The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

Makonda alishamwambia atawanyike
 
Hujui usemacho
 
Yule alikuwa anapenda kujipa hata asivyokuwa navyo. Je kweli TZ ilikuwa donor country? Ukweli ni kuwa hakuwa na nguvu hizo
Unachanganya madesa

Two different contexts

He was a dreamer and a doer

He did recommended dr samia… doer
He did boast that e are a donor country … dreamer
 

Eehhh!
Tunashukuru Sana
 
Katika watu ambao makonda anatamani kwenye 18 zake basi ni huyo mzungu pori maana tangia enzi akiwa UVCCM alikuwa akimpigia kelele aondoke alivyoiba vimemtosha.
 
Kingmaker.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…