Deep State 🇹🇿 ni 🚮Cha mjinga huliwa na mwenye akili
Halafu eti tuna usalama wa Taifa. Usalama wa Taifa gani unaweza kukubali 10% ya nchi iwe chini ya umiliki wa mgeni mmoja?
Useless na Hopeless Intelligence Community.
Uzunguni huwa hawakai kimya huwa wanaongea ukweli tena bungeni au kwa waandishiGekul waziri wa sheria kwao manyara, alivyotoka tu safarini uarabuni na india siku ya pili yake akatia timu manyara wiki chache Gekul na skandal kubwa akafutwa kazi labda tunaweza kuunganisha dots inawezekana Gekul kwao ni manyara na pia ni sehemu ya 8% labda akatia zengwe kama waziri wa sheria kwenye kupokwa kwa ardhi ya manyara, siujui ukweli najaribu tu kuunganisha dots …
Acha watuonee, ila tupigieni kelele tuje kuwekeza jamaniHalafu wanakataa kuwapa uraia pacha diaspora wenye vinasaba vya Tanzania ili kuwazuia kuwa na uhalali wa umiliki wa ardhi.
Carbon credits si strength yako! Kununua carbon credits through CDM si Kununua ardhi! So wacha kupotosha! Hamna tatizo UAE Kununua cc zinazotengenezwa na 8% equivalent of our forest!
Hakuna ubaya UAE kununua carbon credits!sasa nani unayemwambia anapotosha? mimi au the Guardian?
Upotoshaji upo hapa! Carbon credits ni kulipia emissions rights! KijakaziVitu anavyofanya SSH inaweza kuchukua miaka zaidi ya 50 kurudisha uhuru wetu, ardhi yetu na rasilimali zetu.
Majanga anayosababisha na atayosabisha ni makubwa sana kwa mustakabali wa Tanzania na kila Mtanzania anayejitambua.
Yaani hadi Burigi-Chato iliyoanzishwa juzi juzi amewapa ndugu zake.
Kwanini mtu mmoja anaamua vitu muhimu kama hivi?
Akili gani hii? Nchi nyingine maskini kama Zambia, Liberia ndio mfano wa kuigwa
Huu ni ujinga wa karne unampa mtu ardhi yako. Atawapiga marufuku wananchi wanayoizunguka hiyo ardhi kuitumia.
Unampa kwa mikataba ambao hauwekwi wazi, hakuna uwazi kwenye terms and conditions zao kama mkataba wa DP world.
Wenyewe Dubai ndio watauza hizo carbon credit kwa wengine na kuchukua 70% ya faida.
Kwanini, tusihifadhi wenyewe hii misitu kama tulivyofanya toka uhuru na tusiuze wenyewe direct kwa mtu wa mwisho?
Kumuweka huyu dalali kwa miaka 30 na Mo dewji kunalisaidia vipi hili taifa?
Sasa nenda Google ujue what's carbon credits and what's clean development mechanism!labda ungewajibu the Guardian kwamba you better than them, mimi nimeleta tu habari kama ilivyo …
Tatizo ni hongo mkuu, viongozi wanapewa hela ndefu sanaMbaya zaidi yeye ana-own hio land kwa kuwapa peanuts (alafu anafanya deals na makampuni tofauti ku-offset carbon anapata faranga maradufu) which begs a question kwanini sisi kama UMMA tusingefanya hizo deals wenyewe na kupata faida na kuwafidia hao ambao huenda tutawakataza kutumia / kukata hizo sehemu...
Ndio hapo unajiuliza huu ni ukosefu wa fikra; ubinafsi; umimi au shortsightedness ya kupewa vijisenti leo na kuuza mtaji mzima (killing the goose which lays the golden eggs)
Sasa nenda Google ujue what's carbon credits and what's clean development mechanism!
Mkuu 'Kimbukiko', heri ya wewe unaweza hadi kujua mipangilio ya biashara hiyo; huko vijijini wanajua lolote kuhusu haya mambo?Hao waarabu hawana shida ,sisi viongozi wetu ndio wapumbav na vichaa wasio na maono .
Kwa agenda za UN , World economic forum NK Carbon taxation itaanza soon , that means kila bidhaa au huduma inayonunua itatozwa kodi ya ukaa /carbon tax , na hii ndio itakayotumika kama subsidies Kwa kuwapa hao wamiliki wa estates za misitu .
Utajiri mkubwa upo kwenye misitu , tuhamasishane kumiliki mashamba na kupanda miti kupata misitu mikubwa na kuanza kuvuna hayo mapato
Upo kwenye dili nini? Umelipwa kiasi gani?Upotoshaji upo hapa! Carbon credits ni kulipia emissions rights! Kijakazi
Je kwa private individual anaweza kuingia makubaliano hayo?Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
Kwa private individual anaweza kufuata utaratibu upi wa kuweza kufanya hii biashara ya Carbon Credit ?Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
Je inahitaji msitu wenye ukubwa gani minimum kuingia hiyo contract?Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
Wewe unaelewa hivyo ulivyo eleza; ambavyo siyo lazima iwe sahihi.Tatizo kubwa bado hapa nchini ni ujinga. Watu hawajua kuchambua habari na kuzifahamu.
Carbon credit haina maana unauza msitu au nchi nyingine inaumiliki, ni kutumia misitu yako kujipatia pesa bila hiyo misitu kukatwa au huyo anaenunua kuja kuishi hapo au kumiliki chochote. Serikali ikiamua kubadili matumizi ya hiyo misitu na kufanya miradi mingine basi hapo mapatano yanaishia hapo.
AiseeWewe unaelewa hivyo ulivyo eleza; ambavyo siyo lazima iwe sahihi.
Hujaeleza huyo anayewekeza yeye anafaidika vipi na uwekezaji huo; na wala huelezi atakuwa akifanya shughuli zipi kwenye hiyo misitu.
Hujaeleza chochote, kama sisi wenyewe kama taifa hatuwezi kuifanya hiyo kazi na kwa nini iwe lazima kumpa huyo mwekezaji.
Hujatueleza hata kidogo, makubaliano na huyo mwekezaji yapo vipi, bila shaka utasema ni siri- kwa nini iwe siri kutumiwa mali zetu na watu wengine? Husemi chochote kuhusu huyo mwekezaji alipatikana kwa njia zipi, au nayo ni siri? Palikuwepo na ushindani wowote, au yeye mwekezaji kawatafuta tu Samia na ndugu zake wakakubaliana juu ya mali asili zetu?
Wewe husemi chochote kabisa kuhusu uwajibikaji wa hii serikali kwetu sisi wananchi wake. Unachojuwa wewe ni kuwa serikali na viongozi wake hawana wajibu wowote kwetu, wanaweza tu kujiamria lolote wanalotaka kufanya wao, liwe na faida au hasara kwa taifa letu hayo sisi hayatuhusu!
Watu wa aina yako ndio sasa mnao tamba sana katika nchi hii, lakini mwisho wenu utawadia tu.