The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Wakuu natangulia kabisa kuwapa hongera zenu in advance, kwa sababu najua there is no way msishinde hii game.

Nipende kusema kwamba uzoefu wa Pep kwenye mashindano ya namna hii si wa kiwango kidogo, hata tulivyowazidi point saba hakukata tamaa, na alikuwa wazi kwenye interviews akisema tutapambana mpaka dakika ya mwisho.

He has proven it, nakumbuka press yake kabla ya game vs Liverpool alikuwa so bold kusema kwamba bado ana nafasi ya kuwa bingwa. That is championship mentality.
 
Woooow!
I have been looking for this thread unsuccessfully.
Thanks i have got it today.
Few hours left to lift the title.
Can't wait. Come on city[emoji123][emoji123]
 
Wakuu natangulia kabisa kuwapa hongera zenu in advance, kwa sababu najua there is no way msishinde hii game.

Nipende kusema kwamba uzoefu wa Pep kwenye mashindano ya namna hii si wa kiwango kidogo, hata tulivyowazidi point saba hakukata tamaa, na alikuwa wazi kwenye interviews akisema tutapambana mpaka dakika ya mwisho.

He has proven it, nakumbuka press yake kabla ya game vs Liverpool alikuwa so bold kusema kwamba bado ana nafasi ya kuwa bingwa. That is championship mentality.
[emoji2] asante mzee baba.
But the same to klopp in UCL
 
Ningefurahi sana kama Zinchenko angeendelea kucheza kama beki wa kushoto,dogo anaelekea kuwa LB mzuri sana kama atapata mechi za kutosha na kama atakuwa "injury free"...
Kuhusu namba tisa,kwakweli siku hizi soko la namba tisa halisi limekua gumu sana...
Ila tuna dogo tulimuuza kwa mkopo,anaitwa Lucas Nmecha,kama tukimtengeneza vizuri atakuja kuwa mshambuliaji mzuri sana,Ila hili linategemea na mipango ya Guardiola..!
Kuhusu Joao Felix,mimi naona dogo yupo "overrated" sana,sioni kama ana cha kuongeza katika timu yetu,tutapigwa pesa tu..!
Kuhusu Bruno Fernandes,huyu siamini kama kweli tulikuwa na uhitaji wa huduma yake,as long as KDB yupo fit hatumuhitaji Bruno Fernandes, ila nafikiri ni uoga wa benchi la ufundi kuhusu majeruhi ya KDB ndio inatusukuma kutaka kumnunua huyu Mreno,lakini nikubali tu kuwa jamaa ni BONGE la mchezaji..!
Chief,mimi nafikiri dirisha lijalo la usajili tungewekeza nguvu zetu katika kupata wachezaji wawili muhimu katika nafasi zifuatazo:
1) Kiungo mkabaji, tutafute kiungo mkabaji wa kueleweka, tusipopata mchezaji wa kueleweka kucheza hii nafasi,hakika itatugharimu sana msimu ujao..!
Kwa soko la usajili lilivyo nashindwa hata kusuggest ni mchezaji gani wa kumsajili katika hii nafasi..!
2) Beki ya kulia, hivi karibuni nimekuwa na mashaka sana na kiwango cha Kyle Walker, isajiliwe beki namba mbili ya kueleweka kwaajili ya kumsaidia huyu muhuni wa Kiingereza,tungempata Wan Bissaka kutoka Crystal Palace hakika tungekuwa tumeramba dume..!
Nmecha kwa PEP anahitaji kama misimu miwili tu kufika top top levels.
Sasa changamoto ni PEP kumuamin
 
Our line up today
IMG-20190512-WA0028.jpeg
 
Welcome to [emoji397] Duta's [emoji397] LIVE game coverage

[emoji460] *Brighton & Hove Albion vs Manchester City*

*Brighton & Hove Albion*
1 Mathew Ryan (Goalkeeper)
2 Bruno Saltor (Defender)
4 Shane Duffy (Defender)
5 Lewis Dunk (Defender)
30 Bernardo (Defender)
11 Anthony Knockaert (Midfielder)
7 Beram Kayal (Midfielder)
8 Yves Bissouma (Midfielder)
16 Alireza Jahanbakhsh (Forward)
13 Pascal Groß (Midfielder)
17 Glenn Murray (Forward)

*Manchester City*
31 Ederson (Goalkeeper)
2 Kyle Walker (Defender)
4 Vincent Kompany (Defender)
14 Aymeric Laporte (Defender)
35 Oleksandr Zinchenko (Defender)
20 Bernardo Silva (Midfielder)
8 İlkay Gündoğan (Midfielder)
21 David Silva (Midfielder)
26 Riyad Mahrez (Forward)
10 Sergio Agüero (Forward)
7 Raheem Sterling (Forward)
 
Back
Top Bottom