Agustin kun Aguero
JF-Expert Member
- Mar 22, 2023
- 532
- 641
Grealish, rodri, dias, ake.Pep kasema anaona wachezaji wamechoka na hana uhakika kama watarecover ipasavyo kuelekea kwenye hiyo mechi.
Na ukiangalia ni kweli toka april imeanza ametumia kikosi kilekile day in day out na mechi zilikua za mikiki haswa.
Ukizingatia tuna game na arsenal, kuna haja ya kufanya refreshment ya kikosi kwenye game ya sheffield.
Bado hajawa ruled out kuwa ataikosa nusu fainali.Narudia tena kusema hakuna aliye niuma kama Nathan Ake kutoshiriki hii nusu fainal
Msimu wa 2018/19 laporte alicheza sana hilo eneo na alikua superb, sio mgen kwenye hiyo role ana uzoefu nayo.Laporte sijui kama ata offer anacho offer ake ila kwa dakika chache alizocheza, pengo la ake nimeliona.
Sasa unafikiri wanaweza kuanza kina cole palmer?Pep kasema anaona wachezaji wamechoka na hana uhakika kama watarecover ipasavyo kuelekea kwenye hiyo mechi.
Na ukiangalia ni kweli toka april imeanza ametumia kikosi kilekile day in day out na mechi zilikua za mikiki haswa.
Ukizingatia tuna game na arsenal, kuna haja ya kufanya refreshment ya kikosi kwenye game ya sheffield.
Hapana atleast anaweza kufanya mabadiliko hata manne sio mbaya, hii ndio mechi pekee itakayotupa nafasi ya kuvuta pumzi, baada ya hapo mikiki inaendelea.Sasa unafikiri wanaweza kuanza kina cole palmer?
Ni swala la muda tu haya yatapita.View attachment 2594233
Leo ndyo TBT ehh View attachment 2594237
[emoji1782][emoji1782][emoji1782][emoji1782][emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Wewe si ndio ulikua unasema hatuwezi kumfunga bayern kwa beki ake na akanji? Unatumia hoja za kulinganisha vikosi, hope umejifunza kitu katika modern football.Mmejitahidi sana kwa Bayern isiyo na kocha lkn kwa Madrid aisee mkaze,wazuri sana wale jamaa
Mechi yetu na chelsea imesogezwa mbele kutoka tarehe 20 May mpaka 21 May.
Hii ni baada ya ratiba ya nusu fainali ya UEFA kutolewa ambapo tutacheza mechi ya kwanza tarehe 9 May na mechi ya marudiano tarehe 17 May.
Saiv bora tunaanza kwao.. Tumalize kwe2Hivi kumbe first leg tunawafata wale vibwengo kule bernabeu? tunaenda kuwapasulia hukohuko.
Shoga uyoAke ni chuma mkuu,halafu kati ya walinzi walioupgrade this season kama utamuacha ake,basi unasababu zako
Tuliza trakoTuwakumbushe au mnakumbuka maumivu ya mwaka Jana
Halla Madrid 🤍🤍🤍🤍
UEFA TROPHIES 14 [emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
MWACITY UEFA TROPHY [emoji90]00000000[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]