Wameongeza 7 na ndani ya dakika Saba ,Kuna var review kuhusu penalty ,Kuna goli lilipatikana ,kushangilia na kuweka mpira kati ni wastage of time walizma kufidia ,Kane akafunga ,kushangilia na kuweka mpira kati wastage of time .....Sasa u ashangaa kwanini zilifika 9 ,hivi wewe unaelewa kweli mpira ,au mikeka inakusumbua mzee ....maana hata sielewi unacholilia [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona tulishachukua kitambo [emoji23][emoji23][emoji23]Mechi na Arsenal mliiba ile game na FA waliwasaidia!
Penalty ya Ederson alimkwqtuq Degaard na pia kadi nyekundu yaa Gabriel ilikuwa ya mchongo.
Mnapendelewa sana na EPL hamchukui,huwezi chukua EPL bila false 9 wa ukweli
Yaani wewe endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe ...et leeds unampiga goli 3+ ....subili uone ... Norwich tu umemfunga kwa tabu kweli kweli sembuse Leeds [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upo tungi?
GD kati ya Liva na Man City ni goli 2 tu na sisi tuna kiporo na Leeds Jumatano na tunampiga kuanzia 3+ na kukuzidi GD
Lkn kabla ya game na Liverpool ww huwezi toka kwa Man U na Palace na hata Wolves
Hadi tunakutana upo nyuma points 6+
Dah!...nililisema hili tu mara baada ya droo ile mechi ya southampton vs city...na nachoona ndo kinachoenda kutokea "GOD SAVE US"...hii dhahama isije zamisha city down to the mud.Mkuu vip?...kiukweli nafahamu kuwa epl ngum lakin kwa display tuliyoionesha kwa saints last time out nahisi kuna balaa linanukia ile mechi ilibidi tushinde na sio droo maan bado hatujakutan na liver ambao tunakimbizana nao, spurz ambao walitup shida at the start of the season pia tunawafuata westham, wolves na palace wote wakiwa kwao ni moja ya timu tulizopata matokeo kwa mbinde na palace alitupiga....kwa jinsi navyoijua EPL shughuli bado ngumu pale...kama hutoamini subiri tuone, yani sterling alikosa chance za wazi versus saints hadi inasikitisha kiukweli yule jamaa atatucost maana ata zile point 2 tulizodondosha kwa saints tutazikumbuka ndugu!
That's football bro,,u don't have to win every gameDah!...nililisema hili tu mara baada ya droo ile mechi ya southampton vs city...na nachoona ndo kinachoenda kutokea "GOD SAVE US"...hii dhahama isije zamisha city down to the mud.
Hahaaaa mkuu haina haja ya kuogopa ...tunapoteza game moja Bado tuna chance ya kuwin hata game 10 mfululizo ...!Dah!...nililisema hili tu mara baada ya droo ile mechi ya southampton vs city...na nachoona ndo kinachoenda kutokea "GOD SAVE US"...hii dhahama isije zamisha city down to the mud.
Ni kweli ila tatiz unapotez izo game kikiwa ni kipind gani?...na baya zaid tumetengeneza mazingira magumu game yetu na liverkuku itakuwa kama fainali vile na kiuhalisia ukishakuw katik mazingir kama haya anzia game zinazofuatia mbele yetu tutachez na tension kubwa kitu ambach kinaleta doubt ya kushinda wandugu.That's football bro,,u don't have to win every game
Kwa pale EPL uoga lazim...angalia hizo game zilizobakia tunawafuata wolve, palace na westham wote wakiw kwao sasa ni salama hapo?...ukizingatia first leg tulipat matokeo ya tabu na wao, na icho kipolo cha liver dhidi ya leeds ni kazi ndogo kwa klopp hawawez potez kirahis hivyo maan ukizingatia washaona upenyo wakutufikia...hapo leeds atapigwa tu...but anyway our squard has made for tough moment like this so let's assume vijana wetu wanao uwez wa kuoverturn hivyo vikwazo.Hahaaaa mkuu haina haja ya kuogopa ...tunapoteza game moja Bado tuna chance ya kuwin hata game 10 mfululizo ...!
Kuhusu Liverpool hata usiwe na shaka ...soon anaenda kupoteza game ,ni swala la muda tu ....
Mhimu ni kufocus tu ....pep kashaliona hili ,gap la point 6 sio dogo ....hata kama Liverpool anakipolo ,mpaka acheze ndio atakuja kusema tunamzidi point 3 ....
Hahaaaa mkuu haina haja ya kuogopa ...tunapoteza game moja Bado tuna chance ya kuwin hata game 10 mfululizo ...!
Kuhusu Liverpool hata usiwe na shaka ...soon anaenda kupoteza game ,ni swala la muda tu ....
Mhimu ni kufocus tu ....pep kashaliona hili ,gap la point 6 sio dogo ....hata kama Liverpool anakipolo ,mpaka acheze ndio atakuja kusema tunamzidi point 3 ....
Kwa hiyo unakalili maisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23 mzee mbona unaniangusha .....Game ya uhakika lazima mpoteze tena ni ya dhidi ya crystal palace.maana timu zilizowafunga au kutoka sare matokeo yanajirudia vile vile kama southampton na Spurs matokeo ya round ya 2 yamekuwa ya round ya kwanza yale yale.na mimi nasubiria crystal palace.
Mlikuwa mnategemea muongoze ligi kuanzia sasa mpaka inaisha? Hicho kitu hakipo.
Kwa hiyo unakalili maisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23 mzee mbona unaniangusha .....
Kwamba kwa vile Liverpool tulidraw kwa hio round ya pili tutata draw?..
Palace katufunga kwa hiyo round ya pili atatufunga?
Man utd tulimfunga round ya kwanza kwa hiyo round ya pili lazima tumfunge ?...
Wolves tulimfunga round ya kwanza kwa hiyo round ya pili lazima tumfunge?....
Hakuna game itakuwa nyepesi kama ya palace na wolves hao tutachukua point tatu kirahisi kabisa. ...
Acha kukalili na inaonesha ni mweupe kichwani kabisa ....Mkuu sio kwa Liverpool,ni kwenu nyinyi matokeo yenu ya round ya kwanza hajabadilika kwenye round ya pili mpaka sasa mechi ya 7 hii ambayo ni inakaribia nusu ya mechi Za round ya pili Tayari.ndio maana nimejenga hoja hapo crystal Palace lazima mpoteze,kwa Liverpool ni tofauti yeye yanabadilika lakini man city round ya pili matokeo ni yale yale ya round ya kwanza mpaka sasa hakuna kilichobadilika kama yamebadilika niambie mechi gani?jibu ni hakuna.
Southampton mlitoa sare round ya pili sare tena na Spurs round ya kwanza mlifungwa na round ya pili mkachezea kichapotena nyumbani kwenu licha ya Spurs kuwa mbovu maana conte katoka kufungwa mechi 3 mfululizo lakini mkashindwa kumfunga.
Kwa crystal palace nakataa kwa trend ilivyoenda kwenu.hao wolves mnashinda asubuhi tu.
Hautanielewa saizi baadae utanielewa
Atletico wazee wa kupaki train wanakusubiliKwa mktadha wa uefa tunawaomba muungane na wenzenu mje kwa wingi pale wanda metropolitano mashetani tuna jambo letu.
Lazima tuwapasue waleAtletico wazee wa kupaki train wanakusubili
Mkuu tambeni tu lakini uyo dogo...SISI TULIMPIGA 7-0. Kikubwa ni kusubiri game bain yetu ndo itaamua bingwa incase tofauti itabaki kuwa point.3 adi tutapokutana.