The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Mkuu hayo yote alifanya kwa pesa za walibya na ni si kutoka mfukoni mwake hata Adolf hitler nae alifanya tena mazuri zaidi yake! Lakini je! Hatakama ni wewe ukapewa kilakitu lakini ukakosa uhuru itakuwaje? Ukapewa vitu ukanyimwa utu itakuwaje? Just try to think before write this pumba.

hawa mafisadi wenu wa Tanzania, wamewafanyia nini kwa pesa na rasimali zenu?
 
All in all Gaddafi was a great man..western countries walikuwa na chuki naye tu.
 
Hii si mara ya kwanza NTC kugubikwa na tuhuma za ukiukwaji wa haki za kibinadamu na war crimes. Ni wazi kuwa sasa US-NATO wanatumia ulaghai huu kuwalainisha kupitia vyombo hivi ili waitikie, Yes, Sir, Yes, Madam. NTC inageuziwa kibao wakati US-NATO wanaachwa off the hook.

Libya's Jalil calls for sharia law, as Amnesty says NTC guilty of war crimes

Speaking for the first time since the ouster of Muammar Gaddafi, Libya's interim leader laid out plans for a democratic state based on Islamic law. Meanwhile Amnesty International accused NTC fighters of committing war crimes.

Zaidi hapa Libya's Jalil calls for sharia law, as Amnesty says NTC guilty of war crimes | GlobalPost
 
Bora nimfaidishe mbu kuliko manyang'au haya!! I hate them all.

Kwanza naomba unielewe kwamba simtetei wala kumsupport Guadaffi. Pia sitetei ama kuwafurahia wauaji wake,wawe waLibya wenzake ama nani. Naomba kufahamu kwanza heroism ya Guadaffi kwako wewe ni mambo gani maana kifo chake kimekuuma kupita kawaida.Kingine nifahamishe kama ulikuwa na uchungu kiasi hichohicho kwa yaliyowakuta Usamah na Saddam?
 
Jana ,Libya's NTC said Gaddafi was not killed intentionally

Wanasema, "no order was given to kill him", officials with the National Transtional Council (NTC) said on Thursday.

Zaidi hapa Libya's NTC said Gaddafi was not killed intentionally | News by Country | Reuters

Lakini wamesahau tamko hili ambalo walilitoa siku chache zilizopita
Tamko hili:
"The National Transitional Council announces that any of his (Gaddafi's) inner circle who kills Gaddafi or captures him, society will give amnesty or pardon for any crimes," NTC head Mustafa Abdel Jalil said at a news conference.

Zaidi hapa Bounty placed on Gaddafi's head, rebel council says | Reuters

Sasa sijui watajipapatua vipi hapa. NTC wameingia kwenye mtego wa US-NATO. Itawapasa waridhie matakwa ya wapenda recources za Libya ambao watapenda dezo au kwa bei karibu na bure.
 
Waarabu wamelaaniwa hata kwenye vitabu wameandika,wametiwa vidole vya macho na wamarekani na washirika wao wamekubali hawataakaa wapate raha tena katika maisha yao itakuwa kama Iraq maisha dumu.Leo kumelipuka Tripol kesho benghanzi maisha dumu,na uone vyombo vya habari vya magharibi walivyo washenzi wanatuonyesha wanaoshangalia tu mbona wengine hawawatoi?wametaka mafuta wamepata kwisha kazi.
pamoja na vikwazo vyote lakini mpaka wanampindua hana deni la nje,watu wanasoma bure matibabu, na mishahara wanapewa japo hawafanyi kazi wanataka nini tena?
Tuone hao watakao waweka watawapa maisha haya wakati mmarekani tayari ameshaweka makucha yake pale.itabaki historia tulikuwa tunapewa chakula,matibabu nyumba ,elimu bure.WATAVUNA WALICHOPANDA
RIP Gaddaf
Gaddafi pia alikua anawalipia mahari vijana wa Libya wanapotaka kuoa that why alilkua akisisitiiza ndoa ya mke mmoja.
 
