The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

Mbowe vipi shule? na leo anatakiwa kufanya mtihani?

na gazeti la chadema la leo limekanusha kuwa chadema sio ile chagga development manifesto-Chadema, ilikuwa miaka ya zamani. tunaomba ukweli wa jambo hili.www.freemedia.co.tz mtaona habari hii.

Mnyika njoo utuweke sawa.
 
Deni lako nimemaliza, sasa aliyebaki ni huyu mwenye majina 40, kaa chonjo ninakuja monkey mchezo umekwisha vitisho eti una picha kumbe ndio maaana wananchi hapa walikuwa wanalalamika,

Watu wantaka kujadili taifa wengien wanakuja kutisha watu, ndio maana tutaletewa Richmond siku zote,

Wewe Mzee Upupu hapo ninajua kuwa umeshaeelewa kuwa ninakuja hayo maneno yako ya kimbea ninayaona bro, lakini kama nilivyoahidi nitalipa deni silali na madeni hata siku moja!
 
Huna kitu wewe Es....mi nilijua utarudi tu. Hata wiki haijapita....huyo umerudi mbio mbio....we bonge la fraud
 
Kijana nimekwambia hivi huna kitu, sasa nitakuacha ukae pembeni nitawaingia waleeeeee!, halafu nitarudi zangu shimoni!
 
Utawaingia wale akina nani na utawaingia kivipi?? Sikujua kama kuna mashoga wenzako humu ndani....haya wachukue muende zenu huko shimoni
 
Jina la Bob EBBY Johnson, ni mimi niliyekutajia kule BCS, otherwise mimi huwa siongei matusi kwenye jumuiya na wanajamiiii, mimi ni hoja kwa hoja bro,

Ninapokutana na watu kama wewe huwa ninawaachia wananchi waamue mwenye akili nani na asiyekuwa nazo, nafikir wakati umefika wa kukuban kabisaaaaa maana hakuna reform wala therapy inayoweza kukusaidia, wewe tukana tani yako, lakini ninaisaidia hii forum ili usije ukatisha watu tena, ndio the goal ya kusimama na wewe uso kwa uso,

Mzee Bob, ninakuomba radhi kwa kitendo kisichokuwa na uungwana alichokufanyia huyu ndugu, si uaona tu kwa maneno yake hapo juu kuwa the man needs a help, kwa hiyo mimi ninaubeba msalaba aliokutwisha ndugu yangu Bob ndio kibinadamu, maana mtu mwenyewe kama unavyomuona!
 
Yaani wewe li mzee Es huna akili kabisa. Wewe ndio waleee wenye IQ ya pointi 60 anaowazungumziaga Raj patel. Kwanza hujui kuandika, pili hujui hata jinsi ya ku-spell maneno ya kiswahili. Hivi wewe umesoma wapi wewe? Maana hata raia mwenye elimu ya ngumbaru anakushinda. Unatia aibu na kinyaa. Halafu eti unajidai we mbunge.....kweli hao unaowawakilisha wameliwa kama kweli mbunge wao ndio wewe usiejua hata kuandika!!!!!!!!!

Tatu, asilimia 90 ya mabandiko yako hueleweki hata unaongea nini. Sasa tazama hapo juu sijui ndio umeongea madudu gani. Eti ulinitajia jina la "Bob EBBY Johnson"....what the hell are you talking about?? Kama unamzungumzia Mkandara...basi hapo umepotea kabisa. Mimi namfahamu bwana Abdalah tokea siku nyingi tu. Huwa naenda sana Toronto na nimewahi kukutana naye mara kadhaa lakini yeye hakunistukia. Sasa wewe umeanza kuongea utumbo wako hapa. Ni bora urudi huko shimoni ulikokuwa
 
Nyani Ngabu,
Pleeease!..Kama tunafahamiana toka Bongo imekuwaje nisikushtukie!
Pili, viwanja navyokwenda mimi mbongo design design haendi kabisa ...sema umewahi kusikia habari zangu nzito!....
Umewahi kufika TO!... hapo ulipo hata hujui CN tower iko mtaa gani!

Njabu, tuache sisi tuzungumze ya maana hapa. Mtu mzima sasa fanya kidogo kuheshimu umri wako!...
 
Mkandara...mimi T-Dot ni kama nyumbani....kama hutaki kuniamini wewe holla kwenye PM nikueleze zaidi
 
Halafu kwa taarifa yako mimi sio mbongo design design (sijui una maana gani).....Hilo li mzee es mnalolitukuza ndio li kinara la matusi...tokea enzi za bcstimes. Sijui kwa nini mnalifumbia macho hilo.

Lenyewe ndio limerudi na kuanza kuniita mimi Mrs Nyani...so what am I to do??? Je, hukumbuki jinsi lilivyomshambulia (kumtukana) Mwanakijiji kule bcstimes?? Au kumbukumbu yako si nzuri.

Hili Li mzee es linahitaji kibano kama Raj Patel
 
The more things change the more they remain the same. And some people will never change.
 
