Hakuna cha hotel hapo ,hayo ni maigizo na uhuni tu .Kwaiyo ni kosa kujenga hotel ya nyota Tano njombe?
Hata wakimiliki watu binafsi sio mbaya ,lakini watu hao wawe ni wazawa wa humu ndani ili hizo pesa zizunguke kwenye uchumi wa ndani na kunufaisha watanzania na si hawa pig skinned invaders na crooks kupeana deals kihuni .Misitu imilikiwe na serikali kamwe watu binafsi wasiiewe kumilik8 misitu ni upumbavu kama ccm tu
Watu binafsi wakimiliki hiyo siyo misitu tena bali ni viwanja vya watoto na wajukuu vya siku za usoni ...tumia akiliHata wakimiliki watu binafsi sio mbaya ,lakini watu hao wawe ni wazawa wa humu ndani ili hizo pesa zizunguke kwenye uchumi wa ndani na kunufaisha watanzania na si hawa pig skinned invaders na crooks kupeana deals kihuni .
Ujinga sana
Waisiharamu ni mafiiiiiHuu upumbavu , kwamba sisi watanzania tumeshindwa kununua ardhi n upanda miti na kumiliki ardhi humu sisi wenyewe mpaka tumuuzie mwarabu ?
Utaahira wa wapi huu ?
Mkuu tungesubiri kidogo. Hapo baadaye kutakuwa na soko kabisa duniani ya kufanya biashara ya hizi carbon credits and carbon fingerprints. Kama masoko mengine duniani.Ndipo hapo utajua kweli hii nchi inaongozwa na wapumbavu , hao waarabu watavuna maokoto marefu kwenye carbon subsidies zitakazo anza kutolewa na UN miaka michache ijayo kutokana na UN sustainable environmental agendas + decarbonisation , sisi ni wapumbav , tuna Hekari nyingi za miti ila tunauza kwa hao waarabu , why ?
Why tusiwe sisi wamiliki wa hiyo misitu ili tuvune hizo subsidies za UN ?
Akili za wana ccm ni mavi ya mbwa koko
Mkuu tungesubiri kidogo. Hapo baadaye kutakuwa na soko kabisa duniani ya kufanya biashara ya hizi carbon credits and carbon fingerprints. Kama masoko mengine duniani.
Tungeweza kupata utajiri mkubwa sana sawa na wengine wenye gas, mafuta. Sababu sisi tuna misitu mingi sana.
Wakati huu ingetakiwa kujipanga, kuhusu mikataba framework, sheria.
Tungeangalia hii mikataba iwe ya muda gani,tuweke masharti yapi kwenye hii mikataba kujilinda, wakiivunja kutakuwa na consequences gani kwao.
Tungealia jamii zinazozunguka hii misitu itafaidikaje, kiasi gani kibaki ndani ya jamii jirani, (ajira, shule, vituo vya afya, barabara, umeme, maji) Eneo kiasi gani linaachwa kwa jamii kwa ajili ya shuguli za kibinadamu, makali, ufugaji, kilimo nk.
Tungeanza na mjadala wa kitaifa, Wananchi na wadau wote watoe maoni kwenye tume. Na hio tume ichukue maoni na kutengeza mikakati. Tume madhubuti itayosimamia negotiation mikataba kama ile tume ya madini wakati wa JPM.
Tungehimiza wananchi kupanda miti kama njia ya kujipatia kipato na kuongeza pato la taifa.
Kiufupi hiyo carbon decarbonisation ndio global currency ijayo ,yaani kila utachogusa kitahusisha (Decarbonisation) ,sasa sisi hawa mazwazwa wetu hawa sijui wana akili au kamasiMkuu tungesubiri kidogo. Hapo baadaye kutakuwa na soko kabisa duniani ya kufanya biashara ya hizi carbon credits and carbon fingerprints. Kama masoko mengine duniani.
Tungeweza kupata utajiri mkubwa sana sawa na wengine wenye gas, mafuta. Sababu sisi tuna misitu mingi sana.
Wakati huu ingetakiwa kujipanga, kuhusu mikataba framework, sheria.
Tungeangalia hii mikataba iwe ya muda gani,tuweke masharti yapi kwenye hii mikataba kujilinda, wakiivunja kutakuwa na consequences gani kwao.
Tungealia jamii zinazozunguka hii misitu itafaidikaje, kiasi gani kibaki ndani ya jamii jirani, (ajira, shule, vituo vya afya, barabara, umeme, maji) Eneo kiasi gani linaachwa kwa jamii kwa ajili ya shuguli za kibinadamu, makali, ufugaji, kilimo nk.
Tungeanza na mjadala wa kitaifa, Wananchi na wadau wote watoe maoni kwenye tume. Na hio tume ichukue maoni na kutengeza mikakati. Tume madhubuti itayosimamia negotiation mikataba kama ile tume ya madini wakati wa JPM.
Tungehimiza wananchi kupanda miti kama njia ya kujipatia kipato na kuongeza pato la taifa.
raisi nwenyewe huwa ana msemo wake kwamba “tumechelewa sana” sasa sijui huwa anamaanisha nini? Nani amechelewa ?
Saa mia moja mbovu ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]Wamepeleka watu zaidi ya 750 huko Dubai. Wanasafiri first class na watakaa five star hotel wote. Gharama zake unamaliza matatizo mengi tu hapa Tanzania. Wote hawa watu wanaenda kufanya nini huko. Holiday? kuuza vilivyobaki?
Delegation ya Tanzania ni ya 12 kwa uwingi wa watu walioenda huko dunia nzima.
