The perfect one night stand

The perfect one night stand

Ukiwa mtu wa tungi hizo one night stand wala si za kuhesabu asee.
 
One night stand ni kama kucheza "Russian roulette". It's exciting but risky.
 
Yangu ilikuwa ya three sum, ni nzuri ukiwa umelewa lakini ukiamka asubui unaona kinyaa.
 
Oooh yaaaa yaaa i met him kwenye meli, nkiwa naenda bukoba, tulisoma wote o'level japo aliniacha vidato viwili, alikuwa handsome ana mvuto kama pesa mcheza basket, enzi hizo skul hatukuwahi kusalimiana ye si tozi nami sista duu buyu buyu...siku hiyo tukasalimiana na kukumbusha vistori vya skuli kiaina oooh saa nane za usiku katikati ya ziwa victoria baridi kali sweta naliona kama shumizi tu afu ye ana lubega!!!!
ntaendelea kesho nmechoka kuandika.....

Sio kwamba kilichofuata mkazamisha meli ziwani.....:A S-confused1:
 
Sio kwamba kilichofuata mkazamisha meli ziwani.....:A S-confused1:

siku narudi sasa ayaaayaaa nlikuwa naumwa nkapata hifadhi pa kulala rum 1 hivi ya makapteni, alienipa ni kapten 1 hv muda huo alikuwa mafunzoni na alinifata baada ya kuona nmekaa mwenyewe natapika unajua kilichotokea?nakutumia pm...
 
siku narudi sasa ayaaayaaa nlikuwa naumwa nkapata hifadhi pa kulala rum 1 hivi ya makapteni, alienipa ni kapten 1 hv muda huo alikuwa mafunzoni na alinifata baada ya kuona nmekaa mwenyewe natapika unajua kilichotokea?nakutumia pm...

na mmi nitumie pm ya hii habari
 
siku narudi sasa ayaaayaaa nlikuwa naumwa nkapata hifadhi pa kulala rum 1 hivi ya makapteni, alienipa ni kapten 1 hv muda huo alikuwa mafunzoni na alinifata baada ya kuona nmekaa mwenyewe natapika unajua kilichotokea?nakutumia pm...

Duh, huyo Kapteni hana huruma.
Pamoja na kutapika bado tu akakulala?
 
malizia hiyo story basi
..pale chini nlipokuwa akanifata akaniuliza kama naumwa nkamjibu hapana ni huu upepo tu wa ziwani na meli inavoyumba,tukatambulishana pale basi akanichukua tukapanda juu kwenye rum hiyo wanayokaa wao tukakaa kidogo nkahisi usingizi af nimechoka hapo ni saa saba usiku,akachukua godoro akaliweka chini....ohhh yayaaayaaa ngoja nkajojoe boss ntakumalizia
 
Back
Top Bottom