Real talk, George Bush & Tony Blair should also be brought into int. criminal court cus they killed innocent people in Iraq and Afghanstan.
Obama naye atadondoshwa na umma kwa kuongeza idadi ya masikini Marekani.
 
Mkuu hayo yote alifanya kwa pesa za walibya na ni si kutoka mfukoni mwake hata Adolf hitler nae alifanya tena mazuri zaidi yake! Lakini je! Hatakama ni wewe ukapewa kilakitu lakini ukakosa uhuru itakuwaje? Ukapewa vitu ukanyimwa utu itakuwaje? Just try to think before write this pumba.

Umeambiwa Upande wa pili inamaana pamoja na mabaya yake yapo mazuri ambayo ameyafanya. Hakuna Serikali yoyote ambayo Raisi wake ndiye anayetoa hela zake ili kuhudumia wananchi wake isipokuwa ni mgawanyo mzuri wa pato la taifa kutoka ktk rasili mali ya taifa kama ulivyoelezwa hapo juu. Jitahidi Kutafakari utagundua kuwa wewe ndiye mwenye pumba zaidi.
 
Kukumdogo! Ni kw bht mby humu hatuweki umri wa mleta thread! Pengine ningejua umri wako nicngejadili topic yako! Issue uliojipachika nayo inamhusu aliekua mkuu wa nchi, then inaonekana hata kiswahili kukiandika kinakushinda hukijui! Neno UHAKIKA umeandika UAKIKA! Mtu wa sampuli hiyo ambae lugha yako inakushinda Unawezaje kuzungumzia kuuwawa kw Con. GADDAFI? hadithi za sungura na fisi humu sio sehemu yake
 
Ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji. Tumeona yaliyotokea Tunisia, Misri, na yalipoanza Libya waliokuwepo walioyabeza na kusema hapo wamefika kwenye kisiki. Vile vile middle east bado kunafukuta.

Tanzania kwa kukumbatia Ufisadi chini ya Fisadi papa nayo itaingia kwenye mtego huo huo kama JK na genge lake la wahuni na walafi wachache bado wanafikiria rasilimali za nchi hii ni za mafisadi na rafiki zao kutoka nchi za magharibi. Ni unafiki mkubwa kusema Watanzania wenye uchungu kila uchwao wanapolalamika na kutoa uozo na uvundo unaohifadhiwa na JK pale magogoni na kila sehemu ya Idara wanatumiwa, vifisadi dagaa ambavyo vinatumiwa na CCM vitajifanya ati Watanzania hao wanatumiwaau kutumwa na nchi za magharibi. Nani ana rafiki kama sio Fisadi papa? Tunafahamu na ushahidi upo wa kutosha kabisa huu ni wizi wa mchana kweupe.

Tunashuhudia tuhuma nzito zinazoambatana na katoto ka rais ati na kenyewe kana-act kama karais .... kumbuka Iddi Amin Dada na mtoto wake, Ghadafi na wanawe etc Wacha waendelee na kufikiri nchi yetu ni tofauti na nchi nyingine na watakuja na kisingizio kile kile kila siku kwamba nchi za magharibi zinawachochea wananchi kuasi. Ukweli ni kwamba JK aka Fisadi papa na genge lake wanawachochea Watanzania kupata mageuzi kwa njia kama ya Libya, Misri na Tunisia.

CCM kama kweli wanataka kuepusha balaa hili ni lazima kwa makusudi kabisa waandae mchakato mara moja wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi katika muda mfupi inavyowezekana na kuitisha uchaguzi ambao utakuwa huru, sio huu wa kila siku wa kuiba kura na kutumia nguvu za serikali kuharibu matokeo. Hadi sasa mgombea huru hana sauti, mfano uchaguzi wa Igunga hakukuwa na mgombea binafsi, CCM hamuwezi kuwaburuza Watanzania tena kama mnavyotaka alama za nyakati hizo au mnasubiri yatokee yale yaliyotokea Kenya nk.

