Ni kweli, ila wanacheza na akili yake.
Nashangaa mpaka dortmund wanasupport sane kwenda.
HAhahhah
Hii hatari sasa
Yaani hata mahasimu wanasupport Sane kutua Allianz Arena?!!
Naona kuna masuala ya utaifa/uzalendo wa Kijerumani hapa kwamba wanataka mjerumani mwenzao arudi kwenye timu kubwa Ujerumani ili Bundesliga iwe na mvuto
Uwanja wa kwenye tattoo ni Etihad?View attachment 1150444
Alisha badili na tattoo ukichek vzr utaona yupo na timu ya German namba ya city, uwanja tu.
Mwanzo unasemakana ulikuwa etihad.Uwanja wa kwenye tattoo ni Etihad?
Walionewa pia hawakujitetea vya kutosha.Msipofungiwa kishiriki uefa basi AC Milan atakuwa kaonewa sana.
Zinchenko alijifunga na mkataba wa miaka 5.Huyu Angelino anakuja kumfukuza kabisa Zinchenko pale beki tatu, hamna namna inaonekana Zinchenko atagombania kiungo tu sasa hivi
Hata aondoke tu chama la wana moto kamwe hauzimiki.
Mpira ungekua hivyo City angefika final UEFA.Hiki ndio kikosi ambacho kitakuwepo muda mrefu pale Ettihad
Shida inakuja pale EPL
Kikosi hiki hata Real Madrid ambayo ina Hazard wanakufa kirahisi mnoView attachment 1148196
Kwani Ac Milan imefungiwa?Msipofungiwa kishiriki uefa basi AC Milan atakuwa kaonewa sana.
Sane anacheza winga ya kushoto.Pengo litakuwepo sababu watu wazuri pale winga ya kulia ni kama watakuwa Hawapo maana we mwenyewe unajua jinsi ambavyo Bernado hawezi kuwapa goli 10 za ligi kwa msimu
Sema kiukweli hivi sasa kwa hicho kikosi hapo nyie mnaweza kuchukua EPL mbele ya city?Mpira ungekua hivyo City angefika final UEFA.
Sane ni Left footedSane anacheza winga ya kushoto.
LW: Sterling &Sane
RW; Bernado, Sterlling &Mahrez
Umefungiwa kucheza europa msimu ujaoKwani Ac Milan imefungiwa?
Kwa perfomance aliyoionyesha gabby copa america atapata mechi nyingi zaidi msimu huu.Sema kiukweli hivi sasa kwa hicho kikosi hapo nyie mnaweza kuchukua EPL mbele ya city?
Natabiri Gabriel Jesus kuja kuwa striker anaefunga goli 20 au zaidi za ligi pale EPL baada ya Aguero kufika 34 au 35.
Na hata Sane na Sterling nao wanaimprove as well bila kusahau katikati kuna Foden ambae anakuja kuwa kiungo anaeshinda magoli mengi.
Hiyo lineup Madrid anaweza pigwa ila matokeo ni either way