The Guardian (UK)- UAE owns 8% of Tanzania’s forest

The Guardian (UK)- UAE owns 8% of Tanzania’s forest

Gekul waziri wa sheria kwao manyara, alivyotoka tu safarini uarabuni na india siku ya pili yake akatia timu manyara wiki chache Gekul na skandal kubwa akafutwa kazi labda tunaweza kuunganisha dots inawezekana Gekul kwao ni manyara na pia ni sehemu ya 8% labda akatia zengwe kama waziri wa sheria kwenye kupokwa kwa ardhi ya manyara, siujui ukweli najaribu tu kuunganisha dots …
Uzunguni huwa hawakai kimya huwa wanaongea ukweli tena bungeni au kwa waandishi
Rejea Braverman alipotimuliwa, ila umasikini unafanya watu wawe dhalili
 
Huko Quora (Mtandao wa watu wenye Akili ) kuliwahi kuwa na mjadala jamaa huu ,jaribu kuingia humo muone watu wanavyoshusha NONDO
Kuna watu waliandika pia issues hata mimi nimeandika humu
 
Halafu wanakataa kuwapa uraia pacha diaspora wenye vinasaba vya Tanzania ili kuwazuia kuwa na uhalali wa umiliki wa ardhi.
Acha watuonee, ila tupigieni kelele tuje kuwekeza jamani
Wao wanaleta unafiki ooh hati maalum
Yaani vitu vya ajabu tu ili mradi raia wa nje apewe anachotaka si mzungu wala mwarabu wote
Na unajua kwanini?
Wao wanahonga hela ndefu
Mimi wanajua siwezi kuwapa mamilioni ya dollars
 
Carbon credits si strength yako! Kununua carbon credits through CDM si Kununua ardhi! So wacha kupotosha! Hamna tatizo UAE Kununua cc zinazotengenezwa na 8% equivalent of our forest!

sasa nani unayemwambia anapotosha? mimi au the Guardian?
 
Vitu anavyofanya SSH inaweza kuchukua miaka zaidi ya 50 kurudisha uhuru wetu, ardhi yetu na rasilimali zetu.

Majanga anayosababisha na atayosabisha ni makubwa sana kwa mustakabali wa Tanzania na kila Mtanzania anayejitambua.

Yaani hadi Burigi-Chato iliyoanzishwa juzi juzi amewapa ndugu zake.

Kwanini mtu mmoja anaamua vitu muhimu kama hivi?
Upotoshaji upo hapa! Carbon credits ni kulipia emissions rights! Kijakazi
 
Akili gani hii? Nchi nyingine maskini kama Zambia, Liberia ndio mfano wa kuigwa

Huu ni ujinga wa karne unampa mtu ardhi yako. Atawapiga marufuku wananchi wanayoizunguka hiyo ardhi kuitumia.

Unampa kwa mikataba ambao hauwekwi wazi, hakuna uwazi kwenye terms and conditions zao kama mkataba wa DP world.

Wenyewe Dubai ndio watauza hizo carbon credit kwa wengine na kuchukua 70% ya faida.

Kwanini, tusihifadhi wenyewe hii misitu kama tulivyofanya toka uhuru na tusiuze wenyewe direct kwa mtu wa mwisho?

Kumuweka huyu dalali kwa miaka 30 na Mo dewji kunalisaidia vipi hili taifa?

Wanakuja kuwatimua masikini kwenye ardhi tuliyobarikiwa na wanafaidi wao
Hapo unafikiri waliowapa wamepewa kiasi gani cha fedha na tamaa zao
Hawa ndio wanapeleka wafanyakazi wa ndani uarabuni badala ya wauguzi
Wanajali matumbo yao tu
 
Mbaya zaidi yeye ana-own hio land kwa kuwapa peanuts (alafu anafanya deals na makampuni tofauti ku-offset carbon anapata faranga maradufu) which begs a question kwanini sisi kama UMMA tusingefanya hizo deals wenyewe na kupata faida na kuwafidia hao ambao huenda tutawakataza kutumia / kukata hizo sehemu...

Ndio hapo unajiuliza huu ni ukosefu wa fikra; ubinafsi; umimi au shortsightedness ya kupewa vijisenti leo na kuuza mtaji mzima (killing the goose which lays the golden eggs)
Tatizo ni hongo mkuu, viongozi wanapewa hela ndefu sana
Yaani madili mwisho wameanza kutuuza kuwafanyia kazi za nyumbani huko uarabuni
 
Sasa nenda Google ujue what's carbon credits and what's clean development mechanism!

siyo mimi niliyoandika hiyo article, the Guardian ni renowned newspaper Dunia nzima linasomwa na kila mtu kama wewe unajua kuliko wao unaweza wasahihisha, mimi nimeleta article kama ilivyo sijaiandika …
 
Hao waarabu hawana shida ,sisi viongozi wetu ndio wapumbav na vichaa wasio na maono .
Kwa agenda za UN , World economic forum NK Carbon taxation itaanza soon , that means kila bidhaa au huduma inayonunua itatozwa kodi ya ukaa /carbon tax , na hii ndio itakayotumika kama subsidies Kwa kuwapa hao wamiliki wa estates za misitu .
Utajiri mkubwa upo kwenye misitu , tuhamasishane kumiliki mashamba na kupanda miti kupata misitu mikubwa na kuanza kuvuna hayo mapato
Mkuu 'Kimbukiko', heri ya wewe unaweza hadi kujua mipangilio ya biashara hiyo; huko vijijini wanajua lolote kuhusu haya mambo?

