The new Nairobi commuter trains are mouth-watering and are on the way to Mombasa port

Na Kwa akili yako unafikiri second hand anayouziwa France Ni sawa na second hand anayouziwa Nyang'au
Ndio ni same kabisa. Wacha ujinga wewe. Una utoto sana wewe kijana. Soma hio article vizuri.
 
Kama France na Portugal wamenunua mbona sisi tusinunue?
Nasama kama ni mitumba Uzi ufutwe ,kweli tz hivi punde tutakuwa juu sana kama France na Portugal wananunua mitumba kwa transport zao wakati tz tunanunua brand new, kweli huu mwaka mabeberu watatii siyo wakenya peke yao.
 
Kwa nini France na Portugal hawanunui vitu vipya? Kwa nini wao wanahatarisha maisha ya watu wao kwa kununua old trains?
Tz tunazo siraha za kivita nyingi chakavu vp kdf tukiwauzia si zitasaidia mapigano na al shababu ,ukizingatia jwtz ni jeshi jasiri nadhani hata askali wenu wa kdf wakishika siraha za mitumba kutoka tz watapata ujasiri wa kujihisi wanaume maana watakuwa wamepata moyo kwa kukamata siraha za makomando watz
 
Hivyo vyuma chakavu muda siyo mrefu vitageuka skrepa za kuishi chokoraa wa slum za kibera noti mayi wooodi
 
Zimeuziwa pia France na Portugal. Kwa hivyo France na Portugal pia ni dumping ground ya scrapers?
Kwnn unaongelea habari ya France na Portugal? Km France na Portugal wamenunua hzo kwahyo na nyie hamna haki ya kumiliki vitu vipya? Kwnn Wakenya mnakuwa na fikra za kitumwa km hv? Mbn cc hatukutaka kuckiliza wazungu tulipoamua kujenga bwawa kubwa la umeme EA, mbn tuliamua kununua ndege mpya kutoka kiwandani kwa cash basis kwn hatujui kwmb zipo nchi za ulaya ambazo hazinunui kwa cash?

Kwnn tuliamua kujenga reli ya umeme kwa kipande cha Dar-moro kwa pesa za ndani kabla ya kusubiri mkopo unadhani hatujui kwmb kuna nchi hata pesa za barakoa zinasubiri msaada? Acheni upuuzi muwe mnaipigia kelele serikali yenu inapofanya ujinga, cz mcpofanya hvyo hayo ma second hand yatazd kuwauwa kila uchwao, lkn pia hayo ma used huwa yanaongeza gharama za uendeshaji muwe mnatumia akili.
 
Kwa nini France na Portugal hawanunui vitu vipya? Kwa nini wao wanahatarisha maisha ya watu wao kwa kununua old trains?
France and Portugal ni kina nani? Kwahyo France na Portugal wakiamua wanaume wote waingiliwe kinyume na maumbile nanyi mtaanza kuingiliwa kinyume na maumbile cz France na Portugal wanafanywa hvyo c ndiyo, kwnn Wakenya mnakuwa brainwashed hv?
 
Aisee, mbona majirani mna hasira hivi? Kwani treni tunazozitumia sasa hivi ni za mwaka gani? Majungu mnawaelekezea wakenya ila kwa wafaransa na wareno ambao wamezinunua pia mnabaki kimya. Huo ni upumbavu, mnakaribishwa Nairobi lakini, mje mkenue kenu mkijionea commuter train. Hii ndio itakuwa taswira hivi karibuni vitu kama hivi 15 vikitua bandarini Mombasa.

 
Corona in Tanzania [emoji3][emoji3] ur pathetic, u know what? Tz is so blessed country, I wish the lesson on why locusts didn't invade our lovely and blessed country could teach u something.
 
Wewe shoga unajua nini kuhusu vita?
 
Tupo tofauti sn kwenye hilo cc huku tunaongelea habari za EMUs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…