Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
wazee wa secondhand though as always at a price of brand new!Kumbe wewe ng'ombe una wivu kushinda joto la jiwe na Geza Ulole? Tutadeal na wewe hadi urudi laini. Wivu za kike usilete huku. Wewe nenda kachangie nyuzi za mapenzi na mapambo. We don't want negativity here please.
This is what I got. 😂 😂
View attachment 1508310
Hahahaha, logic ya ninyi kununua used old DMU ni kwasababu nchi zingine za Ulaya zimenunua au mumeangalia uwezo wenu wa kuweza kuziendesha?, tatizo lenu ndio hilo ninyi wakenya, kwasababu Chris Kirubi amenunua Private jets, basi inahisi ni sahihi kwa Hassan Joho kununua private jets, tumieni akili zenu vizuri.Let us worry about service. Hilo halikuhusu ndewe wala sikio. Wewe ulitaka kuonyesha watu hapa JF kwamba ni Kenya pekee iliyoamua kununua hizi trains eti kwa sababu sisi ni wajinga na hatuna akili. Nchi kama France ambayo inatengeneza electric trains pia imenunua hizi trains mnazoita mtumba.
Sasa mnaleta commuter trains mjini, ni wazo zuri. But mko na ujenzi wa barabara ya juu ya kulipia. Abiria watatumia treni zaidi na hivyo mapato ya kulipia barabara yatapungua na it will take a long period to service the debt! Sasa kwa hizo mandarin weaponized contracts huwezi jua mtakuwa mmeweka nini rehani hapo. Mbona hamna vipaumbele nyie watu?
Mandarin weaponized contracts 🙌🙌
Hahahaha, kwanini Uganda hawafi?, stupid Kenya, hamna lolote mnaloweza zaidi ya tribalism and Corruption. Uganda inawazidi, Rwanda inawazidi katika kupambana na Corona, vipi mtaweza kujilinganisha na Tanzania, jaribuni kufungua shule na vyuo, na msichukue tahadhari yoyote ikuwemo ya kutovaa masks na kuruhusu michezo kama tulivyo Tanzania muone kama hamtoizidi USA katika idadi ya vifo, Kenya ni failed state huwezi linganisha na Tanzania.Skiza hapa mzee.
Magufuli aweke number ya waliokufa au asiweke, the fact remains that corona inaua watu and there is nothing special with a Tanzanian human body eti haiwezi kuugua au kufa corona.
Corona iko na inaua and Tanzania is no exemption. We will remember magufuli as the president who failed to honor and recognise wanainchi wake ambao wanakufa corona.
Tanzania has no experience, reference materials au data as far as corona is concerned so if corona hits back later in life itabidi mkomboe madakatari toka Kenya.
And let's hope when the vaccine comes out CCM hawataitisha maana wanasema corona haiko
Tanzania has no reference material on anything since all data is so sensored.
Sasa hizi ni nini? Compare those with these our old Commuter trains 😂 😂
View attachment 1508326View attachment 1508327View attachment 1508328View attachment 1508330View attachment 1508333
Steam Engine za TzWameanza kejeli masengenyo na uongo. Commuter trains za Tanzania ziko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Steam Engine za Tz
View attachment 1508359
SGR Tz na usisahau imeshindikana kukamilika tangu ahadi za Nov 2019
View attachment 1508361
COVID-19: Why Uhuru Should Consult Magufuli as Another Lockdown Looms in KenyaSkiza hapa mzee.
Magufuli aweke number ya waliokufa au asiweke, the fact remains that corona inaua watu and there is nothing special with a Tanzanian human body eti haiwezi kuugua au kufa corona.
Corona iko na inaua and Tanzania is no exemption. We will remember magufuli as the president who failed to honor and recognise wanainchi wake ambao wanakufa corona.
Tanzania has no experience, reference materials au data as far as corona is concerned so if corona hits back later in life itabidi mkomboe madakatari toka Kenya.
And let's hope when the vaccine comes out CCM hawataitisha maana wanasema corona haiko
Tanzania has no reference material on anything since all data is so sensored.
You can just try by far to complete with Dodoma bus terminalFor those asking how the trains will be operated, let me show what is in place for them.
This Imara Daima railway station.
View attachment 1508320View attachment 1508324View attachment 1508325View attachment 1508323
Remember those which you brag are second hands.Sasa hizi ni nini? Compare those with these our old Commuter trains 😂 😂
View attachment 1508326View attachment 1508327View attachment 1508328View attachment 1508330View attachment 1508333
Na Kwa akili yako unafikiri second hand anayouziwa France Ni sawa na second hand anayouziwa kenyaZimeuziwa pia France na Portugal. Kwa hivyo France na Portugal pia ni dumping ground ya scrapers?
Unateseka kweli, sasa umetoka trains to buses? Typical Tangajinga person.You can just try by far to complete with Dodoma bus terminalView attachment 1508386
That's where you can compete...our upcoming project on commuter trains you will dig your head under the ground.Unateseka kweli, sasa umetoka trains to buses? Typical Tangajinga person.
48 more are coming up in Nairobi and by 2022 they will be completed. Charles Hinga has confirmed on his twitter accountMy friend Nairobi sio kama Dar. We have really invested in train transport. The only thing that was lacking were modern trains. Take a look at what awaits those trains. These are new substations built last year.
View attachment 1508234View attachment 1508236View attachment 1508239
Usisahau hii ni part ya commuter railway programme ..kuna ile ya electric railway yenye itajengwa na france..from JKIA to CBD town..itakua noma sana...its is part of this project..https://www.youtube.com/watch?v=E2D8dDx1Rb8&t=121sWameanza kejeli masengenyo na uongo. Commuter trains za Tanzania ziko wapi?