Utunzi wa sheria wa wanaojua tu kusoma na kuandika🤔.Unategemea kutungwa sheria yenye akili na yenye kulisaidia taifa,badala ya werevu wanaowatumia vyema watunzi wa kujua kusoma na kuandika pekee.Famasiara nini☺️Sheria zetu ni mbovu hawa wahuni ilibidi wawajibishwe kama China wanavyofanya kwa mafisadi
Nani alipaswa kuwa raisi kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Tena kuonesha hao ni marafiki dereva wa Abdul ni kijana aliyekua dereva wa SameerBila shaka huyo ni Sameer Karim Alibhai, mtoto wa mwenye Shoppers. Combination na Abdul imeanzia mbali sana. 🤐 nitarudi baadaye...
6 Mons hamtakuwa mmechelewaWrong assumption. Angalia turn of events in next 6 months
Huyo alikua msaidizi wa maguKikatiba huyohuyo, but ana madudu na hayo mengine yanakuja na bado atakuwa Raisi kwa kipindi kijacho.
Na ili Tanzania ikae sawa, lazima waje watu wapya wenye fikra tofauti na hawa wanaotuona hatuna akili. Sijui watatoka wapi ila watakuja. Tena wanaweza kuja wakisindikizwa na radi na mafuriko.Hakuna, tunahitaji watu wapya, fikra mpya. Ila hawa wa kuwaza 10% kila mradi, tuna safari ndefu sana.
Acha kabisa wana ukaribu uleee. Siku anaapishwa Mama Abdul, Sameer alikuwa nyuma pale. Tunyamaze tutajikuta kwenye viroba rafiki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tena kuonesha hao ni marafiki dereva wa Abdul ni kijana aliyekua dereva wa Sameer
Sio kweli JPM ndiye aliyechagua. Alimtaka Mwinyi. Wakubwa wakamzidiHuyo alikua msaidizi wa magu
… meaning kama ni lawama apewe magu
You want to glorify one person by you don’t want to associate him with his most important choice he ever made
Magufuli ndiye aliyetupa zawadi ya Samia…. Kuna kitu aliona
Naamini kipo
Na control number ambazo ni fake ni wao nini?, maana mtu wa ngazi zetu za kawaida kuweza maufundi ya aina hii ni ngumu, a one should be a big Papa!Naam, ni yeye. Wanafanya ujinga mwingi mjini.
Tutaanika kila kitu soon. Wanajiona wajanja ila mwisho wao umekaribia
Kuna ushahidi wa video akisema yeye ndiye aliyechaguaSio kweli JPM ndiye aliyechagua. Alimtaka Mwinyi. Wakubwa wakamzidi
Kuna ushahidi wa video akisema yeye ndiye aliyechagua
Kumbee 😳 !Kuna mapacha wanne Abdul, Rostam, JK na Makamba
Hawa ndiyo wanajua nchi ipo waziKumbee 😳 !
Dikteta kumbe alikuwa ni mgonjwa bhanaYule alikuwa anapenda kujipa hata asivyokuwa navyo. Je kweli TZ ilikuwa donor country? Ukweli ni kuwa hakuwa na nguvu hizo
🙄😳🤦🏽♂️Hawa ndiyo wanajua nchi ipo wazi
Lo !Aliye mtapeli Riziwani kikwete milion 4 aenda jera miaka saba (7),
Sourece: swahili times
Aliye mtapeli Riziwani kikwete milion 4 aenda jera miaka saba (7),
Sourece: swahili times