The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

NDUKI , sorry kama nilivyosema sijui usahihi wa mnachobishania.
My point was here "ukiona mtu ana bishana hadi na Wikipedia" basi.
Unaupimaje usahihi wa Wikipedia mpaka ukawa msingi na marejeo yako ?

Au Wikipedia imejengeka katika misingi gani ?
 
Da'Vinci,
Mkuu samahani naomba ufafanuzi kidogo juu ya elimu ya dini nasikia yesu mama ake bikra maria na huyu mama akuwahu guswa na mwanaume yoyote!sasa hapa inaonekana maria mumewe ni joseph na mtoto wao ni yesu ilikuakuaje hapa kwa hawa wanandoa .samahani mie sio mwandishi mzuri utanirekebisha
Joseph na maria hawakuwa wanandoa,ila joseph alikuwa akimchumbia maria...
 
NDUKI
niliwahi kuandika humu..Orodha ya watu maarufu na wenye ushawishi zaidi.
10. Isac Newton
Alizaliwa mwaka 1642 na kufariki dunia mwaka 1727
Kama ulisoma sayansi walau kidato cha pili tu basi utakua unamfahamu.
Ameandikwa kwebye vitabu karibia 500,000 na inakadiriwa umaarufu wake hautaweza kupitwa na mtu labda baada ya miaka zaidi ya 250
Ni nguli wa Mechanical Physics na umaarifu wake mkubwa upo kwenye Newton's Law of
Pia ni mtaalamu wa Principles of Natural Philosophy

Kwa mwezi anafuatiliwa (searched) na watu zaidi ya X 2,000,000

9. Leonardo Da Vinci
Alizaliwa mwaka 1452 ni mtaalamu wa michoro ya Code Pictures. Ni mwiba mchungu kwa kanisa katoriki kutokana na michoro yake pamoja na maandiko yake kuhusu kanisa.
Japo hapendwi ila yeye ndo aliyechora sura ya bwana Yesu iliyopo makanisani kwani baada ya kuichora ndio wakatafutwa watu wanaofanana nayo na kuigiza filamu ya Yesu
PIa ana mchoro wa The Last Super ambao una code zinazoonesha Yesu alikuwa na Mahusiano na maria Magdarena.

Mchoro wa Monalisa pia ambao ni mwanamke mwenye sura mbili.
Ila ja anadaiwa alikuwa shoga
Kaandikwa kwenye vitabu zaidi ya 6,000,000

Kwa mwezi anatafutwa zaidi ya X 4,000,000
...
8.William Shakespear
Ni Mwingereza aliyezaliwa mwaka 1564 na kufariki dunia mwaka 1616
Huyu ana mchango mkubwa kwenye lugha ya Kiingereza, kachangia kwa kiasi kikubwa kukua kwa msamiati na kuenea kwa lugha ya Kiingreza
Ndio mwasisi wa misemo kama vile:
Food for the gods
It's all Greek to me
All that glitters is not gold
By love
All is well
N.k
Katajwa kwenye vitabu zaidi ya 1,000,000

Anafuatiliwa mara 7,500,000 kwa mwezi

7.Adrof Hitler
Alizaliwa mwaka 1889 na kufariki/kujiua mwaka 1945 baada ya kushindwa WW2
Pia ni mwanzilishi wa magari ya Volkswagen alitaka kila Mjerumani aendeshe gari badala ya baiskeli

Anskumbukwa kwa kunyanyasa na kuua mamilioni ya Wayahudi.
Alikuwa rafiki mkubwa wa Benito Mussolini na wote walikufa 1945 baada ya kushindwa vita
Msome zaidi kwenye kitabu chake cha mein Kempf [My Struggle]
Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 200,000

Kwa mwezi anatafutwa X 6,500,000


6. Paul The Apostle of Tarsus
Alizaliwa mwaka 5C na kufa 67 AD
anajulikana kama Mtume Paulo na ndiye mtume aliyeipigania dini kwa kuweka miongozo na kanuni tunazozifuata hadi hii leo
Ameandika vitabu 13 vilivyopo kwenye Bible na vingi sanaaa ambavyo havijawekwa kwenye bible.
Anajulikana kwa wakristo kama mtu wa kwanza kujua kuandika
Kaandikwa kwenye vitbu takribani 7,000,000

Kwa mwezi anatafuta takribani X 4,000,000
.