Badala ya kuanza kuuza maeneo yetu, kwa nini huu usiwe mjadala mzuri wa kuwa elimisha wananchi, ili na wao waweze kushiriki?
Hawa wananchi huko vijijini hawajui lolote. Kitakachotokea ni hapo watakapo anza kuambiwa hawana ruhusa kuingia na kufanya shughuli yoyote katika baadhi ya maeneo ya nchi yao, ambayo yamegawiwa kwa wageni kinyemela.

Hivi watu wa nchi hii hawana haki ya kushiriki na kunufaika na mali za taifa lao? Tunaambiwa tutanufaika kwa kupata kazi za upagazi, siyo!
 
Upotoshaji upo hapa! Carbon credits ni kulipia emissions rights! Kijakazi
Upo kwenye dili nini? Umelipwa kiasi gani?

Nini kimepotoshwa na BBC na The Guardian?
Haya masoko yapo tayari EU, China ila sio kwa mfumo huu mnaouweka.

DP world mlisema hivihivi kabla TEC haijaingilia kati na wadau wengine kupiga kelele kama Primof Shivji, Sauti ya Watanzania nk.

Ngorongoro na Loliondo mlisema ni upotoshaji pia.

Mikataba mingine ni ipi mliyosaini huko na mtayosaini sasa mpo huko Dubai kisirisiri?
 
Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
 
Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
Je kwa private individual anaweza kuingia makubaliano hayo?
 
Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
Kwa private individual anaweza kufuata utaratibu upi wa kuweza kufanya hii biashara ya Carbon Credit ?
 
Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
Je inahitaji msitu wenye ukubwa gani minimum kuingia hiyo contract?
 
Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
Wewe unaelewa hivyo ulivyo eleza; ambavyo siyo lazima iwe sahihi.

Hujaeleza huyo anayewekeza yeye anafaidika vipi na uwekezaji huo; na wala huelezi atakuwa akifanya shughuli zipi kwenye hiyo misitu.
Hujaeleza chochote, kama sisi wenyewe kama taifa hatuwezi kuifanya hiyo kazi na kwa nini iwe lazima kumpa huyo mwekezaji.
Hujatueleza hata kidogo, makubaliano na huyo mwekezaji yapo vipi, bila shaka utasema ni siri- kwa nini iwe siri kutumiwa mali zetu na watu wengine? Husemi chochote kuhusu huyo mwekezaji alipatikana kwa njia zipi, au nayo ni siri? Palikuwepo na ushindani wowote, au yeye mwekezaji kawatafuta tu Samia na ndugu zake wakakubaliana juu ya mali asili zetu?

Wewe husemi chochote kabisa kuhusu uwajibikaji wa hii serikali kwetu sisi wananchi wake. Unachojuwa wewe ni kuwa serikali na viongozi wake hawana wajibu wowote kwetu, wanaweza tu kujiamria lolote wanalotaka kufanya wao, liwe na faida au hasara kwa taifa letu hayo sisi hayatuhusu!

Watu wa aina yako ndio sasa mnao tamba sana katika nchi hii, lakini mwisho wenu utawadia tu.
 
Wewe unaelewa hivyo ulivyo eleza; ambavyo siyo lazima iwe sahihi.

Hujaeleza huyo anayewekeza yeye anafaidika vipi na uwekezaji huo; na wala huelezi atakuwa akifanya shughuli zipi kwenye hiyo misitu.
Hujaeleza chochote, kama sisi wenyewe kama taifa hatuwezi kuifanya hiyo kazi na kwa nini iwe lazima kumpa huyo mwekezaji.
Hujatueleza hata kidogo, makubaliano na huyo mwekezaji yapo vipi, bila shaka utasema ni siri- kwa nini iwe siri kutumiwa mali zetu na watu wengine? Husemi chochote kuhusu huyo mwekezaji alipatikana kwa njia zipi, au nayo ni siri? Palikuwepo na ushindani wowote, au yeye mwekezaji kawatafuta tu Samia na ndugu zake wakakubaliana juu ya mali asili zetu?

Wewe husemi chochote kabisa kuhusu uwajibikaji wa hii serikali kwetu sisi wananchi wake. Unachojuwa wewe ni kuwa serikali na viongozi wake hawana wajibu wowote kwetu, wanaweza tu kujiamria lolote wanalotaka kufanya wao, liwe na faida au hasara kwa taifa letu hayo sisi hayatuhusu!

Watu wa aina yako ndio sasa mnao tamba sana katika nchi hii, lakini mwisho wenu utawadia tu.
Aisee
Nyinyi Waha ni wabishi sana, japo wanasema bisha ueleshwe nyinyi huwa mnapenda ligi...
Hivi unaelewa maana ya Carbon Credits jinsi inavyofanya kazi?
Kwa hiyo unataka tuifanye wenyewe na nani? na nchi gani?
Hakuna hiyo kitu tufanye wenyewe, kwenye soko la Carbon Credits
Ni hizo nchi zinazotoa mafuta ndio zinatakiwa zikusanye carbon credits, au kwa vile tuna mawese ya Kigoma basi na sisi tukusanye wenyewe kwa mpango upi?
Hamuwezi kuachwa mkusanye wenyewe carbon credits, mtachakachua vifaa vya upimaji, wabongo wezi kila kona,

Kama hutaki ni basi unakaa na misitu yako, na siku ukitaka kununua mafuta huko wanakucheki kama uko kwenye soko la carbon credits kama haupo, unakula bei ya kuruka, na matokeo mnapiga kelele kiwese kikipanda bei....
 
Back
Top Bottom