You are right!! Some people never change
And I hope you had a broader perspective in mind when you wrote that
 
Humu ndani wengi wenu ni wanafiki wa hali ya juu. Mnawafumbia macho na kuwakumbatia vinara wa matusi na kuwalaani wengine hata kama hawakuanza wao kutukana.

Na wewe Jasusi unaingilia mambo ambayo hayakuhusu.....was it necessary for you to make that little smart comment?? Ukijibiwa mapigo unaanza kulala. Wewe kama hayakuhusu kaa kimya la sivyo unajitakia usiyoyataka.
 
jamani,one of the reasons we have PM's,is because of issues like these! Mimi naona hayo ma-beef yenu mngeendeleza kwenye PM,sioni kuna faida gani kwetu sisi kuendelea kusoma ugomvi wa watu wazima.Maana sasa naona kuna bidii ya watu kujua identity za wengine,tayari wengine wamesha tajwa majina,sijui ni ya kweli au sio,but i think its getting out of hand,and it is becoming way too boring!
 
my motto is very simple.. "Hoja hujibiwa kwa hoja"! wenye muda wa kudiscuss people.. go right ahead!
 
my motto is very simple.. "Hoja hujibiwa kwa hoja"! wenye muda wa kudiscuss people.. go right ahead!

Give me a break!!!! Have you always adhered to that motto??? Hell to the no.
Mbona na ulimtukana Njabu Ngabu na Mpilipili?
Ndio maana nasema mijitu mingu humu minafiki........
 
Kichwamaji,
Ebu tufunulie juzuu hii basi?...
Kweli hata mimi nimetoka mtupu zaidi ya kuifikiria kuwa wale jamaa walikuwa na njaa kali Chadema ndio maana wamehama...
Je, ni kweli Chadema kuna njaa!... kama hakuna basi Makamba alikuwa na maana nyingine tofauti ambayo bado inanipa shida!

Ndugu Mukandara,

Labda tupange maneno vizuri. Makamba alisema wanakuja kuganga njaa. Si njaa ya chma chao, bali nja yao wenyewe - matumbo yao! Wenye kuendekeza njaa ni wengi. Hukumbuki waliogombea ubunge mwaka 1995 ili wapate ruzuku ya serikali, na ilipopatikana wakaingia mitini hata bila kufanya kampeni? Hukumbuki waliojitokeza kugombea ubunge Chadema mwaka juzi, wakitarajia kupewa ruzuku (kuna rumours zilipita kwamba conservative ingewafadhili -kumbe uzushi); walipozikosa wakarubuniwa na CCM na kudai wamenyimwa hela amnazo zimeingiwa kwenye chopper ya Mbowe? Hawa walisukumwa na tamaa ya hela si upambanaji. Mlolongo ni mrefu, na wengine watajitokeza wakati wowote.
 
Give me a break!!!! Have you always adhered to that motto??? Hell to the no.
Mbona na ulimtukana Njabu Ngabu na Mpilipili?
Ndio maana nasema mijitu mingu humu minafiki........

sawa. watu hujifunza kutokana na makosa, nisingewatukana jamaa hao kwani kwa kufanya hivyo nilijishusha hadhi yangu na kwenda huko waliko. Since then, nimekataa kutukanana na watu ambao nahisi wana akili timamu. So, yes I never adhered to this motto all the time in the past, but from now on, my move is up and up only! Nakukaribisha Mheshimiwa.
 
Ngabu,
Basi baba mbona machungu yanazidi? wangu tupe pumzi kidogo basi!
Hatumwachi nje Mzee Es, tatizo ni kwamba yeye amekuwa hoja badala ya maswala. Pili, yeye kazungumzia kuwakosoa watu humu na kawataja majina yao, inaweza kuwa kosa lakini hakutumia majina yao kamili ila yale yanayotumika humu. Hilo la Mrs. wewe niite mimi hata mara mia sintakosa pumzi, ndio ukubwa huo!..Wewe dume ktk zizi ukiitwa Mrs. labda inahusiana na hoja sio uume wako.
Ebu nambie kama wewe umeona swala ambalo nimejaribu kuupotosha uwanja utatumia lugha gani?...Na sote humu tunapoandika hoja zetu huzielekeza kwa mwandishi au sio?..

Jasusi,
Mzee wangu yaache haya ya vijana watakuvua nguo buree, mtu mzima!

Kichwamaji,
Ahsante sana na ni matumaini yangu hamtarudia makosa kama yale.
Kisha hii ni dhahiri kuwa Chadema hakikuwa tayari kabisa kushika uongozi kwani wabunge wenyewe ndio haooo!..
Tatizo hili halipo kwenu peke yake, CCM wamejaa sijui huko CUF na vyama vingine vya upinzani.
Nchi inapokuwa inawakilishwa na wabunge wenye agenda zao binafsi hapo ndipo tunapokwama...
Hivi kuna mtihani gani ambayo mgombea ubunge lazima apitie kwanza kabla chama hakijamchagua kusimama?.

Mzee Es,
Shusha mashuzi Uncle kabla hujaingia mitini!
 
Back
Top Bottom