The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

Ahsante sana mkuu kwa mchango wako maridhawa..
Kwanini Watu weusi hatujali muda hadi tunasemwa kua no hurry in Africa.? Malezi au silka yetu?
Japan watu wanapiga kazi, wanajali muda mno kuliko chochote unaweza kuta mtu anakaa kazini masaa 14
 
Mtu anabishana na Wikipedia sio mtu wa kubishana nae unamuacha tu.

Hata utumie efforts zako zote kumuelewesha hatakuelewa hata kidogo na ndio mana sikumjibu chochote aisee.

Hatari sana...!
Nduki, Wikipedia haijawahi kuwa reliable source of information for 100%. Kwa sababu mtu yoyote anaweza ku edit na kuingiza data zake.

Hata wewe ukitaka unaweza kuedit ukaweka jina lako pale juu. Hivyo mtu kubishana na Wikipedia ni sahihi kabisa kama hajaona reliable source added to it.

P.S sijui usahihi wa mnachobishana ila nimetaka kukujuza tuu hata wewe usiamini 100% taarifa za Wikipedia. Tumia Wikipedia ili kupata more reputable sources, ila kamwe usiitumie kama source.
 
Mtu anabishana na Wikipedia sio mtu wa kubishana nae unamuacha tu.

Hata utumie efforts zako zote kumuelewesha hatakuelewa hata kidogo na ndio mana sikumjibu chochote aisee.

Hatari sana...!
Nduki, Wikipedia haijawahi kuwa reliable source of information for 100%. Kwa sababu mtu yoyote anaweza ku edit na kuingiza data zake.

Hata wewe ukitaka unaweza kuedit ukaweka jina lako pale juu. Hivyo mtu kubishana na Wikipedia ni sahihi kabisa kama hajaona reliable source added to it.

P.S sijui usahihi wa mnachobishana ila nimetaka kukujuza tuu hata wewe usiamini 100% taarifa za Wikipedia. Tumia Wikipedia ili kupata more reputable sources, ila kamwe usiitumie kama source.
 
Asiyejua maana usimwambie maana.
Ignorance is bless .
 

Nilichoweka hapo juu ni kitabu ambapo hiko kitabu kinazungumzia hao watu 100 then hiko kitabu ndio kikawekwa kwenye Wikipedia, sasa kwenye editing unayosema inaweza kufanyika labda mtu a-edit hiko kitabu ambapo sidhani kama kuna mtu mjinga yoyote ambaye anaweza kufanya ujinga huo.

Lakini pia, nasimamia nnachokiamini katika msimamo wangu kwa vile nnavyoamini, sasa hawezi kutokea mjinga mwengine eti aniaminishe kitu ambacho hakiniingii akilini halafu nikamuamini, kwa hilo siwezi ntamuangalia na kumuacha abaki na ujinga wake.
 
Ni Muumba wa ulimwengu ndio kanipatia kipawa hiki
Kipawa kipi ulichopewa!??Cha kuchambua vitu !??ama ufundi wa kuwasilisha mawazo ya wataalam na wanafalsafa wengine!???

Ukiwa mwanazuoni lazima ukubali na kujifunza kuwapa credit walioandika hivyo ambavyo wewe umetohoa na kuleta hapa

Plagiarism ni jambo baya sana hebu tupe vyanzo vya andiko lako hili nasi tupate kujifunza na kuchuja wenyewe!!

Niwe muwazi naheshimu jitihada zako za kujua na kuchimba vitu kwa undani ili kupata elimu mpya ila jifunze kuweka reference bila kujali ni nyingi kiasi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kuweka reference maana yote hayo nayatoa kichwani. Sana nitaweka biblia ndio nilikojulia habari za Yesu.
Ila mada kama nimeitafsiri hua naweka reference.
 

😀😀😀😀
 
You are so genius, be blessed, so touching with some morals

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I unfeigned appreciate you madam Paula, I always get in touch with the way you are organized, It sounds so amazing when I see this name Paula Paul, speaking not in a clandstine you're so amazing!
Bravo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipati picha mtu unasubiria kufanya mambo uzeeni halafu yaende tofauti na hapo tayari ni mzee. Stress zake ni kama za huyu jamaa 'dr shika'.
Dr shika ni mtu mwenye iq ya pekee, very smart person lakini kuna ins zinamsumbua

Nilichojifunza kupitia scenario ya mzee Shika na ushika wake ni just a curse toka kwa wazazi wako au ukoo, amini kuna makabila wako very sensitive sana ukijifanya wajua, that man anasumbuliwa na laana,nduguze wamekwisha lakini hakuwahi kukanyaga home kwao hata alipopata pesa aliishia kutanua karibu na kwao nauli kama ten afike lakini hakuona maana, tusalini lakini kitu mizimu ni ya kuacha kama ilivyo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hee mkuu nakuaminiaga unajua vitu vingi ila leo umeni dissapoint. Kumbe inawezekana na wengine hawakuona jina la muhamad kwenye hii post..
Hebu angalia mtu namba 2 yupo yeye.
Inawezakana wengi hawalijui jina halisi la muhamad
Hahaha aise Yeah nimeona now .....but Muhammad Jina la baba Yake sio hilo uliloandika .... anaitwa Muhammad ibin abdillah ...ukisema ibin Allah kwa waumini wa kiislam watadhania kuwa una maanisha kwamba ni mtoto wa Mungu wao ...... Any way asante ngoja niifute ile comment Yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…