Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni same kabisa. Wacha ujinga wewe. Una utoto sana wewe kijana. Soma hio article vizuri.Na Kwa akili yako unafikiri second hand anayouziwa France Ni sawa na second hand anayouziwa Nyang'au
Wazee wa copying n pasting,endeleeni kuwaiga wazu GU,pumbavu sanaKama France na Portugal wamenunua mbona sisi tusinunue?
Nasama kama ni mitumba Uzi ufutwe ,kweli tz hivi punde tutakuwa juu sana kama France na Portugal wananunua mitumba kwa transport zao wakati tz tunanunua brand new, kweli huu mwaka mabeberu watatii siyo wakenya peke yao.Kama France na Portugal wamenunua mbona sisi tusinunue?
Du! Kwanini na jeshi letu lisiwauzie wakenya siraha zetu chakavu ili ziwasaidie kupigana na al shababu maana zipo nyingi za zamani hadi zinatulipukia bure wakati KDF hipo.Hizi zimeuzwa baaba ya hiyo nchi kuweka umeme katika railway, Kenya ni dumping area for scrapers.
Tz tunazo siraha za kivita nyingi chakavu vp kdf tukiwauzia si zitasaidia mapigano na al shababu ,ukizingatia jwtz ni jeshi jasiri nadhani hata askali wenu wa kdf wakishika siraha za mitumba kutoka tz watapata ujasiri wa kujihisi wanaume maana watakuwa wamepata moyo kwa kukamata siraha za makomando watzKwa nini France na Portugal hawanunui vitu vipya? Kwa nini wao wanahatarisha maisha ya watu wao kwa kununua old trains?
Hivyo vyuma chakavu muda siyo mrefu vitageuka skrepa za kuishi chokoraa wa slum za kibera noti mayi wooodiLet us worry about service. Hilo halikuhusu ndewe wala sikio. Wewe ulitaka kuonyesha watu hapa JF kwamba ni Kenya pekee iliyoamua kununua hizi trains eti kwa sababu sisi ni wajinga na hatuna akili. Nchi kama France ambayo inatengeneza electric trains pia imenunua hizi trains mnazoita mtumba.
Wazo zuri sana hili. HahahahaDu ! Kwanini na jeshi letu lisiwauzie wakenya siraha zetu chakavu ili ziwasaidie kupigana na al shababu maana zipo nyingi za zamani hadi zinatulipukia bure wakati kdf hipo
@Tony254 soma hapo upate akili mnauziwa slum second hand skrepaNa Kwa akili yako unafikiri second hand anayouziwa France Ni sawa na second hand anayouziwa Nyang'au
Kwnn unaongelea habari ya France na Portugal? Km France na Portugal wamenunua hzo kwahyo na nyie hamna haki ya kumiliki vitu vipya? Kwnn Wakenya mnakuwa na fikra za kitumwa km hv? Mbn cc hatukutaka kuckiliza wazungu tulipoamua kujenga bwawa kubwa la umeme EA, mbn tuliamua kununua ndege mpya kutoka kiwandani kwa cash basis kwn hatujui kwmb zipo nchi za ulaya ambazo hazinunui kwa cash?Zimeuziwa pia France na Portugal. Kwa hivyo France na Portugal pia ni dumping ground ya scrapers?
France and Portugal ni kina nani? Kwahyo France na Portugal wakiamua wanaume wote waingiliwe kinyume na maumbile nanyi mtaanza kuingiliwa kinyume na maumbile cz France na Portugal wanafanywa hvyo c ndiyo, kwnn Wakenya mnakuwa brainwashed hv?Kwa nini France na Portugal hawanunui vitu vipya? Kwa nini wao wanahatarisha maisha ya watu wao kwa kununua old trains?
Hebu tulinganishe [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] ndo hiiView attachment 1508312
Corona in Tanzania [emoji3][emoji3] ur pathetic, u know what? Tz is so blessed country, I wish the lesson on why locusts didn't invade our lovely and blessed country could teach u something.Skiza hapa mzee.
Magufuli aweke number ya waliokufa au asiweke, the fact remains that corona inaua watu and there is nothing special with a Tanzanian human body eti haiwezi kuugua au kufa corona.
Corona iko na inaua and Tanzania is no exemption. We will remember magufuli as the president who failed to honor and recognise wanainchi wake ambao wanakufa corona.
Tanzania has no experience, reference materials au data as far as corona is concerned so if corona hits back later in life itabidi mkomboe madakatari toka Kenya.
And let's hope when the vaccine comes out CCM hawataitisha maana wanasema corona haiko
Tanzania has no reference material on anything since all data is so sensored.
Wewe shoga unajua nini kuhusu vita?Tz tunazo siraha za kivita nyingi chakavu vp kdf tukiwauzia si zitasaidia mapigano na al shababu ,ukizingatia jwtz ni jeshi jasiri nadhani hata askali wenu wa kdf wakishika siraha za mitumba kutoka tz watapata ujasiri wa kujihisi wanaume maana watakuwa wamepata moyo kwa kukamata siraha za makomando watz
Safi [emoji382][emoji382][emoji3][emoji3]
Koroshow vp wamelipwa?[emoji3][emoji3][emoji3]Steam Engine za Tz
View attachment 1508359
SGR Tz na usisahau imeshindikana kukamilika tangu ahadi za Nov 2019
View attachment 1508361
Tupo tofauti sn kwenye hilo cc huku tunaongelea habari za EMUs.Aisee, mbona majirani mna hasira hivi? Kwani treni tunazozitumia sasa hivi ni za mwaka gani? Majungu mnawaelekezea wakenya ila kwa wafaransa na wareno ambao wamezinunua pia mnabaki kimya. Huo ni upumbavu, mnakaribishwa Nairobi lakini, mje mkenue kenu mkijionea commuter train. Hii ndio itakuwa taswira hivi karibuni vitu kama hivi 15 vikitua bandarini Mombasa.![]()
Perhaps 2070[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1508581
Hello finally i have something to share from ministry of energy..SGR finally itakua electrified...nairobi will be on another level by 2023