The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Njuka wa uefa naona wanatapatapa
Ila kipigo kiko palepale
Atawafanya kitu mbaya ,mahrez come on
mancittyfan-20210511-0001.jpg
 
Sisi kufungwa na chealse Mara mbili mfululizo hio ni mbinu ya kumkabili chelsea may 29 ....

Yaani moto utakao washwa CL final sio wa kitoto kabisa ...

Mnakumbuka kile kipind ,tulipumzik kama wiki moja ,kisa covid ...


Then game iliyofuata ikawa

Chelsea vs man city , EPL

1H tulikuwa tumeshawapiga goli 3 -0 ....

Mpaka klop akaanza kulialia ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Final game tunaiua mapema sana ,before HT mtakuwa mshakula goli za kutosha ...
Acha kujifariji kijinga wewe na kubadilisha kauli hovyo. Tulipowafunga ktk FA ulisema oooh sijui kombe la nini... Mara njooni ktk EPL tutawafunga tumekuja na umepigwa saizi unageuza milio Mara oooh ilikuwa mbinu sijui nini? Hovyo kabisa. Timu lako bovu na limezidiwa na mjipange kweli kweli ktk fainali maana tunajua mtakavyokuja mmekania game na ata kocha anatambua nguvu na juhudi zenu mtakavyokuja nazo. Na sisi kz ni moja tu ni kuwasasambua wote kwa Mara ya tatu.


Battle la jumamosi iliyopita ilikuwa ni battle ya tactics... Guardiola akileta mbinu Fulani, Tuchel ana I- neutralize hiyo mbinu na kuwa boya tu. Na atimae bingwa wa mbinu akaibuka mshindi. Mkajipange kweli kweli maana tunatambua wazi kabisa mnawatwgemea kina Gundogan, Rodrigo, Bernardo Silva. Na Mahrez, KDB na Foden. Lkn hichi ni kikosi chepesi sn ktk defensive machine ya Chelsea....
 
Acha kujifariji kijinga wewe na kubadilisha kauli hovyo. Tulipowafunga ktk FA ulisema oooh sijui kombe la nini... Mara njooni ktk EPL tutawafunga tumekuja na umepigwa saizi unageuza milio Mara oooh ilikuwa mbinu sijui nini? Hovyo kabisa. Timu lako bovu na limezidiwa na mjipange kweli kweli ktk fainali maana tunajua mtakavyokuja mmekania game na ata kocha anatambua nguvu na juhudi zenu mtakavyokuja nazo. Na sisi kz ni moja tu ni kuwasasambua wote kwa Mara ya tatu.


Battle la jumamosi iliyopita ilikuwa ni battle ya tactics... Guardiola akileta mbinu Fulani, Tuchel ana I- neutralize hiyo mbinu na kuwa boya tu. Na atimae bingwa wa mbinu akaibuka mshindi. Mkajipange kweli kweli maana tunatambua wazi kabisa mnawatwgemea kina Gundogan, Rodrigo, Bernardo Silva. Na Mahrez, KDB na Foden. Lkn hichi ni kikosi chepesi sn ktk defensive machine ya Chelsea....
Kama uliangalia mpira vizuri ...

Nadhan uliona mwenyewe ,game ilikuwa ngumu sana ile ,..

Najua mmevimba kichwa ,but may 29 hamtaamini kitakacho wakuta ...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo Chelsea hukai nao meza moja ama sio level zako?
Kubishana na MTU wa nyumbu ni matumiza mabaya ya akili ...

Mimi nakaa meza moja na buyern ,PSG ,Madrid ,..


Wewe takataka endelea kupambana na Roma ,Genk ,Salzburg,...

Unaenda kuchaza final ,haina hata mvuto et villarial[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Final ya hovyo kabisa ambayo haijawahi tokea dunian ,..

Nahisi viingilio itakuwa bure ...


Siwezi poteza muda Mimi kuangalia nyumbu zikiwa zinacheza na kenge ...


Yaan vilaza kwa vilaza wanacheza ....
 
Muulize kama amepata mbinu ya ku unlock defense ya Chelsea. Akikujibu unitag
Chelsea nayo ilipumzisha wachezaji watano... Meson hakucheza, Kai, Thiago, Ben Chilwell na Jorginho... Nyie mlifanya mabadiliko 9 Chelsea ilifanya matano.


Ata hivo nakuambia Leo. Hao kina Gundogan, Rodrigo, Bernardo Silva, Mahrez KDB na Foden hawana makali yoyote. Hawa dawa yao imeshaandaliwa tayari yaani tarehe 29 watakuwa wanapiga back pass tu na kuzunguka zunguka uwanjani.
 
Unategemea mwenzako afungwe ndio uchukue ubingwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tunaenda kumfunga Newcastle ,na kutangaza ubingwa hapo hapo ...

Kama hao lecister city wakishindwa kujitetea top four ..
 
We jamaa huwa unaropoka kama unasokomezwa ukuni, eti kufugwa mara mbili ni mbinu. We NGURUWE ndio maana nakwambia huna akili kabisa, kwahiyo pep alipeleka kikosi chake akiwa anajua atafungwa ama aliwambia wachezaji wake wafugwe? We akili huwa na je, mge shida hizo game mbili ungekuwa unasema hivi? NGURUWE PORI ww
Sisi kufungwa na chealse Mara mbili mfululizo hio ni mbinu ya kumkabili chelsea may 29 ....

Yaani moto utakao washwa CL final sio wa kitoto kabisa ...

Mnakumbuka kile kipind ,tulipumzik kama wiki moja ,kisa covid ...


Then game iliyofuata ikawa

Chelsea vs man city , EPL

1H tulikuwa tumeshawapiga goli 3 -0 ....

Mpaka klop akaanza kulialia ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Final game tunaiua mapema sana ,before HT mtakuwa mshakula goli za kutosha ...
 
Bila Christensen kuchezewa rafu ulikuwa unapigwa 2 bila. Unavunga hujui wakati michezaji yenu ilikuwa inatembea tembea tu bila kujua ifanye nn ipate goli
Taja hio defence ya chelsea ..

Hao kina rudiger ndio ukuta ?
 
We jamaa huwa unaropoka kama unasokomezwa ukuni, eti kufugwa mara mbili ni mbinu. We NGURUWE ndio maana nakwambia huna akili kabisa, kwahiyo pep alipeleka kikosi chake akiwa anajua atafungwa ama aliwambia wachezaji wake wafugwe? We akili huwa na je, mge shida hizo game mbili ungekuwa unasema hivi? NGURUWE PORI ww
Pep aliamua kufungwa game hio ,ndio maana akaweka wababishaji kina sterling ..


Hio ni mind game ,kuwavimbisha nyie ili mtudharau ,huku tumeficha mabomu ya nyukria nyuma ,...


Mkija final mtakula kipigo cha mbwa koko nyie ....


Come on cityzen
 
Back
Top Bottom