The new Nairobi commuter trains are mouth-watering and are on the way to Mombasa port

The new Nairobi commuter trains are mouth-watering and are on the way to Mombasa port

Let us worry about service. Hilo halikuhusu ndewe wala sikio. Wewe ulitaka kuonyesha watu hapa JF kwamba ni Kenya pekee iliyoamua kununua hizi trains eti kwa sababu sisi ni wajinga na hatuna akili. Nchi kama France ambayo inatengeneza electric trains pia imenunua hizi trains mnazoita mtumba.
Hahahaha, logic ya ninyi kununua used old DMU ni kwasababu nchi zingine za Ulaya zimenunua au mumeangalia uwezo wenu wa kuweza kuziendesha?, tatizo lenu ndio hilo ninyi wakenya, kwasababu Chris Kirubi amenunua Private jets, basi inahisi ni sahihi kwa Hassan Joho kununua private jets, tumieni akili zenu vizuri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo hiiView attachment 1508312

Ndio hii
mwaki1.JPG
mwaki2.jpg
mwaki3.jpg
 
Mandarin weaponized contracts 🙌🙌
Sasa mnaleta commuter trains mjini, ni wazo zuri. But mko na ujenzi wa barabara ya juu ya kulipia. Abiria watatumia treni zaidi na hivyo mapato ya kulipia barabara yatapungua na it will take a long period to service the debt! Sasa kwa hizo mandarin weaponized contracts huwezi jua mtakuwa mmeweka nini rehani hapo. Mbona hamna vipaumbele nyie watu?
 
Skiza hapa mzee.
Magufuli aweke number ya waliokufa au asiweke, the fact remains that corona inaua watu and there is nothing special with a Tanzanian human body eti haiwezi kuugua au kufa corona.
Corona iko na inaua and Tanzania is no exemption. We will remember magufuli as the president who failed to honor and recognise wanainchi wake ambao wanakufa corona.

Tanzania has no experience, reference materials au data as far as corona is concerned so if corona hits back later in life itabidi mkomboe madakatari toka Kenya.
And let's hope when the vaccine comes out CCM hawataitisha maana wanasema corona haiko

Tanzania has no reference material on anything since all data is so sensored.
Hahahaha, kwanini Uganda hawafi?, stupid Kenya, hamna lolote mnaloweza zaidi ya tribalism and Corruption. Uganda inawazidi, Rwanda inawazidi katika kupambana na Corona, vipi mtaweza kujilinganisha na Tanzania, jaribuni kufungua shule na vyuo, na msichukue tahadhari yoyote ikuwemo ya kutovaa masks na kuruhusu michezo kama tulivyo Tanzania muone kama hamtoizidi USA katika idadi ya vifo, Kenya ni failed state huwezi linganisha na Tanzania.
 
Skiza hapa mzee.

Magufuli aweke number ya waliokufa au asiweke, the fact remains that corona inaua watu and there is nothing special with a Tanzanian human body eti haiwezi kuugua au kufa corona.

Corona iko na inaua and Tanzania is no exemption. We will remember magufuli as the president who failed to honor and recognise wanainchi wake ambao wanakufa corona.

Tanzania has no experience, reference materials au data as far as corona is concerned so if corona hits back later in life itabidi mkomboe madakatari toka Kenya.
And let's hope when the vaccine comes out CCM hawataitisha maana wanasema corona haiko

Tanzania has no reference material on anything since all data is so sensored.
COVID-19: Why Uhuru Should Consult Magufuli as Another Lockdown Looms in Kenya

Hahahaha, hahahaha
 
Wameanza kejeli masengenyo na uongo. Commuter trains za Tanzania ziko wapi?
Usisahau hii ni part ya commuter railway programme ..kuna ile ya electric railway yenye itajengwa na france..from JKIA to CBD town..itakua noma sana...its is part of this project..https://www.youtube.com/watch?v=E2D8dDx1Rb8&t=121s
 
Back
Top Bottom