Wacha sasa uone vifisadi dagaa vitakavyokuja hapa na kubwabwaja kama vile vimekosa lawalawa.
 
Gadhafi-obama.jpg

gaddafi-sarkozy.jpg
gaddafiPM3005_468x350.jpg
obama_gaddafi.jpg
 
Graphic photos of the slain dictator in a Misrata morgue. Not for the squeamish.

 
Mkuu utantambua,

Hakuna mkamilifu na hilo ,mimi Nonda nimelisema mara nyingi tu. mbali na mapungufu ya Gaddafi hakuna kiongozi wa hata nchi moja ya Afrika ambaye amefanya kwa nchi yake kama Gaddafi amefanya kwa Libya na Afrika.

Kwa hiyo, ukitaka mtazamo mimi ningesema hilo la masofa na silaha ya dhahabu ni katika ufahari wa tamaduni za "waarabu". Lakini, yes, ni ufujaji wa fedha. Lakini jee hivyo vitu vimegharimu kiasi gani cha fedha? Hivi kweli kwa mchango wake wa maendeleo ya nchi ya Libya na yeye hakustahili "kastarehe kidogo"?

Nimalizie kusema kuwa kila mtu ana mapungufu na hilo unaweza kulitia katika mapungufu yake lakini mazuri yake yana uzito zaidi. Kwa bahati wengi wanasemea udhaifu wake mchache na wanaacha mazuri ,au kutokujali kabisa nini amefanya kwa nchi yake na Afrika.

Sasa na wewe, jibu hili. Je unajua jambo lolote jema, zuri ambalo Libya na Afrika ilipata chini ya uongozi wa Gaddafi?

Mkuu nakubaliana na wewe kuwa kama kiongozi wa nchi Ghadafi alistahili "starehe" japo kidogo. Lakini starehe yenyewe inapohusisha vitu kama bastola na sofa za dhahabu inaashiria kitu kikubwa zaidi kinachoendelea chini ya kapeti.

Pili nakubaliana nawe kwamba binadamu wote wana pande mbili: nzuri na mbaya. Mazuri aliyofanya Ghadafi kwa nchi yake nayakiri na kwa hilo namsifu.

Lakini hapohapo nikukumbushe kuwa hayo aliyoyafanya si HISANI bali ni WAJIBU wake kama kiongozi wa nchi. Kwani alitumia raslimali zake za familia ama za nchi? Hapana. Sasa kwa nini asifiwe kama vile alikuwa anafanya philanthropy? Dhima ya kuwa kiongozi ni kuwa accountable na kutumia resources za nchi kwa manufaa ya wote. Unaposhindwa kufanya hivyo hufai na unapaswa uondolewe ama ujiondoe.(Kwa hili kwa nchi nyingi za kiafrika hatujaweza kufanikiwa but thanks to arab spring imeset precedent)

Na unapoweza kuzitumia raslimali hizo vizuri haina maana kwamba inakupa haki isiyonyang'anyika ya kuwa kiongozi wa maisha ama raia wa daraja la kwanza mwenye haki zaidi ya raia wengine wote katika nchi yako, absolutely No. Wananchi wanapotaka kukuondoa madarakani hata kama umefanya wajibu wako wa kutumia raslimali za nchi vizuri unapaswa uondoke.

Sasa hoja zilizopo kwa wingi ni Ghadafi kafanya makubwa kwa nchi yake, sawa sikatai. Lakini je hili linampa haki isiyonyang'anyika ya kuwa raisi wa maisha ama raia mwenye haki zaidi kuliko walibya wote? Hapana.
 
Newly released death photo's,some High Quality, showing the lifeless body of former Libyan leader Moammar Gaddafi after he was captured by opposing Rebel Forces in Sirte,Libya.

Warning Graphic.

Subscribe to my channel for war vids and current events,thanks.

 
Back
Top Bottom