The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ubaya zaidi sterling anachukua golden boot

Labda golden boot ya Handeni!
Mane au Salah ndiyo watachukua sababu week hii wanacheza na trash Cardif watafunga,week ijayo na trash Hudd watafunga,kisha na Newcastle watafunga then home na Wolves watafunga!
Spurs na Man U hamna mabao mengi ya kufungana!

Nadhani Mane atachukua golden boot!
 
Nipe mfano wa timu iliyotengenezwa kuchukua vikombe pale England
 
Labda goldeb boot ya Handeni!
Mane au Salah ndiyo watachukua sababu week hii wanacheza na trash Cardif watafunga,week ijayo na trash Hudd watafunga,kisha na Newcastle watafunga then home na Wolves watafunga!

Nadhani Mane atachukua golden boot!
Not salah.
Ila izo game unazoziona nyepenyepe ndo mbaya.
Unagame 4 city bado 5.
Na bado unaratiba ngumu
 
Tumechukua mara tano akiwepo.
Ww umechukua mara ngap mkuu!

Liverpool haikuwa na kocha wala wachezaji,team hii imeundwa sasa na Klopp na imeimarika!
Mwaka huu EPL na CL ni zetu!Kwanza hata mngemfunga Spurs kwa beki yenu hii Ajax wangewadharirisha tu
 
So inawezekana kukosekana kwa Harry Kane ndiko kulikoleta chachu ya ushindi toka kwa Tottenham mechi ya jana Chifu[emoji848]

Yes, hiyo wakati mwingine inatokea. Wanaobaki wanapandisha kiwango, hata game plan ya wapinzani inabadilika kwa sababu mpira utapita kwa yeyote.

Wakati Kane akiwepo mipira lazima ipite kwake. Akikabwa kazi imeisha.
 
Muulize wametumia shngap wao mpak aiseme city.
Unajua washabiki wengi huwa hawajui mpira ila wanajua kushangilia matokeo
Ww man u umewekeza shingap?
Anzia wakati wa morinho tu.
Na bado unatarajia kusahili

 
Kati ya hayo makombe kuna timu gani aliyoifundiaha ikiwa nje ya top 4 ikapanda mpaka kunyakua kombe?
Atafundishaje timu isiyoweza ata kuingia top 4?
Uko ni kumdhalilisha pep.
Ni sawa aende arsenal.
[emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…