The overpass over Mombasa road has started, is this part of the express way project?

The overpass over Mombasa road has started, is this part of the express way project?

wewe mbuzi denial haitakuweka sehemu salama shangazi.

maumivu yako hayafanyi hiyo miladi kusimama au kusua sua.nimekuuliza toka 2018 mpaka leo ni miaka kumi na ngapi??[emoji2][emoji2]hujibu unarukia mengine.

mimi naweza kukupa picha za site hapa sasa hivi miladi yote mitatu uliyotaja.lakini naogopa usije jiua kwa maumivu.pole budaa.
Hii hapa nyingine.

Thika road ambayo ni kubwa kushinda hiyo unashabikia hapa na ndefu zaidi (45 km) ili chukua chini ya miaka 3 kujengwa.

Kwa sahi tumeanza Nairobi expressway 27 km na inaonekana itamalizwa kabla hii kibaha iishe.Na itakuwa na 8 lanes, alafu 4 lanes ikiingia kati kati ya jiji la Nairobi. Ukumbuke itakuwa ikipaa juu ya Mombasa road na uhuru highway.

Yani nyinyi huni shangaza!!! Barabara moja inawasumbua hivi, mgekuwa kama Kenya vile tunajenga western bypass (17 km dual carriageway), Waiyaki way highway (6 lanes, 25 km), Nairobi elevated expressway ( 8,6 na 4 lanes, 27 km), Nairobi Metropolitan Commuter rail (200 km) mungeruka vichwa na kutembea uchi.
 
Yalaa msumari huo, angalia mazingira jinc yanapendeza [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1589306309662.jpeg
 
Toilets-like stations. Please this is not a thread for toilets comparisons so I would advise to look for appropriate thread for your pictures.
Waaaaa, ona reli ya umeme vile inakaa, tuko mbele ya nchi zote ukanda huu kwa ss.

My Take: Huwez kuwa regarded as developed country km huna reli ya umeme[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1593410440572.jpeg
 
Wh

Which infrastructure do you have in Tanzania? Show me any road in Tanzania better than Redhill and I will show you long sleeves brah.
Nakuonesha hapa modern infrastructure zipo Tz na ww jibu sawa? Mm naanza na hii, the modern and the only 3level interchange in E&CA[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1590916911785.jpeg
 
Wooiiii kaogopa hahahaaa 3level huna so nshakuchapa bao moja mrembo ngj ntafute la pili, The modern public transport call it BRT which is the only in E&CA[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1593021072210.jpeg
 
Wooiiii kaogopa hahahaaa 3level huna so nshakuchapa bao moja mrembo ngj ntafute la pili, The modern public transport call it BRT which is the only in E&CA[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1579198
Watu wako kwa shughuli ya commuter rail, wewe unaongea BRT ya 21 km. Commuter rail ya Nairobi ni 200 km.
 
Yani mpaka Uganda wako mbioni kuwashinda kwa barabara.Nyinyi mko na upungufu mahali

View attachment 1579195
View attachment 1579197

View attachment 1579199
Hatufanyi miradi white elephant cc, yn ujenge barabara moja yenye gharama kubwa kuliko barabara za US wakati nchi nzima ni tope akili au upupu huo km nyie jinc wanasiasa wanavyohangaika kutafuta kura 2022 kwa kujenga expressway wakati Wakenya mna njaa km Somalia.

Btw sipo Uganda onesha yenu nioneshe zetu.
 
Hatufanyi miradi white elephant cc, yn ujenge barabara moja yenye gharama kubwa kuliko barabara za US wakati nchi nzima ni tope akili au upupu huo km nyie jinc wanasiasa wanavyohangaika kutafuta kura 2022 kwa kujenga expressway wakati Wakenya mna njaa km Somalia.

Btw sipo Uganda onesha yenu nioneshe zetu.
Uganda imewashinda ya Kenya utawezana nayo!!! Ikiwa Uganda imewachapa viboko kwa barabara utawezana na Kenya?
 
Back
Top Bottom