The Guardian (UK)- UAE owns 8% of Tanzania’s forest

The Guardian (UK)- UAE owns 8% of Tanzania’s forest

Hivi unaelewa maana ya Carbon Credits jinsi inavyofanya kazi?
Huwa sina masihara, kwenye maswala ya namna hii. Kama wewe hunielewi, tazama rekodi yangu humu.
Ninakwambia hivi, ninaweza kukufundisha wewe hayo maswala, hakuna 'rocket science' hapo.
Nyinyi "machawa" mnaichafua sana hii nchi imekuwa kama ya wachekeshaji tu, toka juu kabisa kwenye mkuu wa nchi mpaka huko chini..

Wewe ni mpumbavu unaponihusisha na ukabila kama ulivyofanya hapo juu.

Kuanzia hapo tu ninakudharau moja kwa moja.
 
Aisee
Nyinyi Waha ni wabishi sana, japo wanasema bisha ueleshwe nyinyi huwa mnapenda ligi...
Huu ni upumbavu, siyo ujinga.
Hakuna hiyo kitu tufanye wenyewe, kwenye soko la Carbon Credits
Ni hizo nchi zinazotoa mafuta ndio zinatakiwa zikusanye carbon credits, au kwa vile tuna mawese ya Kigoma basi na sisi tukusanye wenyewe kwa mpango upi?
Ona ujinga unaoweka hapa, halafu unajifanya unajua chochote kuhusu 'Carbon Credits'?
Halafu inawezekana kabisa wewe ukawa ni mmoja wa washauri wa huyo mtu anayefanya maamuzi ya kijinga namna hii kuhusu hii nchi.

Inaonyesha wazi kabisa kutokana na huo mstari ulio andika hapo juu kuhusu "nchi zinazotoa mafuta" kuwa hujui hujui chochote.

Huyo Blue Carbon ni mfanya biashara, ukitaka mwite 'Wakala', anayetafuta faida kutoka nchi zenye viongozi wasiokuwa na kitu kichwani.

Kupanda miti katika misitu yetu unahitaji wakala wa kufanya kazi hiyo? Vijana wetu wasiokuwa na kazi huwezi kuwapanga wakaifanya vyema kazi hiyo? Ku-manage' misitu yetu kunahitaji wakala?
 
Hakuna hiyo kitu tufanye wenyewe, kwenye soko la Carbon Credits
Ni hizo nchi zinazotoa mafuta ndio zinatakiwa zikusanye carbon credits, au kwa vile tuna mawese ya Kigoma basi na sisi tukusanye wenyewe kwa mpango upi?
Hamuwezi kuachwa mkusanye wenyewe carbon credits, mtachakachua vifaa vya upimaji, wabongo wezi kila kona,

Kama hutaki ni basi unakaa na misitu yako, na siku ukitaka kununua mafuta huko wanakucheki kama uko kwenye soko la carbon credits kama haupo, unakula bei ya kuruka, na matokeo mnapiga kelele kiwese kikipanda bei....
Concept nzima ya Carbon market bado huijui.
 
Inaonyesha wazi kabisa kutokana na huo mstari ulio andika hapo juu kuhusu "nchi zinazotoa mafuta" kuwa hujui hujui chochote.
Narudia tena, na tena "nchi zinazotoa mafuta" ndio biggest polluters ukanda wetu, na wanatafuta njia za ku offsets their exceeded carbon production footprints levels, kwa hiyo hilo ndio litakuwa soko letu, kwisha mchezo.
Uwatume vijana maporini wakapande miti, wakati hata mshahara wa walimu huna, utawalipa matangopori?
 
Tatizo mnaangalia mitandaoni na kusoma carbon offsets za US na Europe mnadhani ndio mtauza namna hiyo
Tueleze wewe unasoma wapi?

Kwa ujinga tu unadhani ukisoma mitandaoni au kwingineko; hutakiwi kutumia akili yako kujua kilicho andikwa na kutumia akili kukidadavua kama unakubaliana nacho au hukubaliani nacho?

Hiyo unayo zungumzia hapo wewe, siyo kusoma, ni kukariri, na ndiyo matatizo yanayokusumbua wewe, hasa nikiangalia namna unavyo andika humu.
Hii ndiyo elimu iliyo tuharibikia vibaya sana katika shule zetu.
Wewe ni 'graduate', lakini uandishi wako unaonyesha kuwa elimu yako haijitoshelezi kabisa.
 
Narudia tena, na tena "nchi zinazotoa mafuta" ndio biggest polluters ukanda wetu, na wanatafuta njia za ku offsets their exceeded carbon production footprints levels, kwa hiyo hilo ndio litakuwa soko letu, kwisha mchezo.
Uwatume vijana maporini wakapande miti, wakati hata mshahara wa walimu huna, utawalipa matangopori?
Naona kama ilivyokuwa na DP World, hawa Blue Carbon nao tayari wana jeshi maalum la kupigania maslahi yao.
Wewe hapa huna tofauti yoyote na akina Msukuma wa Bungeni na akina Hamza wa IGA ya DP World.

Ni kazi bure kujaribu kuwaeleza kitu mkakielewa, nje ya hayo mliyofundishwa mkayapiganie.

Hujui kitu kuhusu 'Carbon Credit' na biashara nzima ya bidhaa hiyo ya uchafuzi wa mazingira.
 
Narudia tena, na tena "nchi zinazotoa mafuta" ndio biggest polluters ukanda wetu, na wanatafuta njia za ku offsets their exceeded carbon production footprints levels, kwa hiyo hilo ndio litakuwa soko letu,
Blue Carbon anakuja hapa kufanya biashara. Mkataba unampa miaka 30; huku akichukua asili mia 70 sisi tunabaki na asili mia 30 ya pato linalotokana na biashara hiyo.

Uwekezaji wenyewe, ndani ya miaka 10 hata hauzidi $200 milioni; kama huo siyo ukichaa tuuite kitu gani?
Halafu wewe unakuja na hadithi zisizo eleweka.
 
Blue Carbon anakuja hapa kufanya biashara. Mkataba unampa miaka 30; huku akichukua asili mia 70 sisi tunabaki na asili mia 30 ya pato linalotokana na biashara hiyo.

Uwekezaji wenyewe, ndani ya miaka 10 hata hauzidi $200 milioni; kama huo siyo ukichaa tuuite kitu gani?
Halafu wewe unakuja na hadithi zisizo eleweka.
Kwahiyo na mkataba mmeuona 🤣 🤣 🤣
 
Lakini hapo nimeona zipo Nchi nyingine pia zimeingia hiyo mikataba sio Tanzania pekee !!
Lazima kutakuwepo na manufaa makubwa [emoji120][emoji120]
Mkuu hii ishu Ni ngumu Sana kuitambua fedha zinazomwagwa kwenye hivyo vijiji vilivyokubali kuuzwa kwa maeneo yao ni nyingi. Mlinzi anakunya 200k mwenyekiti nae 200+k bado Kijiji chenyewe kinapata faida Sasa je mkataba utaisha lini ndo hakuna wakujua
 
Mkuu hii ishu Ni ngumu Sana kuitambua fedha zinazomwagwa kwenye hivyo vijiji vilivyokubali kuuzwa kwa maeneo yao ni nyingi. Mlinzi anakunya 200k mwenyekiti nae 200+k bado Kijiji chenyewe kinapata faida Sasa je mkataba utaisha lini ndo hakuna wakujua
Duh 🙄 !!
 
Back
Top Bottom