Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 585
- 955
Sana magazeti yamechafuliwa hatari.Na itasemwa kila mahala kwamba kuna tapeli ameshughulikiwa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana magazeti yamechafuliwa hatari.Na itasemwa kila mahala kwamba kuna tapeli ameshughulikiwa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Makonda alishamwambia atawanyikeKuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.
Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?
Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?
Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.
Bantu lady katika ubora wako [emoji114]Bila shaka huyo ni Sameer Karim Alibhai, mtoto wa mwenye Shoppers. Combination na Abdul imeanzia mbali sana. [emoji850] nitarudi baadaye...
Hujui usemachoIla ifike mahali Mzee wa Msoga ajitafakari na kuona namna alivyotenda sivyo enzi zake kwa mikataba ya kishezi na kifisadi akishirikiana na hawa watu!
Bado anaendelea kushirikiana nao ktk ambo ya kifasadi na wizi kila uchwao bila kujali kuwa analipwa mabilioni kwa kodi za wananchi anaowadhulumu!
Wazee wenye hekima akina Butiku, Warioba na Pinda hebu mkemeeni huyu mtu kwani tunaona Usalama nao wako ndani ya "mtego"
DS ya nchi ipi iliyopo kwaajili ya watu wengi?DS ya Taifa hili ipo kwa niaba ya kulinda kundi la wachache wezi kwa kuumiza kundi la walio wengi kwa kulinda mali zao na nafasi zao.
Mambo ni mengiNgoja tuone moambanonkayi ya wenye fedha na wazalendo wasio nacho. Nawaonea huruma wazalendo, maana nchi hii wezi wanaitwa wajanja.
Unachanganya madesaYule alikuwa anapenda kujipa hata asivyokuwa navyo. Je kweli TZ ilikuwa donor country? Ukweli ni kuwa hakuwa na nguvu hizo
Aibu kubwa sn🙄😳🤦🏽♂️
Unaingia wewe. Mbona hujiamini.Tatizo unaing'oa anaingia nani mkuu!
Kina Mbowe?
Unachanganya madesa
Two different contexts
He was a dreamer and a doer
He did recommended dr samia… doer
He did boast that e are a donor country … dreamer
Even if it’s well Documented so what 🙄?
They are also well prepared for anything to come whatsoever 😳
Shamba la Bwana Heri ………
Umemention enzi za JK , kwani kipi kimefanyika mpaka saa hii ?
Na kipi unafikiri kitafanyika baada ya hicho ulichokisema- ni suala la muda tu ???😳🤠🤠🤠
Kingmaker.......Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.
Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?
Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?
Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.
Kwa jicho la tatu...hii tunaiona kuita mtu chemba akupoze usimwage mchele wake kwenye kuku wengi!!Tutaanika kila kitu soon. Wanajiona wajanja ila mwisho wao umekaribia
DS kirefu chake pleaseDS ya nchi ipi iliyopo kwaajili ya watu wengi?
SSH ni dhaifu sana kiuongozi, wengi si wasafi ila huyu ameongezea na udhaifu kiuongozi na kiutawalakuna kiongozi wa CCM amabae ni msafi?