The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

Nani atamfunga Paka kengele?

Katika kosa kubwa litakalo gharimu maisha ya Watanzania wengi kizazi na kizazi, ni kuendelea kuitumia Katiba iliyopo ambayo Rais wa Nchi ni Mungu wa Tanzania.

Kwamba yeye ni Alpha na Omega 🙌
 
Kikatiba huyohuyo, but ana madudu na hayo mengine yanakuja na bado atakuwa Raisi kwa kipindi kijacho.
Huyo alikua msaidizi wa magu
… meaning kama ni lawama apewe magu

You want to glorify one person by you don’t want to associate him with his most important choice he ever made

Magufuli ndiye aliyetupa zawadi ya Samia…. Kuna kitu aliona

Naamini kipo
 
Huyo alikua msaidizi wa magu
… meaning kama ni lawama apewe magu

You want to glorify one person by you don’t want to associate him with his most important choice he ever made

Magufuli ndiye aliyetupa zawadi ya Samia…. Kuna kitu aliona

Naamini kipo
Sio kweli JPM ndiye aliyechagua. Alimtaka Mwinyi. Wakubwa wakamzidi
 
Back
Top Bottom