Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
- Thread starter
- #41
Usiniambie nimefika level hiyo asee..hii imetulia sana na inaamsha hali ya upambanaji na kupata imani....hii inaweza elekezwa labda kwenye graduation za vyuo na sehemu kubwa za ujasiriamali maana imejaa quality kubwa
Ahsante sana mkuu..More bless