The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

Abdul - Kijana mpendwa wa Mama
Waziri Salum - Katibu binafsi wa Mama

Ogopa watu wakimya na wafis dini huwa wana uchafu mwingi sana

Tuendelee kuhesabu nukta...
Huyu Waziri yupo benet na Samia kila sehemu.Binafsi sijawahi ona katibu binafsi wa Rais akiwa benet na Rais kila sehemu.
Halafu huyo Waziri elimu ya kuunga unga tu.Ila ndo hivyo Uzanzibari umembeba.
 
Abdul - Kijana mpendwa wa Mama
Waziri Salum - Katibu binafsi wa Mama

Ogopa watu wakimya na wafis dini huwa wana uchafu mwingi sana

Tuendelee kuhesabu nukta...
warsam85-07-06-2024-0001.jpg
 
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.

Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?

Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?

Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.

Nchi inaharibika sana hii. Kuna mambo yanakera mno
 
Sana tena walianza Mama Abdul akiwa Vice P. Kwa nchi inayojitambua, Mama hakuwa na sifa za kuwa Raisi. Naona muendelezo, watakomba kila kitu. Watanzania sijui tulikosea wapi!!!

Moja ya project zetu za hovyo za kufanya experiment za uongozi. This project has failed miserably. Na waliofanya hii project sijui wanajisikiaje
 
Even if it’s well Documented so what 🙄?

They are also well prepared for anything to come whatsoever 😳
Shamba la Bwana Heri ………

Umemention enzi za JK , kwani kipi kimefanyika mpaka saa hii ?
Na kipi unafikiri kitafanyika baada ya hicho ulichokisema- ni suala la muda tu ???😳🤠🤠🤠

Times change...jana sio leo Arifu
 
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.

Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?

Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?

Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.
Kuna mapacha wanne Abdul, Rostam, JK na Makamba
 
Tunataka Katiba Mpya itakayoruhusu Raisi kushtakiwa na kuburuzwa Mahakamani kwa Rushwa Upigaji na Wizi wa Mali za Umma.
KATIBA MPYA NI SASA ✌️✌️✌️
 
Back
Top Bottom