The Oman Connection: Kikwete in 2012 and Samia in 2022

The Oman Connection: Kikwete in 2012 and Samia in 2022

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam wakuu,

Tuachane na habari za Ngorongoro huko Loliondo kwa muda kidogo.

Kuna hizi picha mbili za Kisiasa.

Baada ya Miaka 10, Sehemu alipopigia Picha Kikwete ndipo Kapigia Picha Rais Samia. Wote Wamefanya ziara kwa Siku 3.

Pia soma:

1. Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

2. Wamasai wa Loliondo Washinda kesi Mahakama ya Afrika Mashariki

3. KASHFA: Serikali yawanyang'anya wamasai ardhi na kuwapa DUBAI ROYAL FAMILY
IMG_20220612_223335_282.jpg

Screenshot_20220612-224727.png

Screenshot_20220612-225739.png
 
Na mkumbuke next week High season inaanza ...

Tourism industry is very sensitive to handle

Mchuma janga.....
 
Salaam wakuu,

Tuachane na habari za Ngorongoro huko Loliondo kwa muda kidogo.

Kuna hizi picha mbili za Kisiasa.

Baada ya Miaka 10, Sehemu alipopigia Picha Kikwete ndipo Kapigia Picha Rais Samia.

Pia soma:

1. Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

2. Wamasai wa Loliondo Washinda kesi Mahakama ya Afrika Mashariki

3. KASHFA: Serikali yawanyang'anya wamasai ardhi na kuwapa DUBAI ROYAL FAMILY
View attachment 2258779
Huyu mama kweli ni kikweteism.
Duh, wacha tuendelee kutafakari!
Huenda tusoyajua ni mengi kuliko tuyajuayo!
 
Salaam wakuu,

Tuachane na habari za Ngorongoro huko Loliondo kwa muda kidogo.

Kuna hizi picha mbili za Kisiasa.

Baada ya Miaka 10, Sehemu alipopigia Picha Kikwete ndipo Kapigia Picha Rais Samia. Wote Wamefanya ziara kwa Siku 3.

Pia soma:

1. Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

2. Wamasai wa Loliondo Washinda kesi Mahakama ya Afrika Mashariki

3. KASHFA: Serikali yawanyang'anya wamasai ardhi na kuwapa DUBAI ROYAL FAMILY
View attachment 2258779
View attachment 2258796
View attachment 2258804
Kama wamepiga picha ikulu ya Oman ulitaka iwe tofauti
Hivi shule mlienda kujifunza ujinga?
 
Back
Top Bottom