ni miongoni mwa watu wasioamini sana katka mfumo story yaani kwasababu inasemekana iko hvi basi tukae kujua ndo hvyo hvyo.BIG UP MKUU #little hulk

Nimewahi kusema kuwa kile tunachokijua ndio wanachotaka tujue kwa masilahi fulani, mfumo wa elimu pamoja na sayansi yote upo controlled na watu wachache, mfumo wa habari pia upo controlled, anaeamini kuwa picha za NASA zinaonyesha dunia duara, hajui kuwa NASA ni hao hao controllers.

Nachotaka kusema, anae amini jambo fulani, asiwapingine wengine wenye mtazamo tofauti na wake. Sisi kama binadamu tunatakiwa kutumia akili zetu ili kureason, sio kukubaliana na kila kitu mradi tu imeandikwa,au wamesema, au nimeona kwenye TV. Alieanzisha uzi hata kama anachowaza kikawa proved wrong, lakini ameonyesha uwezo wake wa ku reason ambao ndio Mungu Katuumba nao.
 
Hamna mkuu, tupo juu ya dunia, japo ndani ya atmosphere ambamo ndani yake kuna hewa na viumbe hai vyote..

Nimewahi kusema kuwa kile tunachokijua ndio wanachotaka tujue kwa masilahi fulani, mfumo wa elimu pamoja na sayansi yote upo controlled na watu wachache, mfumo wa habari pia upo controlled, anaeamini kuwa picha za NASA zinaonyesha dunia duara, hajui kuwa NASA ni hao hao controllers.

Nachotaka kusema, anae amini jambo fulani, asiwapingine wengine wenye mtazamo tofauti na wake. Sisi kama binadamu tunatakiwa kutumia akili zetu ili kureason, sio kukubaliana na kila kitu mradi tu imeandikwa,au wamesema, au nimeona kwenye TV. Alieanzisha uzi hata kama anachowaza kikawa proved wrong, lakini ameonyesha uwezo wake wa ku reason ambao ndio Mungu Katuumba nao.




Ndio maana kuna maabara za kisayansi za kufanya majaribio ya kuelezea mambo ya kisayansi kwa vitendo.

Wanasayansi huwezi kuwadanganya.

Urusi ,Korea ,China, Japan India n.k. Kuna wanasayansi na watafiti waliobobea wote hao siamini kwamba watadanganywa na NASA bila kuprove wao wenyewe.

Mambo mengine hayafai kubisha tu kwa mdomo bila hata kuingia maabara.
Mtu aingie kwanza Maabara na chombo chenye umbo la CD au flati ya mstatili abishane na mtu mwenye umbo la tufe kwa vitendo ,awashawishi watu wenye akili kubwa za kisayansi.
 
Nimewahi kusema kuwa kile tunachokijua ndio wanachotaka tujue kwa masilahi fulani, mfumo wa elimu pamoja na sayansi yote upo controlled na watu wachache, mfumo wa habari pia upo controlled, anaeamini kuwa picha za NASA zinaonyesha dunia duara, hajui kuwa NASA ni hao hao controllers.

Nachotaka kusema, anae amini jambo fulani, asiwapingine wengine wenye mtazamo tofauti na wake. Sisi kama binadamu tunatakiwa kutumia akili zetu ili kureason, sio kukubaliana na kila kitu mradi tu imeandikwa,au wamesema, au nimeona kwenye TV. Alieanzisha uzi hata kama anachowaza kikawa proved wrong, lakini ameonyesha uwezo wake wa ku reason ambao ndio Mungu Katuumba nao.

Mkuu tatizo umekaa kiimani sana, elimu haipo controlled na mtu, Nshasema NASA ni binadamu, mimi naweza soma physics nikaenda nikapewa ajira NASA, sasa mimi ntawacontrol nyie au? si mashetani wale kua wanacontrol dunia, msikae mkahusisha Science na politics.. Unajua hujasoma sayansi ndo maana unatoa argumens za hivo, ungekua umesoma ungejua kua hivi vitu tunaweza kuviprove bila kwenda NASA, unakamata kalamu na karatasi unaprove mwenyewe popote pale.. em chunga sana utachekwa
 
Mkuu Dreson4, mleta maada ana ushawishi kiasi chake lakini pia nakubaliana na maelezo yako
naomba nikuulize swali la kizushi tu
kwahiyo hivyo vifungu vya biblia vina walakini au mleta maada ndio hajavisoma na kuvielewa vizuri ??

.made in mby city.

ukishaongelea fact za science usiweke blah blah za dini most are fabrications craps!!!
 
Nimewahi kusema kuwa kile tunachokijua ndio wanachotaka tujue kwa masilahi fulani, mfumo wa elimu pamoja na sayansi yote upo controlled na watu wachache, mfumo wa habari pia upo controlled, anaeamini kuwa picha za NASA zinaonyesha dunia duara, hajui kuwa NASA ni hao hao controllers.

Nachotaka kusema, anae amini jambo fulani, asiwapingine wengine wenye mtazamo tofauti na wake. Sisi kama binadamu tunatakiwa kutumia akili zetu ili kureason, sio kukubaliana na kila kitu mradi tu imeandikwa,au wamesema, au nimeona kwenye TV. Alieanzisha uzi hata kama anachowaza kikawa proved wrong, lakini ameonyesha uwezo wake wa ku reason ambao ndio Mungu Katuumba nao.

hata wewe ukiweza tengeneza rocket funga camera irushe juu itakutumia picha kua dunia duara na si nasa wanaotengeneza rockets, sasa ivi wachina, wahindi etc washapeleka rockets kwenye space tena camera zinaleta live feed kuonyesha dunia ilivyo acha conspiracy zisizokuwepo, nenda u tube uchek wachina na wahindi pia wameweka launch za rockets zao kwenda mwezin zinaonyesha jinsi dunia ilivyo!!!
 
Back
Top Bottom