The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Na hao wafalme wa Saudia mbona hamsemi wamekaa miaka mingapi? Walibya watajuta kama WaIraq! Unaposema eti mbwa kafunwa kamba shingoni unamaanisha uhru upi ukilinganisha na hapa Bongo ambapo utajiri wa aslili wanafaiodi wageni! Tunaimbiwa wimbowa UTULIVU NA AMANI wakati pengo kati ya matajiri na masikini linazidi kuwa kubwa la kutisha!
 
mimi binafsi naona tz tumelogwa,yaani tunapenda demokrasia kuliko maisha mazuri.eti ata kama maisha mazuri tubadilishe viongozi,je unauhakika gani kama kiongozi mwipya atakuwa mzuri kama wa zamani?
 
mimi binafsi naona tz tumelogwa,yaani tunapenda demokrasia kuliko maisha mazuri.eti ata kama maisha mazuri tubadilishe viongozi,je unauhakika gani kama kiongozi mwipya atakuwa mzuri kama wa zamani?

Hakuna aliyetoroga_its matter of time,...hata hiyo democrasia tunayoipenda iko wapi?
 
Hakuna aliyetoroga_its matter of time,...hata hiyo democrasia tunayoipenda iko wapi?
haha mkuu nisamehe kama umedhani vingine,nacho point hapo ni kwenye hi thread watu wanapenda demokrasia kuliko maisha
 
...Woora wooora kulia MkamaP, kushoto JMushi, halfback 4 Somoche, mkoba Nonda, kiungo Mpiga kelele, hah haaah haaaah
Aaah nyie na siasa zenu "kali" nishawachoka. Nangoja hivyo vijiposho mnavyopata toka kwa Gaddafi viishe afu tuone!
 
then whos the best leader? as far as i know theres no best person so how can a leader exist?
the man is a great guy
 
Baada yamisukosuko mingi inayo mukabili kanali mwamadi ghadafhi anae nyanyaswa nakuteswa na waasi wa libiya,Atimae leo ameamuwa kuonyesha yakuwa hao wahasi wanawatesa tu Raiya wema wasiyo na kosa kanakwamba yeye yuko imara na anaendelea na maisha yake kama kawaida,
Aidha waasi wangetafuta utaratibu mwingine kuliko kwendelea kuangamiza raiya wasiyo na kosa kwani mapingana yanapo anza raiya wasiyo nakosa ndiyo wanao humia.
Ata ivo walibia wangeangalia uwepo wa kanali mwamadi kosa lake hasa nilipi linalosababisha hali hii ya mapingano hapo libiya

MPWA hata kama unatamani sana kujaza post siyo ki-hivyo mwanangu! Yaani umechemka vibaya sana!

Nikawa nawaza hivi nasoma Kiswahili mimi au lugha gani jamani?

Eti wewe nawe umo! Uuuuuwhiiiiiiiii!! Eti Libiya, ulishaona wapi? Mwamadi wa wapi huyu? Raiya, ni kitu gani hiki?
 
Haki ya nani mlioniua ni hyie wachangiaji, yaani mnatoa kisago cha uhakika! Huyu jamaa kama ana akili zake timamu atajipiga Ban mwenyewe maana wakuu hiki sijui ni Kiswahili au ni kitu gani hata nimeshindwa kuelewa! Hata ile Shang ya Wakenya wa Nairobi haiko hivi mazee!

Yaani leo nimecheka hadi sina mbavu hasa baada ya kusoma michango ya Raiya (raia) wema! Eti huyu naye unaweza kumkuta yuko Chuo Kikuu, Uuuuwiiii, elimu ya TZ imeingiliwa!
 
Hii site ina vitu vya ajabu,vyengine vinatisha...ikiwa ni pamoja na uvunaji wa viungo kutoka wahanga wa Libya.

Bofya upate marue rue! Crash Are You Ready
 


US-NATO wameleta balaa, maangamizi Libya.
 
Last edited by a moderator:


US-NATO wameleta balaa, maangamizi Libya.


Mkuu naona US-NaTo wameisha i'corrupt' YouTube, maana 'clip' za kutuonyesha ushetani wa US-NaTo-terroristrebels wanaziondoa kwenye mtandao.
 
Last edited by a moderator:
Sifagilii wahuni wa Benghazi mimi...hao ni wabakaji na wauaji wakubwa hawafai kabisa
 
Mkuu naona US-NaTo wameisha i'corrupt' YouTube, maana 'clip' za kutuonyesha ushetani wa US-NaTo-terroristrebels wanaziondoa kwenye mtandao.
Hiyo ndio domokrasi wanayoisemea na kuieneza kwa mabomu, ndio uhuru wa kusema wanaouzungumzia kwenye viriri. Ukweli unajulikana wanataka na wanapenda watu na wananchi wao wasikilize porojo zao na waone sinema zao tu.

Hapa ndio tunaelewa kuwa uvamizi wa Libya unahalalishwa kwa media propaganda. habari yoyote ambayo inafichua uharamia wa US-NATO na rebels wao inaminywa na wanapoweza wanaipoteza.
 
Back
Top Bottom