Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Ubaya zaidi sterling anachukua golden boot
Labda golden boot ya Handeni!
Mane au Salah ndiyo watachukua sababu week hii wanacheza na trash Cardif watafunga,week ijayo na trash Hudd watafunga,kisha na Newcastle watafunga then home na Wolves watafunga!
Spurs na Man U hamna mabao mengi ya kufungana!
Nadhani Mane atachukua golden boot!