The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Unatakiwa utoe kila baada ya masaa mawili.

Kwa leo imeishia Escape 1, Episode ya Mbeba Box ambayo ndio ya mwisho kabisaaa KESHO ASUBUHI then itafatiwa na conclusion ya THE SILENT KILLER, JE ANASTAAFU, AU ANAENDELEA KULA MAMBO!
 
Kwa leo imeishia Escape 1, Episode ya Mbeba Box ambayo ndio ya mwisho kabisaaa KESHO ASUBUHI then itafatiwa na conclusion ya THE SILENT KILLER, JE ANASTAAFU, AU ANAENDELEA KULA MAMBO!


Shauri yako....we tibua maji ya mtoni kumbe wenzako wanatumia kunywa.
 
Hahahhaaaaaaaaaaaa! Mi simoooooo! SAHIVI DONT YOU THINK YOU NEED SOME NEW MEAT!:lol: Au na wewe yakheee wala mizogaaa?:tape2:


Hulalaaaaaaa....kwahiyo nanihii na kina nanihiii ndio mizoga eeeh....astaghafirulah laadhim
CC....tag mwenyewe
 
Shauri yako....we tibua maji ya mtoni kumbe wenzako wanatumia kunywa.

Hahahaaaaaaaaaa! NYIE WENYEWEE MMEJISHTAKIIIIIII! Mimi huyu Silent walker sikumuamini even 1 bit, lakini mlivoanza kumaliza wenyewe sina la kusemaaa. Mi yangu nimekubali GUILTY AS CHARGED. Matter of fact najiandaa kuandika MEMOIR.

Watu wanahisi, na kutaja watu, mradi kuchuma dhambi tu! IN THE END SILENT WALKER SHEMU ZINGINE ALIWATAJA WATU WENGINEE KABISAA ILA TOKAA NA SIASA ZA HUMU WANASHUKIWA WENGINE.
 
! Mama weeeeeeeeeeee! Balalaaaaaaaaaa! Kucheki hivi wako na yule shosti wake wamekaa wananitazama afu nyuso za shari. Mmmmmmh! Nikabreki kwanza. Nikawaza nikawazua nikaona nipige u turn nikimbilie kurudi kwenye gari! Kucheki nyuma wanakuja kwa kutembea kwa kasi maana wangekimbioa noma, hawakutaka umati, ujue. Nikaingia kwenye Altezaa nikaloki milango na vioo. Nikaona wana rap tu, huyooo nikaishiaa na Altezza yangu. Hahahahaaaaaaaaaa! Sijui wanasimulianaga mabwana siji, sijui alimualika bila kujua nampango wa kumla sijui,!

Kama hii stori ni kweli basi Kwa hili Tukio there is no way Lara 1 usimkumbuke huyu silent killer alikuwa ni nani! Lazima unamjua na kumkumbuka vizuri sana
 
Hulalaaaaaaa....kwahiyo nanihii na kina nanihiii ndio mizoga eeeh....astaghafirulah laadhim
CC....tag mwenyewe

HAHAHAAAAAAAAAAAAA! Usinitie kesi mimi, SITAKI DHAMBI ZA BUREEE MIE! Akhaaaaaaaaaa! Nyie hisianeni weeeeee lakini bottom line is SILENT KILLER kabadilisha kanuni za mchezo.:lol:

Alafu imagine kila mtu angenyamaza ingekuwa just another small talk, ila reactions ndo zina upa uhai scene za SILENT KILLER!
 
HAHAHAAAAAAAAAAAAA! Usinitie kesi mimi, SITAKI DHAMBI ZA BUREEE MIE! Akhaaaaaaaaaa! Nyie hisianeni weeeeee lakini bottom line is SILENT KILLER kabadilisha kanuni za mchezo.:lol:

Alafu imagine kila mtu angenyamaza ingekuwa just another small talk, ila reactions ndo zina upa uhai scene za SILENT KILLER!

Mie nishakupa angalizo kitambo tu....angalia raia wasijechomoka na tendons za miguu yote ubaki kuiona michuchumio kwenye miguu ya wenzio...
 
Nilikuwa nabemendwa na lara 1....kanizeesha vya kutosha huyu mtu maana hakuna anachojua zaidi ya migegedo heavy weight...
nakuona unawakilisha bazazi family....yule raia anaitwa Nicas Mtei yupo nchi hii?

Huyu Nicas Mtei na bazazi mwenzie KakaKiiza wanahitaji thread yao ya kujitegemea. Naandaa makabrasha nimrushie laramoko afanye mambo yake. Kutakuwa hakuna kuficha majina....
 
Last edited by a moderator:
Kama hii stori ni kweli basi Kwa hili Tukio there is no way Lara 1 usimkumbuke huyu silent killer alikuwa ni nani! Lazima unamjua na kumkumbuka vizuri sana

It is not that easy! ANGEKUWA SOME BODY POPULAR kama Vin D automatically baada ya tukio angenikomajeee, nineanzish uzi. Lakini it was some unkown guy. Never seen him before,anywhere! Huenda akawa anajulikana but mimi kama mimi simjui. I just saw him twice.:lol:

Ofcourse i was just being nice to him, alinipata alivosema he saw me on the party. Si unajua mambo ya vijana.. Anyway not a big deal! Ndo maishaaa. Na kama hivo anatumia fake ID sio his popular ID, so ukimchamba kwa ID no boy will recognize the ID. So i guess it was well a blander! I am changed now! I dont meet anybody!
 
Huyu Nicas Mtei na bazazi mwenzie KakaKiiza wanahitaji thread yao ya kujitegemea. Naandaa makabrasha nimrushie laramoko afanye mambo yake. Kutakuwa hakuna kuficha majina....


Hahahahaha.....hebu fanya hivyo faza ili panuke hapa....lara moko hebu pokea makarabrasha ya nyeti za watu.
 
Huyu Nicas Mtei na bazazi mwenzie KakaKiiza wanahitaji thread yao ya kujitegemea. Naandaa makabrasha nimrushie laramoko afanye mambo yake. Kutakuwa hakuna kuficha majina....

HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!! Uju Asprin utaniua kwa chekooo, kwa mambo yako ya kijingaaa. HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! Nacheka na mengi humo ujue. iLA aSPRIN SIJUI UMELEWA SIJUI!:lol:
 
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!! Uju Asprin utaniua kwa chekooo, kwa mambo yako ya kijingaaa. HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! Nacheka na mengi humo ujue. iLA aSPRIN SIJUI UMELEWA SIJUI!:lol:

Nilewe saa ngapi wakati umeniweka kutwa nzima hapa namfuatilia silent Killer. Nachomshukuru Mungu hao wote uliosema kawapitia hakuna koloni langu hata moja.

mwambie huyo bweg.e asijepitia kwenye anga zangu. Mi nshakanyaga miwaya atakufa na kaumri kake ka kuku.
 
Back
Top Bottom