Hahahahah lol kanipatiaje? Hakyamama hapa sina ujanja. Khaaa!!!
Hujakosea. Mi ndo mwenyewe. Bazazi zee la MMU. Na mlokole nilimkagua kama ninavyokagua mabinti wengine humu.
Umenipatiaje??? Khaaaa!!!
ila basi umekutana na mtu anajifanya ye flan hata humwambii log in nione unaingia kichwa kichwa nahisi alikuwa age imeeenda huyo dada lol alishajikatia tamaa kama ni kweli
mh! hii episode ya dume dada ina too much Lara 1. Kwa kuangalia mwandiko wa Lara kwa muda niliokaa humu ni mtu anayeshobokea point five. Hata hili jina nilijifunza kwake. Halafu Lara umuulize huyo mwenye ubuyu ni kitu gani kilimfanya ahisi kuwa dada dume ni 0.5 maana ni vigumu kujua rangi za watu kwa kuangalia miandiko. Miandiko inaonyesha tabia tu. Ngoja nikalale na sijui nitatumia njia gani nisishawishike kuchungulia hapa maana kesho nina kibarua kizito. We mtoto balaa wewe!
nimeona mwandiko wako tu!! 🙂
kama bazazi zeee mbona mi kisik cha mpingo umenishindwa
Unakana wakati comment ipoWeee usinisingizie jamani
Labda tunaaminianaMimi na wewe tu ndio hatujabadili
Wala age haijaenda.Umesahau amesema ni kadogo tu na mambo hakayajui wala nini.
Basi tu ni mburula kadanganyika kijinga sana.
Hio dume ni 0.5 ni speculations alizosikia toka ufukunyuku,huyo mtu anavodai hakuna anaemjua. Hatumi picha, na kama mdada anamuona siku ya kugegedwa. Hakuhisi alitonywa na wauza ubuyu humu ndani. Kama wanavosema Asprin mzee. Mfano!
NA MKINIPA HINT DUME DADA NI NANI MBONA SIKAII KUMSHOBOKEAAAAA! :lol:
swaga za mzee wa silent killer ndo wewe nn
taratibu sasa!!! teh teh
ila basi umekutana na mtu anajifanya ye flan hata humwambii log in nione unaingia kichwa kichwa nahisi alikuwa age imeeenda huyo dada lol alishajikatia tamaa kama ni kweli
hapana!! mimi ni vibrate killer!!
Watu wa mikoani wametulia,dar mkifahamiana lazima uje na id mpya unaweza kushikiwa bango una sura mbaya
haahhaaa mine wanatuchora tu huko waliko
mitusi yote tunatukanwa
kkaaqhhh wanawake sie
Afadhali ndoto kuliko kuanikwa
Hujamjua dume dada ni nani? Hahahaaaa pole sana, Hata mimi wa juzijuzi hapa MMU Lakini tayari nimesha mjua.
By the way it's too late caz ulisha mshobokea sana yani.
Hint: cheki nimejiunga lini JF then from that time to date Angalia nani ulikuwa una mshobokea sana,😄😄😄😄
lol anajipa cheo kikuu wakat hajafuzu