The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Liverpool na Tottenham zimepangwa katika makundi ya kifo katika upangaji wa makundi huku Manchester United ikitupwa kwa Ronaldo.

Katika upangaji huo wa ratiba ya hatua ya makundi uliofanyika Monaco, Spurs imepangwa kundi B ikiwa pamoja na Barcelona, PSV na Inter Milan.

Liverpool iliyocheza fainali msimu uliopita ipengwa kundi C pamoja na mataji wa PSG, Napoli na Red Stars

Manchester United watakutana na nyota wao wa zamani Cristiano Ronaldo baada ya kupangwa na mabingwa wa Serie A, Juventus.

Ronaldo, ambaye alichezea Man United kati ya 2003 na 2009, amejiunga na Juve kwa gharama ya pauni 99.2milioni Julai baada ya kucheza kwa miaka tisa Real Madrid.

Wapinzani wao wengine ni Valencia na Young Boys katika Kundi Group H.

Mabingwa wa England, Manchester City wametupwa Kundi F, pamoja na Shakhtar Donetsk, Lyon na Hoffenheim.

Mabingwa watetezi Real Madrid, wamepewa kundi rahisi wakiwa Kundi G pamoja na Roma, CSKA Moscow na Viktoria Plzen.

Makundi

Kundi A: Atletico Madrid, Dortmund, Monaco, Club Brugge

Kundi B: Barcelona, TOTTENHAM, PSV, Inter Milan

Kundi C: PSG, Napoli, LIVERPOOL, Red Star Belgrade

Kundi D: Lokomotiv Moscow, Porto, Schalke, Galatasararay

Kundi E: Bayern Munich, Benfica, Ajax, AEK Athens

Kundi F: MAN CITY, Shakhtar, Lyon, Hoffenheim

Kundi G: Real Madrid, Roma, CSKA Moscow, Viktoria Plzen

Kundi H: Juventus, MAN UTD, Valencia, Young Boys
 
Leo ushindi muhimu ili tumfurahishe muwekezaji maana anatimiza miaka 10 toka aweke mzigo pale City, ilikua 01/09/2008
 
Manchester City XI: Ederson, Walker, Stones, Laporte, Mendy, Silva (C), Fernandinho, Mahrez, Sterling, Jesus, Aguero

Subs: Muric, Kompany, Otamendi, Delph, Gundogan, B. Silva, Foden.

Newcastle United XI: Dubravka, Yedlin, Clark, Fernandes, Lascelles, Dummett, Diame, Ki, Kenedy, Perez, Rondon

Subs: Darlow, Sterry, Atsu, Longstaff, Murphy, Muto, Joselu.
 
Sterling
1535820787811.gif
 
Back
Top Bottom