The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Nimeamini mlala ulalwa, man lainiiiiiiiii,,...............kama unanawa. Toka niijue mwaka huu uanze sikuwahi kufikia climax ya furaha ila tu nilipo shuhudia manchester wakipigwa ka wamesimama...6-1, pole sana man fans
 
Mods Do we need this crap here ? Jamani hivi hapa ni mahali pa michezo ? Si kila mtu ni mtumwa wa ligi za wazungu .Nyie mnasema wabaya leo mipira yao toka huko huko Nato inashangiliwa hapa hizi akili au? Au ndiyo yale yale ya waislam kupiga makelele kila siku juu ya ma West lakini wako wa kwanza allfajiri wanaomba Visa kwenda kwa ma West hao hao ?
Acha kukurupuka wewe... hebu angalia hii thread ipo jukwaa gani... !! jukwaa letu hili msituletee siasa & udini wenu ....
 
Mods
Do we need this crap here ? Jamani hivi hapa ni mahali pa michezo ? Si kila mtu ni mtumwa wa ligi za wazungu .Nyie mnasema wabaya leo mipira yao toka huko huko Nato inashangiliwa hapa hizi akili au?

Au ndiyo yale yale ya waislam kupiga makelele kila siku juu ya ma West lakini wako wa kwanza allfajiri wanaomba Visa kwenda kwa ma West hao hao ?

watu wa vijijini mnamatatizo.
 
Back
Top Bottom