Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Nipo mkuu lol, bado naamini dallas watachukua ubingwa.
Lazima wafanye kila njia washinde Thursday wasizubae kama leo huku wenzao wamekuja kuwamaliza forth quarter.
Mwenzio Mark Cuban haamini what is happening!