Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its a crays business doing night stand. Personally, i don't recommend doing it
never ever!
Oooh yaaaa yaaa i met him kwenye meli, nkiwa naenda bukoba, tulisoma wote o'level japo aliniacha vidato viwili, alikuwa handsome ana mvuto kama pesa mcheza basket, enzi hizo skul hatukuwahi kusalimiana ye si tozi nami sista duu buyu buyu...siku hiyo tukasalimiana na kukumbusha vistori vya skuli kiaina oooh saa nane za usiku katikati ya ziwa victoria baridi kali sweta naliona kama shumizi tu afu ye ana lubega!!!!
ntaendelea kesho nmechoka kuandika.....
we mcharuko weweDah! Nina 'one night stand' kedekede, labda niziandae kwanza halafu niwe natuma kwa episode.
Sio kwamba kilichofuata mkazamisha meli ziwani.....:A S-confused1:
siku narudi sasa ayaaayaaa nlikuwa naumwa nkapata hifadhi pa kulala rum 1 hivi ya makapteni, alienipa ni kapten 1 hv muda huo alikuwa mafunzoni na alinifata baada ya kuona nmekaa mwenyewe natapika unajua kilichotokea?nakutumia pm...
siku narudi sasa ayaaayaaa nlikuwa naumwa nkapata hifadhi pa kulala rum 1 hivi ya makapteni, alienipa ni kapten 1 hv muda huo alikuwa mafunzoni na alinifata baada ya kuona nmekaa mwenyewe natapika unajua kilichotokea?nakutumia pm...
unahisi itaishia kuthreesamika ha ha hana mmi nitumie pm ya hii habari
Duh, huyo Kapteni hana huruma.
Pamoja na kutapika bado tu akakulala?
Pacha stori haijaisha loh
mmmmmhh hapana. hiyo itakuwa ni mafinyofinyoNilikamata mmoja nikapiga kwenye gari. Sasa hii ni one night stand auuuuu
Kwani Pacha unadhani nini kilifuata hapo?
Kapteni alimfundisha jinsi ya kuendesha Meli?
Duh, huyo Kapteni hana huruma.
Pamoja na kutapika bado tu akakulala?
unahisi itaishia kuthreesamika ha ha ha
Pacha stori haijaisha loh
..pale chini nlipokuwa akanifata akaniuliza kama naumwa nkamjibu hapana ni huu upepo tu wa ziwani na meli inavoyumba,tukatambulishana pale basi akanichukua tukapanda juu kwenye rum hiyo wanayokaa wao tukakaa kidogo nkahisi usingizi af nimechoka hapo ni saa saba usiku,akachukua godoro akaliweka chini....ohhh yayaaayaaa ngoja nkajojoe boss ntakumaliziamalizia hiyo story basi