5. Siddhartha Gautama

Aliishi kuanzia mwaka 563C hadi mwaka 483 AD
Huyu ni maarufu zaidi kwa jina la Buddha yaani kwa Wabudha kwao ni kama Yesu Kristo
Alizaliwa kwenye ile nchi isiyo na bendera ya mstatili Nepal
alikuwa ni mpiga mazoezi na mweneza imani mkubwa ya kuwafumbua watu huyu ndo mfalme wa mediation.
Fkawahi kupiga mediation ya siku 49 , inafahamika kama Noble Eightfold Path duniani kwa ujumla
Supreme buddha anfuatiliwa/abudiwa zaidi na Wahindu

Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 7,000,000

Anatafutwa X 4,000,000 na ushee kwa mwezi

4. Moses
Huyu ndo Musa
Aliishi kati ya mwaka 1300C hadi mwaka 1080 BC
Huyu anaheshimiwa na Uislamu pamoja na Ukristo hivyo hafungamani na dini yoyote ndio maana jina la MUSA ni la Waislamu kwa Wakristo
Anakumbukwa zaidi kwa miujiza na safari yake ya kuwarudisha wana wa Israel. Yawezekana ni moja kati ya watu wanaochukiwa nchini misri akifuatiwa na Sergio Ramos.
Kaandikwa kwenye vitabu 8,000,000

Anatafutwa X 3,000,000 na ushee kwa nwezi

3. Ibrahim
Aliishi kati ya mwaka 1812C hadi 1537 BC
Abraham anajulikana zaidi kama Nabii Ibrahimu na Wakristo kwa Waislamu wanamfahamu
Anaaminika ndiye mtu wa kwanza wa Masharuki ya kati kuamini katika uwepo wa Mungu mmoja
Ameandikwa kwenye vitabu takribani 2,000,000

Anatafutwa zaidi ya X 10,000,000 kwa mwezi

2.Abu Al--Qasim Mu Ammad Ibn Abd Allah

Aliishi kati ya mwaka 570 hadi 67
Kwawasio waislamu Mtume Muhammad ndio mwanzilishi wa Uislamu ila kwa wenye dini yao wanaamini/wanasema hakuanzisha chochote.
Anatafutwa kwa mwezi X 14,000,000 ila hata

1. Jesus of Nazareth
Aliishi kati ya mwaka 5BC hadi 28 AD
Alizaliwa na Bikira Maria kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
Pamoja na kuishi bila shari na mtu akasalitiwa na bwana Yuda Eskariote na wenzake wachache kisha Pilato akatoa hukumu ya akasulubiwa akafa kisha akapaa mbinguni
Huyu ndie Genius, Phillosopher wa muda wote na hatokuja kama yeye tena mpaka mwisho wa dunia
Ameandikwa kwenye vitabu visivyo na idadi

Anatafutwa X 25,000,000+ kwa mwezi

Tchao.
Vinci...

Hii tabia ya kuwalinganisha sijui mmeipata ni katika tabia za kipuuzi na kijinga ambazo mtume wetu Muhammad alizikemea.

Japokuwa yeye alikuwa bora na ni bora kwa viumbe wote, lakini aliwakataza maswahaba zake wamfananishe na manabii wengine.

Nukta ya msingi ni kuwa kulinganisha watu si kitu kizuri.
 
Sasa kama yesu alikuwa mwanadamu ikawaje alivyokufa akafufuka????!!!


Basi huyu mwanadamu alikuwa si wa kawaida..
 
Unaupimaje usahihi wa Wikipedia mpaka ukawa msingi na marejeo yako ?

Au Wikipedia imejengeka katika misingi gani ?
Nikikufundisha juu ya biblia haupaswi kuyaamini ninayokufundisha bila ku attach marejeo ya wapi ninavyokufundisha vimetoka.

