The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

US will continue to help Libyans with humanitarians and economic assiatance-US
 
Baada ya kumuondoa Gaddaffi nani atapata tenda ya reconstruction?
Kuna somo kutoka Iraq na Afghanistan.
Hizi nchi hazitaki demokrasia wa domokrasia. Wanafikiri hela tu na faida. how to make easy money!

 
Last edited by a moderator:
Where's OAU/AU?
Where's Arab League?
Where's China?
Where's EAC?
 
hivi wale mabodigadi vimwana wa kike bado wapo nae....?
 
Inasikitisha............ Yule awalishae wananchi wake bure, leo kawa mbaya simply because wazungu wameamua siyo?

Ndugu MTM; sidhani kwamba kitu pekee anachohitaji mwanadamu/mwananchi ni kulishwa, kavalishwa, au hata kupata malazi ya bure. Hata kama ungetoa vyote hivi bure na kugawa mamilioni ya dola kwa kila mwananchi; kama hujampa UHURU kamili wa mawazo na kutoa hisia zake bado ni sifuri. Alichokosea Gaddafi (na wengine wa aina yake) ni kutoruhusu demokrasia kamili kwa wananchi wake.

UHURU wa mawazo ni kitu ambacho kwa asili Mwenyezi Mungu amemjaalia kila mwanadamu na hauwezi (UHURU) kuwa "replaced" na kitu kingine chochote; iwe kizuri au kibaya. Watu wasio huru wata-react tu japo unaweza kuzima kwa kipindi fulani lakini "time will tell".

Kati ya mambo ya hovyo kabisa mtawala (au kundi lake; vyama cha siasa, serikali, bunge, n.k) anaweza kufanya ni kudhani kwamba anaweza kufikiri kwa niaba ya watu wake - na hiki, kwa maoni yangu, ndicho kinachomsumbua Gaddafi na tawala za aina yake.
 
Baada ya kumuondoa Gaddaffi nani atapata tenda ya reconstruction?
Kuna somo kutoka Iraq na Afghanistan.
Hizi nchi hazitaki demokrasia wa domokrasia. Wanafikiri hela tu na faida. how to make easy money!


All in all Libya ni mali ya walibya wote na si Colonel na familia yake tu
 
Last edited by a moderator:
kuna gazeti la udaku (jina kapuni) limeandiika mtu kauwa kizazi baada ya kupiga kikombe cha babu

zamani waliita mfadhaiko ..... jamaa kwenye daladala walikua wanachakachua mapenzi ...... itarudi tena kwa sababu ya kikombe
 
This shows that it is more than libyans who want Ghadafi out of power
 

Mkuu USA sidhani kama ilikuwa inataka Gadhafi aachie ngazi. Gadhaffi amejiingiza mwenyewe kwenye crossheir baada ya kukosa washauri. Alitakiwa awaache walibya waandamane hata miezi kumi na kuruhusu vyombo vya habari vya magharibi kupiga picha watakavyo. Na angekuwa akiwapatia maji, juice na mikate mpaka watakapochoka. Kitendo cha kuanza crackdown wakijua kuwa watu wataogopa ni kosa kubwa alilolifanya, maana kwa mauaji yale huwezi kuwa salama hasa kama watu walikuwa wanakutafutia sababu baada ya kuanguka kwa ndege yao. Hii hatua iliyopo sasa ni sawa na mmakonde kakukuta unapanda kwenye mnazi wake upo katikati anakwambia UCHIPANDE UCHICHUKE, UKIPANDA NCHALE UKICHUKA NCHALE,UKIKAA HAPOHAPO NCHALE
Yaani kwa sasa ni kwamba the hague inamuita labla auwawe au ajiue, maana hataendelea kuiongoza Libya. Busara ikitumika akajiuzulu bado hatakuwa salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…