Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamshkuru jamaa kwa kuifichua.siri nzito kwelikweli.
Sawa mkuu, naitupia macho lakini pia nikuulize hivi kutengeneza silaha na sofa ya dhahabu kunaashiria nini? Ni yapi makubwa zaidi yalikuwa yanaendelea nyuma ya pazia kwa hizo resources za nchi?
u are such a desease do u think ts all libians celebrating??aisee theres few leaders in this afrika are lyk ghadafi bana.ts sad news 4 mzalendo kama mmWho killed them?
Why are Libyans celebrating?
Why should one family decide for the rest of 6m. + people of lib
ya?
Figure out buddy!
Acha hasira,kama kuna mnaobandika mabaya aliyofanya,mimi kubandika yale mazuri kwa nchi yake unaita pumba?Haikuwa lazima kuchangia.
Huoni heading ya habari inasema "The other side"?
Pale alipoomba msamaha kwa Mwalimu Nyerere na kuelezea kudanganywa kwake na Amin kuhusu mzozo wa Uganda/Tanzania.Hivi ni lini Ghadafi alianza kuwa rafiki wa Wa-Tanzania na kwa nini?
Gaddafi's wife asks the UN to investigate his death - Arrai TV
A television station based in Syria that supported Muammar Gaddafi said on Friday that the slain Libyan leader's wife has asked for a United Nations investigation into his death.
The wife of Gaddafi "asks the United Nations to investigate the death of the fighter Muammar and Mo'tassim," Arrai television said in a news headline, referring to one of Gaddafi's sons as well.
Hii habari wameibadilisha kidogo, mwanzoni walisema kuwa vyombo vya kisheria vya UN vilisema anayo haki ya kudai uchunguzi...hiyo imepotea katika hii taarifa.