Wikipedia ni secondary information, ambazo ni kama zinanirahisishia mimi kupata "link attached " ambazo zitanipeleka kwenye reliable sources.

Sijui nimekujibu?
 
Nikikufundisha juu ya biblia haupaswi kuyaamini ninayokufundisha bila ku attach marejeo ya wapi ninavyokufundisha vimetoka.

Wikipedia ni secondary information, ambazo ni kama zinanirahisishia mimi kupata "link attached " ambazo zitanipeleka kwenye reliable sources.

Sijui nimekujibu?
Sasa kama unarudishwa kwenye asili "Kiistilahi tunaita Takhriji" kwanini Wikipedia iwe marejeo yako na si vile vitabu au sehemu uliyo elekezwa kwenda kusoma ?

Kwa maana hiyo Wikipedia haina au haitakiwi kuitwa "source".
 
Sasa kama unarudishwa kwenye asili "Kiistilahi tunaita Takhriji" kwanini Wikipedia iwe marejeo yako na si vile vitabu au sehemu uliyo elekezwa kwenda kusoma ?

Kwa maana hiyo Wikipedia haina au haitakiwi kuitwa "source".
Umenielewa lakini huko nyuma nilichokuwa nimeandika?
Hebu rudia huu mjadala wa Wikipedia ulipoanzia.
 
Nduki, Wikipedia haijawahi kuwa reliable source of information for 100%. Kwa sababu mtu yoyote anaweza ku edit na kuingiza data zake.

Hata wewe ukitaka unaweza kuedit ukaweka jina lako pale juu. Hivyo mtu kubishana na Wikipedia ni sahihi kabisa kama hajaona reliable source added to it.

P.S sijui usahihi wa mnachobishana ila nimetaka kukujuza tuu hata wewe usiamini 100% taarifa za Wikipedia. Tumia Wikipedia ili kupata more reputable sources, ila kamwe usiitumie kama source.
Sasa kama unarudishwa kwenye asili "Kiistilahi tunaita Takhriji" kwanini Wikipedia iwe marejeo yako na si vile vitabu au sehemu uliyo elekezwa kwenda kusoma ?

Kwa maana hiyo Wikipedia haina au haitakiwi kuitwa "source".
Soma hapo halafu uniulize tena swali Zurri.
 
Umenielewa lakini huko nyuma nilichokuwa nimeandika?
Hebu rudia huu mjadala wa Wikipedia ulipoanzia.

Yawezekana wewe ndio hujanielewa mimi, mimi nina uhakika kabisa nimekuelewa vuema mrembo na nikalike jibu lako kwa maana umejibi vizuri, ndio maana nikafikia miafaka kwa kusema ya kuwa kinachotakiwa kuangaliwa ni ile link inayokupeleka katika katika source yaani shina, ili uwe sehemu salama, mintarafu kama ulivyosema Wikipedia yeyote anaweza kufanya yake, kwa lugha nyingine ni kuwa Wikipedia si marejeo bali ni wasila kuelekea marejeo nayi unatakiwa kuyahakiki.
 
Yawezekana wewe ndio hujanielewa mimi, mimi nina uhakika kabisa nimekuelewa vuema mrembo na nikalike jibu lako kwa maana umejibi vizuri, ndio maana nikafikia miafaka kwa kusema ya kuwa kinachotakiwa kuangaliwa ni ile link inayokupeleka katika katika source yaani shina, ili uwe sehemu salama, mintarafu kama ulivyosema Wikipedia yeyote anaweza kufanya yake, kwa lugha nyingine ni kuwa Wikipedia si marejeo bali ni wasila kuelekea marejeo nayi unatakiwa kuyahakiki.
Sorry, napataga pia tabu ya kuelewa kiswahili unachoandika wewe. Yawezekana ndio sababu.
 
Jamani mbona Shetani mumemsahau katika listi ya watu maarufu duniani?
Nadhani na yeye anastahili kuchukuwa nafasi yake fulani, kwani anaga wafuasi wengi kweli,pengine kushinda Yesu na Muhammad,
Nakusudia kama Umaarufu ,basi shetani anaongoza ,na wafuasi wake ni wengi mno.
 
Back
Top Bottom