Analysis: Which countries have sent the most delegates to COP28? - Carbon Brief
Record numbers of delegates have been registered for this year’s COP28 climate summit in the UAE, making it potentially the largest in COP historywww.carbonbrief.org
Mkuu tungesubiri kidogo. Hapo baadaye kutakuwa na soko kabisa duniani ya kufanya biashara ya hizi carbon credits and carbon fingerprints. Kama masoko mengine duniani.
Tungeweza kupata utajiri mkubwa sana sawa na wengine wenye gas, mafuta. Sababu sisi tuna misitu mingi sana.
Wakati huu ingetakiwa kujipanga, kuhusu mikataba framework, sheria.
Tungeangalia hii mikataba iwe ya muda gani,tuweke masharti yapi kwenye hii mikataba kujilinda, wakiivunja kutakuwa na consequences gani kwao.
Tungealia jamii zinazozunguka hii misitu itafaidikaje, kiasi gani kibaki ndani ya jamii jirani, (ajira, shule, vituo vya afya, barabara, umeme, maji) Eneo kiasi gani linaachwa kwa jamii kwa ajili ya shuguli za kibinadamu, makali, ufugaji, kilimo nk.
Tungeanza na mjadala wa kitaifa, Wananchi na wadau wote watoe maoni kwenye tume. Na hio tume ichukue maoni na kutengeza mikakati. Tume madhubuti itayosimamia negotiation mikataba kama ile tume ya madini wakati wa JPM.
Tungehimiza wananchi kupanda miti kama njia ya kujipatia kipato na kuongeza pato la taifa.
Hii kitu ni real ,na matajiri wakubwa ndio wamiliki wakubwa wa ardhi duniani sasa hivi , na wanaendelea kununua na kuhodhi ardhi kwa kasi kubwa mno , just imagine Marekani pale Bill gates ndio biggest land owner Kwa sasa ,na ameanza hii programu muda si mrefu , ananunua hadi mashamba ya wakulima wa mazao kama ngano ,mahindi nk na mashamba ya wafugaji (rachers )Mkuu tungesubiri kidogo. Hapo baadaye kutakuwa na soko kabisa duniani ya kufanya biashara ya hizi carbon credits and carbon fingerprints. Kama masoko mengine duniani.
Tungeweza kupata utajiri mkubwa sana sawa na wengine wenye gas, mafuta. Sababu sisi tuna misitu mingi sana.
Wakati huu ingetakiwa kujipanga, kuhusu mikataba framework, sheria.
Tungeangalia hii mikataba iwe ya muda gani,tuweke masharti yapi kwenye hii mikataba kujilinda, wakiivunja kutakuwa na consequences gani kwao.
Tungealia jamii zinazozunguka hii misitu itafaidikaje, kiasi gani kibaki ndani ya jamii jirani, (ajira, shule, vituo vya afya, barabara, umeme, maji) Eneo kiasi gani linaachwa kwa jamii kwa ajili ya shuguli za kibinadamu, makali, ufugaji, kilimo nk.
Tungeanza na mjadala wa kitaifa, Wananchi na wadau wote watoe maoni kwenye tume. Na hio tume ichukue maoni na kutengeza mikakati. Tume madhubuti itayosimamia negotiation mikataba kama ile tume ya madini wakati wa JPM.
Tungehimiza wananchi kupanda miti kama njia ya kujipatia kipato na kuongeza pato la taifa.
Na ndio lengo la hii programu , atleast kwenye maandishi .eti Carbon deal, hahahahaha.
wenzenu wanafanya production kwa kukata miti yote na kugeuza maeneo viwanda, na projects mbalimbali zinazowapa return faster na faida kubwa, then wanakuja kuwawekea sheria za kulinda mazingira na kuwadanganya na vihela.
Hii ilipaswa kuwa silaha yetu pia, vijana wetu majasusi na wataalam wakae chini na kufanya hesabu makini ili tulipwe mahela mengi yatakayofidia gap kubwa la budget yetu kila mwaka na kuacha kukopakopa.
Mzee ni hatari sana ,na ukiangalia hata sheria za ardhi nchi hii ni za enzi za ukoloni , yaani mwananchi hauna full ownership ya ardhi nchi hii Tanzania , ni kwamba wanaweza kuja na kuwafukuza hapo mtaani kwenu kama mbwa ,nyumba zenu zikabomolewa na mkafurushwa bila hata compensation ya aina yoyote na mgeni aliyenunua cheaply au kupewa hiyo ardhi akafanya yake .Mbaya zaidi yeye ana-own hio land kwa kuwapa peanuts (alafu anafanya deals na makampuni tofauti ku-offset carbon anapata faranga maradufu) which begs a question kwanini sisi kama UMMA tusingefanya hizo deals wenyewe na kupata faida na kuwafidia hao ambao huenda tutawakataza kutumia / kukata hizo sehemu...
Ndio hapo unajiuliza huu ni ukosefu wa fikra; ubinafsi; umimi au shortsightedness ya kupewa vijisenti leo na kuuza mtaji mzima (killing the goose which lays the golden eggs)
Huo ndio ukweli ankoli,Gekul waziri wa sheria kwao manyara, alivyotoka tu safarini uarabuni na india siku ya pili yake akatia timu manyara wiki chache Gekul na skandal kubwa akafutwa kazi labda tunaweza kuunganisha dots inawezekana Gekul kwao ni manyara na pia ni sehemu ya 8% labda akatia zengwe kama waziri wa sheria kwenye kupokwa kwa ardhi ya manyara, siujui ukweli najaribu tu kuunganisha dots …