Mwanasiasa,
Sitting on the fence is one way of saying I like things as they are. Hawa wanaolalamikia juu ya Chadema eti ni family business au eti upinzani ni weak ni dalili kwamba watu hatutaki kukunja mikono ya shati zetu (pull our sleeves) na kuingiza mikono yetu kwenye tope ili kujenga something from nothing. Wote tunasubiri vitu vipikwe viive ndio tuseme kuwa kumbe upinzani una nguvu. Nguvu zake ni sisi na kama tumeamua kukaa pembeni na kulalamika tu juu ya Mbowe na helikopta yake basi ni kwamba tumekubali kuachia CCM iendelee na maovu yake bila checks and balances.
Sitting on the fence is one way of saying I like things as they are. Hawa wanaolalamikia juu ya Chadema eti ni family business au eti upinzani ni weak ni dalili kwamba watu hatutaki kukunja mikono ya shati zetu (pull our sleeves) na kuingiza mikono yetu kwenye tope ili kujenga something from nothing. Wote tunasubiri vitu vipikwe viive ndio tuseme kuwa kumbe upinzani una nguvu. Nguvu zake ni sisi na kama tumeamua kukaa pembeni na kulalamika tu juu ya Mbowe na helikopta yake basi ni kwamba tumekubali kuachia CCM iendelee na maovu yake bila checks and balances.